balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mmiliki wa nchi anaweza kutekwa? Au alijiteka?Huyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmiliki wa nchi anaweza kutekwa? Au alijiteka?Huyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
Huyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
Mmh, Robot hawezi kujibu kiufasaha hivi, huyo ni binadamu kajibu bhanaaCheck jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707
Mmh, Robot hawezi kujibu kiufasaha hivi, huyo ni binadamu kajibu bhanaa
Hi ni search engine ya US pia au ?Tumia chat GPT achana na google mkuu
Mmiliki wa Tanzania ni Athena aka The Don singanojrHuyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
Mkuu samahani ni lazima ujaze kule kwenye credit card no ukitaka kujiunga?Check jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707
Bado tuko wengi,kumbe google nae anawapinzan,kwel hakuna biashara ya peke yakoinashangaza bado kuna watu wanatumia Google
Ni ipi pale maana ukifungua playstore zinakuja nyingi...sasa ni ipi unayotakiwa kudownloadDownload openchat gpt pale play store mkuu,,Kisha Anza kuitumia ila ipo ya free na ipo inayolipiwa Kwa mwezi Hadi mwaka mmoja.
ChatGPT ni artificial intelligence chatbot ambalo liko na speed na umakini wa hali ya juu wa kutafuta habari na kufanya uchanganuzi wa chochote ambacho unaliuliza Kwa haraka sana na uhakika zaidi.
Watu wengi wanalitumia sasa hivi Kwa kufanya research mbalimbali,kufanya analysis mbalimbali,kuandika proposals n.k
Ni trend mpya kwenye technology lifatilie utajua maajabu yake.
Amegoogle neither sense nor nonsense; Google wamejibu neither sense nor nonsense.Hapo nimekupata vizuri sana mkuu.
sio robot ni Chatbot AlMmh, Robot hawezi kujibu kiufasaha hivi, huyo ni binadamu kajibu bhanaa
inashangaza bado kuna watu wanatumia Google
Huwezi kuikwepa Google wewe hata ufanyeje , alichokosea yeye Ka Google jina Tanzania , Kwa vyovyote watakuletea famous Website yenye jina Tanzania , angeclarify anachooukiza na sio kutaja Tu Tanzania , hasa Kwa nchi kama zetu ambazo hazijulikan Sanainashangaza bado kuna watu wanatumia Google
Na anatoa jibu kwa maelezo tofauti kwa kila mtu.Check jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707
unaposema huwezi kuikwepa Google unamaana gani mkuu?,kuikwepa unaikwepa tu labda kama unamazoea nayo tu,siku hizi technology imebadilika na imekua sanaHuwezi kuikwepa Google wewe hata ufanyeje , alichokosea yeye Ka Google jina Tanzania , Kwa vyovyote watakuletea famous Website yenye jina Tanzania , angeclarify anachooukiza na sio kutaja Tu Tanzania , hasa Kwa nchi kama zetu ambazo hazijulikan Sana
wapinzani wamekuwa wengi halafu wanaboresha kumzidiBado tuko wengi,kumbe google nae anawapinzan,kwel hakuna biashara ya peke yako
Indeed! Rubbish in, rubbish out.google uki google kitu chochote watakuletea hatakama hicho kitu hakipo,
watajitahidi kukuletea maelezo yanayotaka kufanana na ulichogoogle,
ndio walichofanya hapo kwako,umegoogle nonsense wao wamekuletea sense, au hujasoma maelezo waliokuletea??