Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mfahamu kahaba mkuu wa Ufunuo 17

Mimi mada huwa naijibu kwa mada

Sasa tulia hapa upuuz wako unajibiwa kwa hoja

YHWH IS GOOD
Nimekuambia ni labda nipigwe ban ndo huwa uzi sijibu....Kote kote nagonga...huku nakugonga, kule kugonga

Wasabato kule wanafarakana...wanakuja na kuondoka...Muulize Kitaja
 
Acha kupaniki

Kama umeahindwa kung'amua jambo dogo tu ,sabato ni siku ipi ,

Utaweza kujadiliana na mimi kweli?

Mada ya sabato ni lini ,hiyo nitakuletea mwanangu akufundishe

YHWH IS GOOD

Ngoja sasa nikueleweshe kuhusu sabato ya kweli ya siku ya saba ewe ndugu.
Mwanzo 1:14 inasema "Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndio dalili na majira na siku na miaka."
Mungu aliumba Jua na mwezi ili kupata hesabu ya siku, juma, mwezi na mwaka. Sabato ni siku ya Saba ya Juma, hivyo lazima kutumia kalenda ambayo inatumia mwezi na jua ili kukamilisha mzunguko. Ni kalenda ya kiebrania peke yake yenye sifa hizo. Huwezi kupata sabato ya siku ya saba kwa kuangalia kalenda ya ukutani, lazima ufuate kalenda ambayo inaongozwa na moving bodies angani, yaani jua na mwezi.
Utaratibu huo umetumika tangu mwanzo wa kuumbwa kwa binadamu na utaratibu huo utaendelea kipindi cha nchi mpya na mbingu mpya. Isaya 66:23 inasema "Na itakuwa , mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu " [hapa biblia haisemi jumamosi hata jumamosi]
Waebrania walikuwa wana desturi ya kutunza sabato kufuatana na mwandamo wa mwezi, mwezi unapoandama ndio mwanzo wa kupata siku, juma na hatimaye mwezi. Mwezi huanza na kumalizika, vibyo hivyo huwezi kupata sabato bila kutambua mwezi.
Ushahidi upo mwingi kwenye biblia nakupa fungu la Amosi 8:5
inasema " .mkisema, Mwezi mpya utaondoka lini, tupate kuuza nafaka? na sabato nayo, tupate kuandika ngano?...."

Hapa wengi hamfahamu namna gani tunaweza kupata haya majuma na masiku kwa kufuta kalenda hiyo ya kiebrania, iko hivi; mwezi ukiandama leo, kesho inaitwa siku ya mwandamo wa mwezi, waebrania waliambiwa wasifanye kazi siku hiyo japo sio sabato, then baada ya pumziko hilo la mwandamo wa mwezi siku inayofuata inakuwa tarehe 2 ya mwezi huo na sequence hiyo inaendelea hadi mwezi uishe. Hivyo basi kama tarehe 2 ni siku ya kwanza ya juma siku ya saba inakuwa tarehe 8 ambayo ni sabato, tarehe 15 ni sabato, tarehe 22 ni sabato na tarehe 29 inakuwa sabato ya mwisho ya mwezi huo. Kalenda hiyo haibadiliki kila mwezi kila mwaka. Ndio maana wayahudi waliambiwa waadhimishe pasaka kila mwaka siku ya maandalio ambayo ni tarehe 14 mwezi wa kwanza kila mwaka [Soma Kutoka 12:18 " Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne, wakati wa jioni, mtakula mikate isiyochachwa........."
Kutoka 13:10 inasema "Kwa hiyo utaitunza amri hii kwa wakati wake mwaka baada ya mwaka "]
Bila shaka Yesu alikufa siku ya maandalio ambayo ni tarehe 14 ya mwezi wa kwanza na kufufuka tarehe 16 mwezi wa kwanza, kwa vile tarehe 15 ilikuwa ni sabato.

Wapagani wa kiroma, ili kuonekana hawawafuati waebrania na kalenda yao ya kidini, wali jaribu kuiga na kuichomeka pasaka yao ambayo imeshindwa kuwa fixed na kalenda yao. Haiwezekani kuadhimisha pasaka kwa tarehe ile ile na siku ile ile kila mwaka. Ndo maana kila mwaka wa kalenda ya kipagani ya gregorian pasaka huadhimishwa kwa tarehe tofauti kila mwaka badala ya tarehe iliyoagizwa na Mungu. wamebakisha siku tu ya Ijumaa na Jumapili ili kuendelea kuukazia uongo wao kuwa jumamosi ni siku ya saba, hivyo ni sabato.

Hivyo kwa kuhakikisha true sabbath inapotea lazima uhakikishe calenda ya kiebrania inapotea kabisa na kuingiza kalenda ya bandia ya gregorian, na kuipa majina ya miungu yao , na kusema Sunday ni siku ya kwanza, Monday the second day....nk na saturday the seventh day. Hivyo wamefanikiwa sana warumi kuudanganya ulimwengu kama andiko la unabii la Danieli 7:25 kwamba " .....naye ataazimu kubadili majira(times) na sheria (laws)" hii kalenda ilibadilishwa na saa zikabadilishwa yaani siku hizi saa inaanza saa sita usiku, japo wasabato wanaanza siku jioni na kuadhimisha kwa masaa 24 kinyume na waebrania ambapo siku inaadhimishwa kwa masaa 12 tu [angalia Yohana 11:9 " Yesu akajibu, Je saa za mchana si kumi na mbili?"] Yaani waebrania waliadhimisha sabato jua linapochomoza na kuisha jua linapozama, siku imeisha.

Ili nisiwachoshe, zipo evidence za kutosha katika biblia zinazoonyeha waebrania wale hawakuabudu sabato siku ya jumamosi au kwa kutumia kalenda ya gregorian bali walitumia kalenda yao ambayo inatumia mwezi na jua. na wasomaji wazuri wa unabii wa biblia wanajua kuwa mwaka wa biblia una siku 360 na mwezi una siku 30. Yaani unachukua average ya siku 354 ya mwezi[siku 29.5 mzunguko wa mwezi] na siku 366[mzunguko wa jua] ya jua unapata 360.

Warumi kwa vile ibilisi ndo anawatumia kuendesha empire yake amehakikisha kalenda hii haifahamiki ili kuwapotosha binadamu wasimfahamu muumba wao, kwa vile sabato inawasogeza binadamu kwa muumba wao waeze kumwabudu.

Itaendelea.
 
Ila kuabudu masanamu

Kula nguruwe

Kuruhusu ushoga

Kuvunja amri za Mungu

Kusherekea sikukuu za kipagan X mass, easter paganism,hallowen , jumatano ya majivu,n.k

Kuombea wafu ,au ibada ya wafu
Kwan haipaswi kuombea wafu?
 
Sababu ya kuufuta uzi ni nini hasa..???
mie sio muhusika huko team mod, ila wewe nadhani ulitoka kwenye uzi huu ukaenda kuanzisha chako tena badala ya kuanzisha huku ukaamua kupeleka jukwaa jingine na mada ni hiiya 666 WAKATI HUKU IPO. kama kupinga pinga ukiwa humu humu. Ilikuwa HAIJAKAA VIZURI.
 
Hahaaa unajitekenya na kucheka
aa969255eb1e7383177e45ce3d035039.jpg
8440564edc5e9cebeba9f9c522aa375c.jpg

605849a1cf532628d0d97998c1910425.jpg


Mnyama aliwatesa watakatifu wa Mungu.
Rumi ilifanya mauaji ya kutisha katika kipindi cha mfalme Nero na Constantine, pia UPAPA uliongoza mauaji ya kikatili yasiyoweza kuelezeka kuanzia mwaka 538 hadi Mwaka 1798. Ikiwa ni jumla ya kipindi cha miaka 1260 watakatifu wa Mungu waliuawa kikatili wale wote ambao walikuwa waaminifu na watunzaji wa amri za Mungu pamoja na neno lake. Mauaji hayo yalifanywa chini ya Kiongozi wa kanisa katoliki St. Bartholomew na yalijulikana kama BARTHOLOMEW MASSACRE.
Mnyama amekaliwa na Mwanamke Kahaba.
Mpaka sasa hakuna kanisa lolote duniani linalomiliki nchi yake isipokuwa Catholic Church ambapo inamiliki nchi ya VATICAN na raisi wake ni Kiongozi wa juu kabisa wa kanisa hilo yaani PAPA.
Aliazimu kubadili majira na sheria.
Kanisa katoliki ndilo lililobadili kalenda na nyakati mpaka sasa inatumika ulimwenguni kote. Mamlaka ya kipapa yalibadili siku 30 za kila mwezi kama mpango wa Mungu na kuweka mpango wa mwezi kuwa na siku 28,29,30,31 Ikiwa ni kuendesha ibada za miungu na hata majina ya miezi asili yake ni majina ya miungu mfano JANUARY (ni muungu JANUS) n.k

YHWH IS GOOD
Wee! hii kitu sio kweli Mbona huelewi. Nani kawaambia mtafute hilo jina kwa namba za kirumi wakati ufunuo ulishushwa kwa lugha ya kiebrania na kuna namba zao tofauti na hizo. Vigezo vingine ulivyotoa vinaweza kuwa kweli, lakini hili la HESABU NO. SIO KWELI.
Tumia namber system za Hebrew ambayo haikopeshi na itakataa kwa Papa. HAPA UMEWEKA USHABIKI
OLE WAKO, pamoja na kusema YHWH IS GOOD
hIVYO VIASHIRIA VINGINE VINAPOTOSHA UKWELI MZIMA ingawa ni kazi iliyochukua muda kuitafiti na kuiweka kwenye mtandao mpaka wewe ukaikuta huko ukaishabikia kwa stahili hii
 
Unayafahamu mauaji makubwa yaliyosababishwa na Nabii Mke Ellen G White....(The Great Disappointment)
Hivi vitu huwa hawavigusii kabisaaa,hata ufanyeje watarukia kitu kingine.

Kitaja njoo jibu hili Great Disappointment na tabiri za uongo za nabii mke EGW kuhusu ujio wa Yesu Kristo.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Wee! hii kitu sio kweli Mbona huelewi. Nani kawaambia mtafute hilo jina kwa namba za kirumi wakati ufunuo ulishushwa kwa lugha ya kiebrania na kuna namba zao tofauti na hizo. Vigezo vingine ulivyotoa vinaweza kuwa kweli, lakini hili la HESABU NO. SIO KWELI.
Tumia namber system za Hebrew ambayo haikopeshi na itakataa kwa Papa. HAPA UMEWEKA USHABIKI
OLE WAKO, pamoja na kusema YHWH IS GOOD
hIVYO VIASHIRIA VINGINE VINAPOTOSHA UKWELI MZIMA ingawa ni kazi iliyochukua muda kuitafiti na kuiweka kwenye mtandao mpaka wewe ukaikuta huko ukaishabikia kwa stahili hii
Wewe achakubisha ukweli ndio huo

666 Inahusika na papa moja kwa moja
 
Nadhani unahitaji kupimwa akili
Unaepaswa kupimwa akili ni wewe,kwani hujui kuwa Warumi waliwaua wafuasi wa Kristo wa mwanzo yani Wakatoliki akiwemo kiongozi wao wa kwanza Petro,wkt huo Miller/EGW/Bates hawakuwepo.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Hivi vitu huwa hawavigusii kabisaaa,hata ufanyeje watarukia kitu kingine.

Kitaja njoo jibu hili Great Disappointment na tabiri za uongo za nabii mke EGW kuhusu ujio wa Yesu Kristo.

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Mtahangaika sana safari hii, maana uongo wenu wote umegundulika sijui mtakuja na uongo hqni mwingine.
 
Mtahangaika sana safari hii, maana uongo wenu wote umegundulika sijui mtakuja na uongo hqni mwingine.
Umegundulika na nani.. ??? Uongo unathibitishwa kwa kweli...

Kanusha kuwa mauaji ya Great Disappointment hayakutokea...

Kanusha kuwa Nabii Mke hakupinga Utatu Mtakatifu..

Kanusha kuwa Kikundi cha SDA siyo cult

Kanusha kuwa Kahaba Ellen G White hakupinga Ufufuko wa Yesu
 
Wewe achakubisha ukweli ndio huo

666 Inahusika na papa moja kwa moja
TUNABISHA KWA HOJA. PINGA HOJA YANGU KWA HOJA ELEWEKA. NIMESEMA NAmba za kirumi hazitumiki kuipata 666 kwa kuwa ufunuo haijashushwa kwa lugha hiyo. UMESHUSHWA KWA KIIBRENANIA(HEBREW) Kwa hiyo namba za hebrew zinahusika na kwa PAPA haileti 666. wala kwa huyo Msabato. NARUDIA MSIPOTOSHE WATU
 
Back
Top Bottom