Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
- Thread starter
- #521
Mwache alielie tuMwenzio anakuambieni ukweli unasema anakopi
YHWH IS GOOD
Kuna uzi nimeshauandaa nadhani mod wanaupitia
YHWH IS GOOD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache alielie tuMwenzio anakuambieni ukweli unasema anakopi
YHWH IS GOOD
Cheza na hesabu hiiAll the time Yhwh is good
YHWH IS GOOD
Nipe link niufuate huko .. niambie ni jukwaa gani....Mwache alielie tu
Kuna uzi nimeshauandaa nadhani mod wanaupitia
YHWH IS GOOD
Lini egw aliua watakatifu?Cheza na hesabu hii
Pili, abishe kwamba gematria
E L L E N G O U L D W H I T E
0+50+50+0+0 + 0+ 0+5+50+500+10+0+1+0+0 = 666 si hesabu sawa.
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/22187283Nipe link niufuate huko .. niambie ni jukwaa gani....
Yes! Alifanya mauaji makubwa huko Marekani..Lini egw aliua watakatifu?
Utatia aibu ohooo
YHWH IS GOOD
Hakuna link hapo...huji kuweka link...kwanza nimekufukunyua hakuna uzi ulianzisha..
Ndio maana tunawaambiwa mmepotea hamsikii
Hivi hiyo ndio amri ya 2?
Weka aya wewe.Hiyo ni amri ta tatu(kutoka 20:7),Ya pili iangalie ktk kutoka 20:4.Soma mwenyewe biblia ususubiri usomewe ndugu
Cheza na number ya Kahaba Nabii Mke EGWUtatia aibu ohooo
Mkuu nakusoma kwa jicho la 3DNDO MTAJUA WAKATOLIKI HUWA WANASOMA BIBLIA AU WANASOMEWA..............
NDO MTAJUA KWA NINI WAKATOLIKI HUWA WANAWATAZAMA WAELENI WA AINA YENU KAMA MASANAMU
Mbona unaandika utumboCheza na number ya Kahaba Nabii Mke EGW
Pili, abishe kwamba gematria
E L L E N G O U L D W H I T E
0+50+50+0+0 + 0+ 0+5+50+500+10+0+1+0+0 = 666 si hesabu sawa.
Hakuna link au huna macho? Subir mod wauhariri kwanzaHakuna link hapo...huji kuweka link...kwanza nimekufukunyua hakuna uzi ulianzisha..
Kajipange
Cheza na number(Gematria)
Pili, abishe kwamba gematria
E L L E N G O U L D W H I T E
0+50+50+0+0 + 0+ 0+5+50+500+10+0+1+0+0 = 666 si hesabu sawa.
Leo nataka uelewe biblia inasema nini kuhusu namba 666 na maana yake kulingana na Biblia takatifu.Cheza na number ya Kahaba Nabii Mke EGW
Pili, abishe kwamba gematria
E L L E N G O U L D W H I T E
0+50+50+0+0 + 0+ 0+5+50+500+10+0+1+0+0 = 666 si hesabu sawa.
Cheza na Gematria hiyo..Mbona unaandika utumbo
![]()
YHWH IS GOOD
Ufunuo hiyo inamtaja Kahaba Ellen G White...Leo nataka uelewe biblia inasema nini kuhusu namba 666 na maana yake kulingana na Biblia takatifu.
*Ufunuo 13:16-18*
wewe mtaalamu wa maandiko matakatifu (BINGWA WA BIBLIA) usiejua hata maana na matumizi ya neno YHWHYHWH IS GOOD
Naangalia profile yako hakuna uzi....Nipo na wewe mpaka mwisho...Ndo kwanzs nimekaa sawa..Hakuna link au huna macho? Subir mod wauhariri kwanza
Ewe muabudu sanamu
YHWH IS GOOD
Utaishia kuweka picha mpaka basi..![]()
YHWH IS GOOD
Mbona unapaniki ?wewe mtaalamu wa maandiko matakatifu (BINGWA WA BIBLIA) usiejua hata maana na matumizi ya neno YHWH
in short hilo sio jina la Mungu, ila ni kosa lilofanywa na padre mkatoliki enzi izo
(NAKUSUBIRI UBISHE)
NAJUA UTAKURUPUKa OOOOH LIMO HATA KWENYE BIBLIA, tena zaidi ya mara 6000 (nasubiri ubishe)
na ndo utajua kazi ya kupanga biblia kama unavoiona ilifanywa na akina nani
nimegundu huelewi unacho kifanya, huelewi unacho kipinga, huelewi unacho kitetea na NA BILA KUPEPESA MACHO IN SHORT HUJIELEWI
na ndoo maana watu waelewa na wajuvi wa mambo kama kaka BENCHES, wamekupuuzia tu
sasa unashambulia na kutukana kila siku kanisa katoliki, huku unatumia baadhi ya mambo na mafundiho ya kanisa katoliki tena yaliopo kimakosa,
SASA VITU VIDOGO KAMA YHWH VIMEKUSHINDA, MAMBO NA MAFUNDISHO MAZITO YA KANISA KATOLIKI UTAYAWEZA ??????????
pole sana
NI SALAMU TU IZO....................... NAKUJA