Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?

Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?

Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.

Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo [emoji23][emoji23][emoji23]. Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
Imenibidi nikujibu baada ya kusoma tu aya zako mbili !!.

Kwanza nianze kwa swali Unasoma biblia ???? Kama hapana ,, nakushauri tu ,, wokovu haupo kwa kusema tu eti iman yako ndo inakufikisha mbiguni ..KASOME BIBLIA NAMUNGU AKUSAIDIE KUITAMBUA SAWASAWA .
Mama Helen ?????? Ndo kaandika biblia ???? Usile samaki kwan yeye ndo alikataza ???? Hii inaonyesha namna gan husomi biblia nahuwezi kujua maana ,,sanasana huo wokovu uuzungumzie mdomoni tu otherwise kuupata uo wokovu nilazima usome biblia .

kama ni ndio ,,Sasa nakukaribisha ,,twende pole pole kwayote uloyazungumza ,,maana mwenzako ameandika kwa kunukuu biblia na ametoa baadhi ya nukuu za watu ,,,tena kukuelewesha ametumia ma lugha ya picha !!

Sasa wewe umekalia kuongea tuu kama mzaramo bila hata nukuu yaan umetoa kilichokichwani mwako !.

Hoja inajibiwa kwa hoja !!.
 
Fafanuzi za uongo hizo kitabu cha ufunuo kiko wazi kwa sababu kabla ya ufunuo kili funuliwa chote yote yaliyomo kwenye ufunuo yametafsiliwa na vitabu nya nyuma
Yamefunuliwa ktk vitabu gan ?? Naomba unisaidie
 
huenda ukawa "sahihi" na mapokeo uliyopokea toka kwa wanazuoni wa kikundi chako cha kisabato nawe kuendelea kuwahadaa walimwengu wasio na elimu ya dini na ya imani ya kikatoliki, ila swali langu, je Mungu huwaacha wenye haki wapotee..?? kama siyo, "haki" ipo katika "usabato" (kwa mujibu wa mafundisho yenu), na usabato una karibia miaka 200, je kwanini kikundi hiki cha wenye "haki" mbali na kutumia maarifa yao kueneza "haki" kwa "wasio na haki"?... kwanini utawala wa "kishetani" (kanisa katoliki/waprotestitanti) halijawahi kuadhibiwa na Mungu kwa Mungu kuwaonesha "wenye haki" njia sahihi???
Soma biblia ,, familia yetu ilikua roman Catholic tena pure ,namie naliwah kua msaidiz wa padre wakati wa ibada ktk kipindi fulan ivi ,,ila siku moja ktk pita pita zangu nikawa nasikia kwambali mahubiri ya wasabato nakulikua kama kuna ujibuji wamaswalu ,,,nayule muhubiri alionekana kujibu swali lilohusu IPI siku ya sabato ???? Toka hapo niliamua kurudi nyumban fasta nakuanza kusoma biblia ,,nilikua nahasira sana kwasababu sikua nataka MTU aisemee vibaya din yangu ,,but for sure kidogo kidogo nikawa naelewa vitu mpaka jpili namuuliza padre ,lkn hakuwahi kunijibu swali hata moja nilomuuliza mpaka nilipoamua kuacha kwenda chach ,, after that ,, ndipo nikawa naenda moja ya kanisa lasabato kwawizi wizi nikawa nawauliza maswali mpaka nikaelewa nanikazidi kuelew ,,nikabatizwa nikawa msabato ,,wazazi Wangu nikawapa masomo nao wakabatizwa ,, hivi sasa najitegemea kifamilia lkn nashukuru kwa kujua ukweli naumeniweka huru.

Kwaufupi siri yakujua ni kusoma tuu we mwenyewe hata km nimasomo yakawaida bila kua inquisitive hutaishia kukalili nabadae utalia eti hakuna ajira !!.
 
Kipofu akimwongoza kipofu mwenzie wote hutumbukia shimoni
imeandikwa
Yesu akawajibu, “Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.’’ (YOHANE 9; 41)

ahsante nashukuru tena kwa mikono miwili

nakiri mimi ni kipofu kweli, na kwa taarifa yako ninatumia fimbo(YESU KRISTO) kutembea
na bila hiyo fimbo(YESU KRISTO) siwezi ona wala hisi chochote mbele,
na bila hiyo fimbo(YESU KRISTO) lazima nitaanguka shimoni...................

sasa hongera wewe mwenye macho na unayeona vizuri tena bila miwani na usiye hitaji fimbo(YRSU KRISTO), HONGERA SANA

nadhani unanikumbuka/unanitambua vyema
wewe endelea kujibu na kupangua hoja unazoulizwa hapo
naona unahamu sana na mimi,
SIJACOMENT WALA SIJAKUULIZA CHOCHOTE, LAKINI NAONA UMEAMUA KUNIREPLY
USIJALI KAZI YA KUJIBU MASWALI NA KUPANGUA HOJA NITAIANZA RASMI TRH 14 JULY, WALA SINA MIHEMKO NA PAPARA KAMA UNAVODHANI, NIPO FREE IN MIND NA NAJUA NINI NINACHOKIFANYA

otherwise jioni njema na kazi njema pia

OVER
 
AHSANTE KAKA
TUNASHUKURU SANA
ILA USHAURI WANGU,
NAKUOMBA HIYO POST YAKO, IWEKE KAMA MADA (UZI)
NA ATAKAYEULIZA MASWALI TUTAKUSAIDIA KUMPA MAJIBU, USIGOPE

mimi nilijaribu kuelezea vyema hapa ndani kuhusu 666, lakini nimeona yangu ilikuwa ni fupi sana, ila hayo maelezo ulioleta ni kiboko nimeyependa na naona yamejitosheleza na yanakata kiu ya maswali kabisa

NAKUOMBA HIYO POST YAKO, IWEKE KAMA MADA (UZI)

MUNGU AKUBARIKI
Nitaipandisha kama uzi...Soon
 
Soma biblia ,, familia yetu ilikua roman Catholic tena pure ,namie naliwah kua msaidiz wa padre wakati wa ibada ktk kipindi fulan ivi ,,ila siku moja ktk pita pita zangu nikawa nasikia kwambali mahubiri ya wasabato nakulikua kama kuna ujibuji wamaswalu ,,,nayule muhubiri alionekana kujibu swali lilohusu IPI siku ya sabato ???? Toka hapo niliamua kurudi nyumban fasta nakuanza kusoma biblia ,,nilikua nahasira sana kwasababu sikua nataka MTU aisemee vibaya din yangu ,,but for sure kidogo kidogo nikawa naelewa vitu mpaka jpili namuuliza padre ,lkn hakuwahi kunijibu swali hata moja nilomuuliza mpaka nilipoamua kuacha kwenda chach ,, after that ,, ndipo nikawa naenda moja ya kanisa lasabato kwawizi wizi nikawa nawauliza maswali mpaka nikaelewa nanikazidi kuelew ,,nikabatizwa nikawa msabato ,,wazazi Wangu nikawapa masomo nao wakabatizwa ,, hivi sasa najitegemea kifamilia lkn nashukuru kwa kujua ukweli naumeniweka huru.

Kwaufupi siri yakujua ni kusoma tuu we mwenyewe hata km nimasomo yakawaida bila kua inquisitive hutaishia kukalili nabadae utalia eti hakuna ajira !!.
Napandisha uzi wa kuonesha Nabii Mke Ellen G White alivyokuwa Mpinga kristo....Nakukaribisha huko tutajibiana kwa hoja.......Bablaeeeeee
 
Imenibidi nikujibu baada ya kusoma tu aya zako mbili !!.

Kwanza nianze kwa swali Unasoma biblia ???? Kama hapana ,, nakushauri tu ,, wokovu haupo kwa kusema tu eti iman yako ndo inakufikisha mbiguni ..KASOME BIBLIA NAMUNGU AKUSAIDIE KUITAMBUA SAWASAWA .
Mama Helen ?????? Ndo kaandika biblia ???? Usile samaki kwan yeye ndo alikataza ???? Hii inaonyesha namna gan husomi biblia nahuwezi kujua maana ,,sanasana huo wokovu uuzungumzie mdomoni tu otherwise kuupata uo wokovu nilazima usome biblia .

kama ni ndio ,,Sasa nakukaribisha ,,twende pole pole kwayote uloyazungumza ,,maana mwenzako ameandika kwa kunukuu biblia na ametoa baadhi ya nukuu za watu ,,,tena kukuelewesha ametumia ma lugha ya picha !!

Sasa wewe umekalia kuongea tuu kama mzaramo bila hata nukuu yaan umetoa kilichokichwani mwako !.

Hoja inajibiwa kwa hoja !!.
099967053f61b0199655e0b034a70bf7.jpg
 
Soma biblia ,, familia yetu ilikua roman Catholic tena pure ,namie naliwah kua msaidiz wa padre wakati wa ibada ktk kipindi fulan ivi ,,ila siku moja ktk pita pita zangu nikawa nasikia kwambali mahubiri ya wasabato nakulikua kama kuna ujibuji wamaswalu ,,,nayule muhubiri alionekana kujibu swali lilohusu IPI siku ya sabato ???? Toka hapo niliamua kurudi nyumban fasta nakuanza kusoma biblia ,,nilikua nahasira sana kwasababu sikua nataka MTU aisemee vibaya din yangu ,,but for sure kidogo kidogo nikawa naelewa vitu mpaka jpili namuuliza padre ,lkn hakuwahi kunijibu swali hata moja nilomuuliza mpaka nilipoamua kuacha kwenda chach ,, after that ,, ndipo nikawa naenda moja ya kanisa lasabato kwawizi wizi nikawa nawauliza maswali mpaka nikaelewa nanikazidi kuelew ,,nikabatizwa nikawa msabato ,,wazazi Wangu nikawapa masomo nao wakabatizwa ,, hivi sasa najitegemea kifamilia lkn nashukuru kwa kujua ukweli naumeniweka huru.

Kwaufupi siri yakujua ni kusoma tuu we mwenyewe hata km nimasomo yakawaida bila kua inquisitive hutaishia kukalili nabadae utalia eti hakuna ajira !!.
Ubarikiwe mjoli, mimi pia niliongolewa kutoka Baptist kwa kusoma Biblia na vitabu vya kisabato. Kuna kitabu kinaitwa Vita kuu.hicho kilinipa mwanga sana, humo shetani na wakala wake mnyama wa kanisa katoliki wamefunuliwa wazi.na baadae nikasoma kitabu kinaitwa homa ya dunia, sikukawia nikabatizwa.
Asante ya Yesu kwa kunielekeza kwenye ukweli wa neno lako.
 
Ubarikiwe mjoli, mimi pia niliongolewa kutoka Baptist kwa kusoma Biblia na vitabu vya kisabato. Kuna kitabu kinaitwa Vita kuu.hicho kilinipa mwanga sana, humo shetani na wakala wake mnyama wa kanisa katoliki wamefunuliwa wazi.na baadae nikasoma kitabu kinaitwa homa ya dunia, sikukawia nikabatizwa.
Asante ya Yesu kwa kunielekeza kwenye ukweli wa neno lako.
Naww pia ubarikiwe sana mtumishi !!.
 
Ubarikiwe mjoli, mimi pia niliongolewa kutoka Baptist kwa kusoma Biblia na vitabu vya kisabato. Kuna kitabu kinaitwa Vita kuu.hicho kilinipa mwanga sana, humo shetani na wakala wake mnyama wa kanisa katoliki wamefunuliwa wazi.na baadae nikasoma kitabu kinaitwa homa ya dunia, sikukawia nikabatizwa.
Asante ya Yesu kwa kunielekeza kwenye ukweli wa neno lako.
Kahaba Ellen g White alitimuliwa kanisa lake la Baptist huko Marekani...
 
Back
Top Bottom