Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Hivi watu bado wanafikiri wataingia Mbinguni kwa ajili ya dini?
Nimekulia katika Usabato. Naujua vizuri sana. Wanaamini kuwa WAO PEKEE ndiyo watakwenda mbinguni kwa sababu tu ni wasabato na wanasali Jumamosi. Self righteous. Watakatifu. Wajinga. Kiburi. Kuhukumu wengine wakati matendo yao hovyo hovyo tu. Makambini huko ni kugegedana tu. Wanaamini kuwa kazi ya Yesu haikumalizika pale msalabani na kuanzia mwaka 1884 eti Yesu aliingia mahali huko mbinguni panapoitwa patakatifu pa patakatifu ili kuanza kutuombea rasmi (atonement) wenye dhambi huku akijiandaa kurudi mara ya pili. Wananyofoa nyofoa sheria obsolete za Musa na kuzifuata (kutokula nyamafu, samaki wasio na magamba, wanyama wasio na kwato n.k). Yaani ni vurugu mechi tupu! Focus kubwa ni unabii hasa vitabu vya Daniel na Ufunuo. Twisted Theology na mhanga mkubwa ni Papa na Ukatoliki. Huyo mama mwenye hallucinations baada ya kuanguka na kuharibika ubongo vitabu vyake wamekuwa wakivibadili badili ili viendane na Biblia mf. The Great Controversy. Hawa ndiyo wanaamini kuwa wanaweza kupanda ndege na kwenda kuhubiri bila passport na visa; na bila kujua huko wanakoenda. Lengo lao kuu ni kupambana na ukatoliki mpaka wanasahau kueneza injili kwa upendo na kuleta mavuno kwa bwana. Ni very arrogant kama unavyowaona hapa. Name calling. Kudharau wengine huku wakiamini kuwa usabato ndiyo sifa mama itakayowafikisha mbinguni.

Theologians wengi wanautambua Usabato kama christian cult iliyofanikiwa sawa na Jehovah's witnesses. Hata hivyo siku za karibuni, baada ya kuachana na mawazo mengi ya mwanzo ya kiwehu ya "nabii" Ellen na kuacha tabia ya kutabiri tabiri tarehe ya kurudi kwa Yesu, imeanza kukubalika kwamba Usabato umeanza kujivika sura ya Ukristo sawia na uliosimikwa katika misingi ya Kiblia japo kikwazo kikubwa bado hilo fundisho la Yesu kuhamia chemba maalum mwaka 1884 baada ya kurudi kwake kushindikana kama mwanzilishi wao Miller alivyotabiri. Baada ya watu kuuza mali zao zote na kumsubiri Yesu bila mafanikio mwaka 1884 Miller ilibidi abadili gia angani na kusema kuwa alikuwa amekonfyuzi tu makalikyulesheni yake na huo mwaka 1884 kumbe Yesu alikuwa harudi bali alikuwa anahamia chemba nyingine huko mbinguni ili kuanza kazi rasmi ya kutuombea. Fundisho hili la.msingi linapingwa sana na wanatheologia wengi kwa sababu linamaanisha kwamba kazi ya Yesu haikumalizika pale Msalabani.Adios watakatifu wa Sabato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilivyosoma tu kichwa cha habari nikajua mleta uzi ni msabato. Hawana kazi nyingine zaidi ya kulalama na kujiona wenye haki. Kizazi cha mafarisayo. Wanatumia muda mwingi kunyooshea vidole makanisa yasiyo ya kisabato hasa ukatoliki huku wakisahau kahaba mkuu ni miili na mioyo yao na matamanio yao wenyewe. Kilicholetwa hapa hakina tofauti na anachofanya Gwajima - kuandama wenzie tu badala ya kuhubiri injili. Ni upuuzi uliopitiliza kwa mtu yeyote anayejiita Mkristo kupoteza muda kutetea na kuponda dini zilizoletwa na wanadamu. Inakusaidia nini kujua kuwa kahaba sijui mpinga Kristo ni Papa wakati hujioni wewe mwenyewe kuwa unampinga Kristo kwa kufanya mambo yasiyokuhusu tena kwa njia ambayo hata Kristo hakuwahi kuifikiria?

Kristo alisema wewe Petro umfuate. Kitakachompata Yohana hakikuhusu. Na kama unaijua sana Biblia ungekuwa umeshajua chochote kinachofanyika hapa duniani anakifanya Mungu mwenyewe - kibaya kwa mkono wa "shetani" na kizuri kwa mkono wake kwa sababu zake. Kazi yako ni kumwabudu na kumwacha afanye yake. Hangaika na roho yako ili Mungu aje kufanya makao humo uwe mtu wake naye awe Mungu wako. Ndo kuingia mbinguni huko. Hili si swala la baada ya kifo bali ni la sasa. Ufunuo hauonyeshi kama kuna mbingu zaidi ya hapa. Utake neno moja nalo ulitafute - kuutazama uzuri wa Bwana na kutafakari hekaluni mwake. Sasa badala ya kukaa moyoni na kuutazama uzuri wa Mungu unarandaranda kuzodoa taasisi za walimwengu. Mpaka utakufa hujaionja mbingu ukisubiri kwenda mbinguni baada ya kufa kutokana kwa kufikiri unachuma thawabu kwa kuzodoa wakatoliki. Mna-complicate sana mambo.
Ukweli ukikugusa ufuate. Acha kumlalamikia mtoa mada. Si yeye aliyeandika Biblia bali ni mjumbe tu.
 
Nimekulia katika Usabato. Naujua vizuri sana. Wanaamini kuwa WAO PEKEE ndiyo watakwenda mbinguni kwa sababu tu ni wasabato na wanasali Jumamosi. Self righteous. Watakatifu. Wajinga. Kiburi. Kuhukumu wengine wakati matendo yao hovyo hovyo tu. Makambini huko ni kugegedana tu. Wanaamini kuwa kazi ya Yesu haikumalizika pale msalabani na kuanzia mwaka 1884 eti Yesu aliingia mahali huko mbinguni panapoitwa patakatifu pa patakatifu ili kuanza kutuombea rasmi (atonement) wenye dhambi huku akijiandaa kurudi mara ya pili. Wananyofoa nyofoa sheria obsolete za Musa na kuzifuata (kutokula nyamafu, samaki wasio na magamba, wanyama wasio na kwato n.k). Yaani ni vurugu mechi tupu! Focus kubwa ni unabii hasa vitabu vya Daniel na Ufunuo. Twisted Theology na mhanga mkubwa ni Papa na Ukatoliki. Huyo mama mwenye hallucinations baada ya kuanguka na kuharibika ubongo vitabu vyake wamekuwa wakivibadili badili ili viendane na Biblia mf. The Great Controversy. Hawa ndiyo wanaamini kuwa wanaweza kupanda ndege na kwenda kuhubiri bila passport na visa; na bila kujua huko wanakoenda. Lengo lao kuu ni kupambana na ukatoliki mpaka wanasahau kueneza injili kwa upendo na kuleta mavuno kwa bwana. Ni very arrogant kama unavyowaona hapa. Name calling. Kudharau wengine huku wakiamini kuwa usabato ndiyo sifa mama itakayowafikisha mbinguni.

Theologians wengi wanautambua Usabato kama christian cult iliyofanikiwa sawa na Jehovah's witnesses. Hata hivyo siku za karibuni, baada ya kuachana na mawazo mengi ya mwanzo ya kiwehu ya "nabii" Ellen na kuacha tabia ya kutabiri tabiri tarehe ya kurudi kwa Yesu, imeanza kukubalika kwamba Usabato umeanza kujivika sura ya Ukristo sawia na uliosimikwa katika misingi ya Kiblia japo kikwazo kikubwa bado hilo fundisho la Yesu kuhamia chemba maalum mwaka 1884 baada ya kurudi kwake kushindikana kama mwanzilishi wao Miller alivyotabiri. Baada ya watu kuuza mali zao zote na kumsubiri Yesu bila mafanikio mwaka 1884 Miller ilibidi abadili gia angani na kusema kuwa alikuwa amekonfyuzi tu makalikyulesheni yake na huo mwaka 1884 kumbe Yesu alikuwa harudi bali alikuwa anahamia chemba nyingine huko mbinguni ili kuanza kazi rasmi ya kutuombea. Fundisho hili la.msingi linapingwa sana na wanatheologia wengi kwa sababu linamaanisha kwamba kazi ya Yesu haikumalizika pale Msalabani.Adios watakatifu wa Sabato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonyesha ulifumwa kwenye ugoni ukakataa kubatizwa na ukaamua kuasi kanisa ndio maana una hasira sana na wasabato. Neno la Mungu halitaki hasira ndugu.
 
Sasa kaeni mkubaliane. Wenzio wanasema sabato ni siku yeyote uliyoochagua. Kubalianeni kwanza huko kisha mrudi hapa.


Mkuu sikia hili, Mungu hajapriotize siku maalumu ya kusali kwamba siku fulani ukisali ndo sala zako zitasikika zaid. That is big no. Sabato iliyoandikwa katika biblia ukiibadili kwa siku za kisasa hivi, hakuna shaka sabato ni jumamosi.

Ila sabato kuwa Jumamosi, hakumaanishi kwamba jumamosi ndo imetakaswa kuliko siku zote kwa ajili ya sala. na kwa kuwa siku zote ni sawa katika mizani ya sala na baraka zake, So there is no big issue kwa mtu kuambua kutenga jumapili na kusali.

By the way kwa wakatoliki jumapili ndo kilele cha misa za wiki nzima, Ila pia jua kuwa wakatoliki wana misa kila siku iendayo kwa Mungu. Na hapa nazungumzia misa kwa maana ya misa na si ibada (kwani kunakuwa na mageuzi na watu wanashiriki karamu ya bwana.)

Kama una dukuduku lolote jingine lilete.
 
Bora wewe imelijua hilo ila kuna tahadhari kwa kutotii amri za Mungu.Mithali 28:9.
" Yeye aligeuzaye sikio lake asiisikie sheria, Hata sala yake ni chukizo".

Same mstari unakuja kwako, which scriptures said to you with concrete words kuwa usinywe chai ya rangi.? Yesu alitoa mfano kuhusu mbuzi kutumbukia shimoni siku ya sabato. Vivyo hivyo, torati iliandika mzinifu apigwe mawe mpaka kufa but yule kahaba najua uliona jibu lililotolewa.

Hapa ninachotaka kusema, Bible has some flexibilities, mradi tuu usikiuke misingi mikuu ya Mungu na mbayo itamchukiza.
 
Kama huyu padri ndiye mnamtegemea kwa hoja nawapa pole. Mapadri ninaowajua maparoko na mabruda nimefanya nao mazungumzo ya neno la Mungu tena nikiwa na wachungaji wa kilutheri. Wote walikiri kuwa wasemacho wasabato ni ukweli mtupu. Papa ndiye mnyama wa ufunuo 13. Ila sasa wafanyeje ilihali kula yao inaegemea kazi yao hiyo? Niliwatia moyo kuwa siku moja Mungu atawapa kazi nyingine bora zaidi ila wawe tayari kutoka babeli. Kuna mchungaji mmoja wa moravian ni rafiki yangu huwa nampa vitabu vya kanisa letu na anavitumia kufundishia.

Huyu padri wenu angekuwa mkweli angekiri kama wenzie walivyokiri. Ukimkiri Yesu atakukiri mbele za Baba na Malaika Watakatifu.
Hili hoja yako nmekuuliza naona umekosa majibu ukapotelea hewani umebaki na maneno yako tu...uliiongea jana ulipokua unamtetea bi Ellen nkakujibu nkaluuliza na maswal naona yamekua ya moto...umebak umekalili maneno ufunuo 13 na papa ndiye mnyama
 
Hili hoja yako nmekuuliza naona umekosa majibu ukapotelea hewani umebaki na maneno yako tu...uliiongea jana ulipokua unamtetea bi Ellen nkakujibu nkaluuliza na maswal naona yamekua ya moto...umebak umekalili maneno ufunuo 13 na papa ndiye mnyama

Hawa jamaa ni kama watu waliopagawa.
 
Hawa jamaa ni kama watu waliopagawa.
Yani watakuambia leo papa ni mnyama kesho n pembe ndogo kesho kanisa n kahaba na vifungu vyao..ss kila nkiwauliza maswali tokea kwenye hoja na vifungu vyao hawajibu wanabaki kukwambia mara wenzio mapadri wanakiri hvo.
 
Yani watakuambia leo papa ni mnyama kesho n pembe ndogo kesho kanisa n kahaba na vifungu vyao..ss kila nkiwauliza maswali tokea kwenye hoja na vifungu vyao hawajibu wanabaki kukwambia mara wenzio mapadri wanakiri hvo.
Naona mnashitakiana. Hoja gani hiyo ya 666? Mbona nilishajibu kuwa ni papa? Na huyo ndiye pembe ndogo inayozuka kati ya pembe kumi za mnyama wa nne yaani rumi Kama iavyosemwa katika Daniel 7:21-25
 
Naona hamjui hata mnachokiongea mana mnazd kutuchanganya tu,uzi huu unasema kahaba wa ufunuo ni kanisa katoliki na mmeleta na baadhi ya mifano yenu kama ushahidi wa rangi za mavazi na kuwaua watakatifu na hapa unasema papa ndo mnyama na hapo hapo mnatuambia kwny huyo mnyama kutaibuka pembe ndogo katika pembe kumi ambayo itaangusha pembe nyingine tatu nayo pia mwasema ni upapa huo. Haya labda tuanze na mistari hii
1. Katika point yako mosi ya sasa umesema papa ndo mnyama, tizama ufunuo 17:16
Revelation 17:16
[16]And the ten horns which thou sawest upon the beast, these shall hate the whore, and shall make her desolate and naked, and shall eat her flesh, and burn her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto.(kama hujui kuna wanyama wawili toka katika ufunuo 13 wa kwanza ni yule mwenye vichwa saba na pembe kumi na wa pili ni yule atakayeibuka na kutengeneza sanamu ya mnyama wa kwanza na kulazmisha watu wamuabudu mnyama wa kwanza na huyu ataleta chapa 666 ili mtu asiuze wala kununua bila chapa ndo mna verse hii inasem zile pembe 10 za mnyama wa kwanza n wafalme kumi ambao pamoja na mnyama wa pili watafanya vita na huyu kahaba na kumtokomeza kabisa..je unataka kusema mnyama huyu unayemuita ww papa atafanya vita na kahaba huyu mnayetuaminisha katika uzi huu kuwa ni ukatoliki na wataufuta au kuutokomeza kabisa ukatoliki? Na umesema mnyama atatawala siku 1260(miezi 42 kwa kadiri ya unabii wa biblia) ambaye ww wamuita papa sasa na baada ya hapo inamna hatakuwepo kabisa.je upapa haupo sasa?au hzo siku 1260 bado hazijaja na ukisema hazijaja utuambie kama zikija papa mnyama atautokomeza ukatoliki ambao mwadai ndiye kahaba.
Waweza kusema papa atakua mnyama yupi kati ya hao wawl mana nmekusaidia hapo juu,ukisema yule mwnye pembe kumi na vichwa saba nitakuuliza hzo pembe kumi ambazo biblia yasema ni wafalme kumi ni akina nani na hvo vichwa saba ni akina nani ambayo biblia yasema ni wafalme saba,watano wameshaanguka,mmoja yupo na wa saba hajaja na ukumbuke katika vichwa hivi saba ndio kuna kimoja chenye jeraha la mauti(sasa xjui kitakua kati ya hvo vitano vlivoanguka kama utasema n upapa).ukinijibu kuwa upapa ni mnyama wa pili,nitakuuliza mnyama wa kwanza ni nan sasa?
Tizama nanukuu baadhi ya mistari ya nilivovisema:
Revelation 13:11-12,14-15,17
[11]And I beheld another beast coming up out of the earth; and he had two horns like a lamb, and he spake as a dragon.
Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.
[12]And he exerciseth all the power of the first beast before him, and causeth the earth and them which dwell therein to worship the first beast, whose deadly wound was healed.
Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
[14]And deceiveth them that dwell on the earth by the means of those miracles which he had power to do in the sight of the beast; saying to them that dwell on the earth, that they should make an image to the beast, which had the wound by a sword, and did live.
Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
[15]And he had power to give life unto the image of the beast, that the image of the beast should both speak, and cause that as many as would not worship the image of the beast should be killed.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
[17]And that no man might buy or sell, save he that had the mark, or the name of the beast, or the number of his name.
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Usisahau kutuambia ni lini hzo mieziu 42 zmetumika na kama bado inamaana wamaanisha badae mnyama papa atafanya vita na kahaba ukatoliki na kuutokomeza kabisa?
Hoja na maswali haya
Heri nguo kulaluka ,,kuliko kulaluka Akili ,, maana utajiri wa mjinga ni ujinga wake mwenyewe !!.
 
Naona mnashitakiana. Hoja gani hiyo ya 666? Mbona nilishajibu kuwa ni papa? Na huyo ndiye pembe ndogo inayozuka kati ya pembe kumi za mnyama wa nne yaani rumi Kama iavyosemwa katika Daniel 7:21-25
Naona hamjui hata mnachokiongea mana mnazd kutuchanganya tu,uzi huu unasema kahaba wa ufunuo ni kanisa katoliki na mmeleta na baadhi ya mifano yenu kama ushahidi wa rangi za mavazi na kuwaua watakatifu na hapa unasema papa ndo mnyama na hapo hapo mnatuambia kwny huyo mnyama kutaibuka pembe ndogo katika pembe kumi ambayo itaangusha pembe nyingine tatu nayo pia mwasema ni upapa huo. Haya labda tuanze na mistari hii
1. Katika point yako mosi ya sasa umesema papa ndo mnyama, tizama ufunuo 17:16
Revelation 17:16
[16]And the ten horns which thou sawest upon the beast, these shall hate the whore, and shall make her desolate and naked, and shall eat her flesh, and burn her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto.(kama hujui kuna wanyama wawili toka katika ufunuo 13 wa kwanza ni yule mwenye vichwa saba na pembe kumi na wa pili ni yule atakayeibuka na kutengeneza sanamu ya mnyama wa kwanza na kulazmisha watu wamuabudu mnyama wa kwanza na huyu ataleta chapa 666 ili mtu asiuze wala kununua bila chapa ndo mna verse hii inasem zile pembe 10 za mnyama wa kwanza n wafalme kumi ambao pamoja na mnyama wa pili watafanya vita na huyu kahaba na kumtokomeza kabisa..je unataka kusema mnyama huyu unayemuita ww papa atafanya vita na kahaba huyu mnayetuaminisha katika uzi huu kuwa ni ukatoliki na wataufuta au kuutokomeza kabisa ukatoliki? Na umesema mnyama atatawala siku 1260(miezi 42 kwa kadiri ya unabii wa biblia) ambaye ww wamuita papa sasa na baada ya hapo inamna hatakuwepo kabisa.je upapa haupo sasa?au hzo siku 1260 bado hazijaja na ukisema hazijaja utuambie kama zikija papa mnyama atautokomeza ukatoliki ambao mwadai ndiye kahaba.
Waweza kusema papa atakua mnyama yupi kati ya hao wawl mana nmekusaidia hapo juu,ukisema yule mwnye pembe kumi na vichwa saba nitakuuliza hzo pembe kumi ambazo biblia yasema ni wafalme kumi ni akina nani na hvo vichwa saba ni akina nani ambayo biblia yasema ni wafalme saba,watano wameshaanguka,mmoja yupo na wa saba hajaja na ukumbuke katika vichwa hivi saba ndio kuna kimoja chenye jeraha la mauti(sasa xjui kitakua kati ya hvo vitano vlivoanguka kama utasema n upapa).ukinijibu kuwa upapa ni mnyama wa pili,nitakuuliza mnyama wa kwanza ni nan sasa?
Tizama nanukuu baadhi ya mistari ya nilivovisema:
Revelation 13:11-12,14-15,17
[11]And I beheld another beast coming up out of the earth; and he had two horns like a lamb, and he spake as a dragon.
Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.
[12]And he exerciseth all the power of the first beast before him, and causeth the earth and them which dwell therein to worship the first beast, whose deadly wound was healed.
Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
[14]And deceiveth them that dwell on the earth by the means of those miracles which he had power to do in the sight of the beast; saying to them that dwell on the earth, that they should make an image to the beast, which had the wound by a sword, and did live.
Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
[15]And he had power to give life unto the image of the beast, that the image of the beast should both speak, and cause that as many as would not worship the image of the beast should be killed.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
[17]And that no man might buy or sell, save he that had the mark, or the name of the beast, or the number of his name.
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Usisahau kutuambia ni lini hzo mieziu 42 zmetumika na kama bado inamaana wamaanisha badae mnyama papa atafanya vita na kahaba ukatoliki na kuutokomeza kabisa?
 
Haya tujibu hapo nmekujibu na kukuuliza kwa kutumia mistari ya biblia..hya pangua nawe kwa biblia usituambie sijui hata nan anasemaga hv na vle
 
Inaonyesha ulifumwa kwenye ugoni ukakataa kubatizwa na ukaamua kuasi kanisa ndio maana una hasira sana na wasabato. Neno la Mungu halitaki hasira ndugu.
Naona huna la kusema kuhusu niliyoyasema. Yeah! Nilifumwa ugonini nikimgegeda dadako. Been there done that. Endelea na kiburi, kuhukumu wenzio, ujinga na kujiona uko bora na mtakatifu kisa tu eti unasali Jumamosi.

Na mwenye hasira ni wewe mtakatifu bandia uliyeacha niliyoyaandika na kuanza vi ad hominem attacks na mambo ya ugoni. Kuna watu wanatomb*ana na kuzini kama Waadventista Wasabato? Unakijua kinachofanyika kwenye makambi ya vijana? Get out of here with that Bulshit man! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
e91f21adebefbd44174aa01ee31e0a84.jpg
 
Naona hamjui hata mnachokiongea mana mnazd kutuchanganya tu,uzi huu unasema kahaba wa ufunuo ni kanisa katoliki na mmeleta na baadhi ya mifano yenu kama ushahidi wa rangi za mavazi na kuwaua watakatifu na hapa unasema papa ndo mnyama na hapo hapo mnatuambia kwny huyo mnyama kutaibuka pembe ndogo katika pembe kumi ambayo itaangusha pembe nyingine tatu nayo pia mwasema ni upapa huo. Haya labda tuanze na mistari hii
1. Katika point yako mosi ya sasa umesema papa ndo mnyama, tizama ufunuo 17:16
Revelation 17:16
[16]And the ten horns which thou sawest upon the beast, these shall hate the whore, and shall make her desolate and naked, and shall eat her flesh, and burn her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona, na huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi, watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto.(kama hujui kuna wanyama wawili toka katika ufunuo 13 wa kwanza ni yule mwenye vichwa saba na pembe kumi na wa pili ni yule atakayeibuka na kutengeneza sanamu ya mnyama wa kwanza na kulazmisha watu wamuabudu mnyama wa kwanza na huyu ataleta chapa 666 ili mtu asiuze wala kununua bila chapa ndo mna verse hii inasem zile pembe 10 za mnyama wa kwanza n wafalme kumi ambao pamoja na mnyama wa pili watafanya vita na huyu kahaba na kumtokomeza kabisa..je unataka kusema mnyama huyu unayemuita ww papa atafanya vita na kahaba huyu mnayetuaminisha katika uzi huu kuwa ni ukatoliki na wataufuta au kuutokomeza kabisa ukatoliki? Na umesema mnyama atatawala siku 1260(miezi 42 kwa kadiri ya unabii wa biblia) ambaye ww wamuita papa sasa na baada ya hapo inamna hatakuwepo kabisa.je upapa haupo sasa?au hzo siku 1260 bado hazijaja na ukisema hazijaja utuambie kama zikija papa mnyama atautokomeza ukatoliki ambao mwadai ndiye kahaba.
Waweza kusema papa atakua mnyama yupi kati ya hao wawl mana nmekusaidia hapo juu,ukisema yule mwnye pembe kumi na vichwa saba nitakuuliza hzo pembe kumi ambazo biblia yasema ni wafalme kumi ni akina nani na hvo vichwa saba ni akina nani ambayo biblia yasema ni wafalme saba,watano wameshaanguka,mmoja yupo na wa saba hajaja na ukumbuke katika vichwa hivi saba ndio kuna kimoja chenye jeraha la mauti(sasa xjui kitakua kati ya hvo vitano vlivoanguka kama utasema n upapa).ukinijibu kuwa upapa ni mnyama wa pili,nitakuuliza mnyama wa kwanza ni nan sasa?
Tizama nanukuu baadhi ya mistari ya nilivovisema:
Revelation 13:11-12,14-15,17
[11]And I beheld another beast coming up out of the earth; and he had two horns like a lamb, and he spake as a dragon.
Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka.
[12]And he exerciseth all the power of the first beast before him, and causeth the earth and them which dwell therein to worship the first beast, whose deadly wound was healed.
Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
[14]And deceiveth them that dwell on the earth by the means of those miracles which he had power to do in the sight of the beast; saying to them that dwell on the earth, that they should make an image to the beast, which had the wound by a sword, and did live.
Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
[15]And he had power to give life unto the image of the beast, that the image of the beast should both speak, and cause that as many as would not worship the image of the beast should be killed.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
[17]And that no man might buy or sell, save he that had the mark, or the name of the beast, or the number of his name.
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Usisahau kutuambia ni lini hzo mieziu 42 zmetumika na kama bado inamaana wamaanisha badae mnyama papa atafanya vita na kahaba ukatoliki na kuutokomeza kabisa?
Unachojaribu kufanya hapa ni kiwachanganya wasomaji wasijuee ukweli ni upi. Makala ndeefu lakini haina la maana unajizungusha zungusha tu. Tulishasema kwa muujibu wa Biblia kitabu cha Daniel na ufunuo vyote huzungumzia mamlaka moja nayo ni upapa. Hivyo pembe ndogo yenye macho ya na kanwa lililonena makufuru katika Daniel 7:23-35 ndiye huyo huyo mnyama wa ufunuo anayetengeneza sanamu ili watu wote waitii yaani siku ya jumapili. ufunuo 13:15-18. Yaani mtu awaye yote atakayekataa kusujudia sanamu hii atauawa. Na ndiyo maana Biblia ikatwambia mnyama huyu ana tarakimu za kibinadamu na mwwnye hekima aweza kuihesabu hesabi hiyo. Nayo ni 666. Hapa Kama Biblia inavyosema katika ufunuo 13:18. Ni wale walio na akili tu wawezao kuihesabu hesabu hiyo. Nenda uendako utaambiwa Papa kiongozi wa kanisa katoliki anajifananisha na Mwana wa Mungu yaani Yesu. Ndio maana Biblia husema ana majina ya makufuru. Papa anajiita VICARIUS FILII DEI neno la kilatini limaanishalo Vicar of the Son of God au mwakilishi wa Mwana wa Mungu, linaleta idadi hiyo ya 666. Halafu ninyi mnaleta propaganda eti ni Ellen G. White wakati Biblia inataja mamlaka yaani papacy au upapa sio individual. Kwa hiyo yeyote anayekalia kiti cha upapa anavaa title hiyo huku akipewa support na kanisa linalofananishwa na kahaba mkuu kwa kuasi maagizo ya Mungu.
 
Naona huna la kusema kuhusu niliyoyasema. Yeah! Nilifumwa ugonini nikimgegeda dadako. Been there done that. Endelea na kiburi, kuhukumu wenzio, ujinga na kujiona uko bora na mtakatifu kisa tu eti unasali Jumamosi.

Na mwenye hasira ni wewe mtakatifu bandia uliyeacha niliyoyaandika na kuanza vi ad hominem attacks na mambo ya ugoni. Kuna watu wanatomb*ana na kuzini kama Waadventista Wasabato? Unakijua kinachofanyika kwenye makambi ya vijana? Get out of here with that Bulshit man! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
e91f21adebefbd44174aa01ee31e0a84.jpg
Mroma katika ubora wake
 
Unachojaribu kufanya hapa ni kiwachanganya wasomaji wasijuee ukweli ni upi. Makala ndeefu lakini haina la maana unajizungusha zungusha tu. Tulishasema kwa muujibu wa Biblia kitabu cha Daniel na ufunuo vyote huzungumzia mamlaka moja nayo ni upapa. Hivyo pembe ndogo yenye macho ya na kanwa lililonena makufuru katika Daniel 7:23-35 ndiye huyo huyo mnyama wa ufunuo anayetengeneza sanamu ili watu wote waitii yaani siku ya jumapili. ufunuo 13:15-18. Yaani mtu awaye yote atakayekataa kusujudia sanamu hii atauawa. Na ndiyo maana Biblia ikatwambia mnyama huyu ana tarakimu za kibinadamu na mwwnye hekima aweza kuihesabu hesabi hiyo. Nayo ni 666. Hapa Kama Biblia inavyosema katika ufunuo 13:18. Ni wale walio na akili tu wawezao kuihesabu hesabu hiyo. Nenda uendako utaambiwa Papa kiongozi wa kanisa katoliki anajifananisha na Mwana wa Mungu yaani Yesu. Ndio maana Biblia husema ana majina ya makufuru. Papa anajiita VICARIUS FILII DEI neno la kilatini limaanishalo Vicar of the Son of God au mwakilishi wa Mwana wa Mungu, linaleta idadi hiyo ya 666. Halafu ninyi mnaleta propaganda eti ni Ellen G. White wakati Biblia inataja mamlaka yaani papacy au upapa sio individual. Kwa hiyo yeyote anayekalia kiti cha upapa anavaa title hiyo huku akipewa support na kanisa linalofananishwa na kahaba mkuu kwa kuasi maagizo ya Mungu.
Mkuu mbna hujibu maswali nmekuwekea maswali kwa kila kiju utakalochagua...kama papa ndo pembe ndogo manake aliangusha wafalme watatu wataje na wataje na hao wafalme kumi na pia hujasoma vzr biblia yako mnyama wa pili ndo atakayetengeneza sanamu ya mnyama wa kwanza na kushurutisha watu waiabudu...nkakuuliza kati ya hao wawl yupi atakua papa ss mana kama...hunijibu na nmekuwekea na vifungu vya biblia kwa kila swal na hoja yangu
 
Unachojaribu kufanya hapa ni kiwachanganya wasomaji wasijuee ukweli ni upi. Makala ndeefu lakini haina la maana unajizungusha zungusha tu. Tulishasema kwa muujibu wa Biblia kitabu cha Daniel na ufunuo vyote huzungumzia mamlaka moja nayo ni upapa. Hivyo pembe ndogo yenye macho ya na kanwa lililonena makufuru katika Daniel 7:23-35 ndiye huyo huyo mnyama wa ufunuo anayetengeneza sanamu ili watu wote waitii yaani siku ya jumapili. ufunuo 13:15-18. Yaani mtu awaye yote atakayekataa kusujudia sanamu hii atauawa. Na ndiyo maana Biblia ikatwambia mnyama huyu ana tarakimu za kibinadamu na mwwnye hekima aweza kuihesabu hesabi hiyo. Nayo ni 666. Hapa Kama Biblia inavyosema katika ufunuo 13:18. Ni wale walio na akili tu wawezao kuihesabu hesabu hiyo. Nenda uendako utaambiwa Papa kiongozi wa kanisa katoliki anajifananisha na Mwana wa Mungu yaani Yesu. Ndio maana Biblia husema ana majina ya makufuru. Papa anajiita VICARIUS FILII DEI neno la kilatini limaanishalo Vicar of the Son of God au mwakilishi wa Mwana wa Mungu, linaleta idadi hiyo ya 666. Halafu ninyi mnaleta propaganda eti ni Ellen G. White wakati Biblia inataja mamlaka yaani papacy au upapa sio individual. Kwa hiyo yeyote anayekalia kiti cha upapa anavaa title hiyo huku akipewa support na kanisa linalofananishwa na kahaba mkuu kwa kuasi maagizo ya Mungu.
Kwahyo kama biblia inataja mamlaka na s individual papa na ukumbuke umesema upapa utapewa kutawala miezi 42 tu je imepita au bado na kama bado huu wa sasa n nini...au hyo miez 42 inaanza kutumika lini...
 
Kwahyo kama biblia inataja mamlaka na s individual papa na ukumbuke umesema upapa utapewa kutawala miezi 42 tu je imepita au bado na kama bado huu wa sasa n nini...au hyo miez 42 inaanza kutumika lini...
Hebu dadavua hapa uzi huu unamhusu kahaba wa ufunuo 17 ambaye mnasema ni kanisa katoliki lkn nmenukuu mistari ya ufunuo 17 hapo juu ambayo inasema vile vichwa kumi na mnyama wa pili(ambaye s upapa sasa mana upapa utakua katika mnyama wa kwanza mwy pembe kumi) watafanya vita juu ya mwanamke kahaba na kumteketeza kabsa...ss swal je upapa utaushambulia ukatoliki....jibu usikimbilie propaganda...nukuu ya mistari iko juu pale
 
Here we go again. Seventh Adventists (Wasabato) at work. Yaani bila Papa na ukatoliki hamna dini. Hata hiyo misingi ya Usabato huwa mnaihubiri saa ngapi kama kazi yenu kuu ni kupambana na Papa na ukatoliki 24/7? Nyinyi mnaamini nini? Wokovu unapatikanaje? Kwa kusoma na kufuata mafundisho ya Bibi Ellen G. White? Kwa kutokula samaki wenye magamba, wanyama wasio na kwato zilizogawanyika na wale wasiocheua? Ni kwa kuabudu Jumamosi? Ni kwa kutokunywa chai, kahawa na soft drinks? Ni kwa kukurupuka na kuwa na kiherehere cha kuhusisha kila tukio na unabii wa vitabu vya Daniel na Ufunuo? Usabato ni nini? Mtu atakwenda mbinguni kwa sababu ni Msabato?

Inawezekana kweli Papa ni ajenti wa shetani na kahaba mkuu wa Ufunuo lakini je, hili linawasaidiaje nyinyi kama Wasabato? Mbona mko so obsessed na Papa na Wakatoliki? Dini na madhehebu mengine yote yako sawa isipokuwa Wakatoliki? Mbona siwaoni mkiwachimba mf. Mormons au Jehova's Witness? Why Catholics only? Au mna bifu la kihistoria na Papa na ukatoliki?

Samahani kwa maswali mengi na natumaini kwamba hutatoa povu na badala yake utajaribu kutuelimisha kuhusu kikundi hiki cha kifarisayo (washika sheria za Musa) kiitwacho Seventh Adventists, kiundi chenye mauzauza mengi yasiyofungamana na mafundisho ya Biblia.

Anyway, Happy New Year mkuu (kama mnasherehekea mwaka mpya)! Naona mwaka mpya Wasabato mmeuanza vizuri na Wakatoliki aisee mpaka waombe poo [emoji23][emoji23][emoji23]. Post zaidi ya 7 hivi za kuanika ushetani wa Papa na ukatoliki tangu 2017 uanze. Ingekuwa mnashambulia let's say Uislamu naamini threads zenu zingekuwa zinafutwa. Komaeni na "mashetani" na "makahaba" wa kikatoliki mpaka kieleweke ila tu hakikisheni kuwa na nyie mko sawa kiimani!
Hv ulijuaje kama aliyeandika ni msabato make naona povu jingi
 
Back
Top Bottom