Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hivi bado tu kuna watu wanatumia Google?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii unalipia mkuuCheck jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707
Ni lazima ulipie kifurushi Kwa njia ya credit card Wana bundle kuanzia weekly monthly na mwaka mzima unachagua tuMkuu samahani ni lazima ujaze kule kwenye credit card no ukitaka kujiunga?
Sijui ni watu wa wapi lakini bila shaka ni vijana wa usa pale Seattle hao Kuna huyu Jamaa ndio alianzisha anaitwa Sam Altman ndio ceo wa OpenAI ndio wamezindua iyo ChatGPTHi ni search engine ya US pia au ?
Download yoyote tu mkuuNi ipi pale maana ukifungua playstore zinakuja nyingi...sasa ni ipi unayotakiwa kudownload
Check jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707
Ndio unalipiaHii unalipia mkuu
IpoIvi hii ipo kwa iOS
Wow!!!Download openchat gpt pale play store mkuu,,Kisha Anza kuitumia ila ipo ya free na ipo inayolipiwa Kwa mwezi Hadi mwaka mmoja.
ChatGPT ni artificial intelligence chatbot ambalo liko na speed na umakini wa hali ya juu wa kutafuta habari na kufanya uchanganuzi wa chochote ambacho unaliuliza Kwa haraka sana na uhakika zaidi.
Watu wengi wanalitumia sasa hivi Kwa kufanya research mbalimbali,kufanya analysis mbalimbali,kuandika proposals n.k
Ni trend mpya kwenye technology lifatilie utajua maajabu yake.
OkNi lazima ulipie kifurushi Kwa njia ya credit card Wana bundle kuanzia weekly monthly na mwaka mzima unachagua tu
Kama hiviHii nchi in vijana bafeera munooo
Hii itakuwa kila member anashiriki kujibu, hivyo ukiuliza swali, kuna mtu analinibu kisha analipwa i think, maana majibu yako so precise, so accurate..Sijui ni watu wa wapi lakini bila shaka ni vijana wa usa pale Seattle hao Kuna huyu Jamaa ndio alianzisha anaitwa Sam Altman ndio ceo wa OpenAI ndio wamezindua iyo ChatGPT
Kweli Akili zetu zinatofautiana, wengi huanza na sababu kisha ndio wanafanya, mimi huwa nafanya kwanza (By instinct / Intuition / Gut feeling) halafu natafuta sababu kwani nimefanya 😂, nikiikosa basi, nasema nilikoseaUlikuwa uuna query hivyo kutaka kugundua nini jamaa yangu au ulikuwa unawaza nini embu jaribu na who owns me(you) tuone unapata nini I fear Google isije ikajibu SATAN
inashangaza bado kuna watu wanatumia Google
Tumia chat GPT achana na google mkuu
mkuu kua na teknolojia acha kubwabwajawe ndo unashangaza. miaka ya nyuma ulikuwa unaweza kupata maelezo na tovuti kwa mda mfupi.
unaweza kuwa kabishi kumbe katoto ka juzi kamekuta google kanajifanya nacho kajuaji