millerson
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 606
- 1,651
sasa ndo naanza kuamini kwamba jf imevamiwa na watu wa hovyoHuyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ndo naanza kuamini kwamba jf imevamiwa na watu wa hovyoHuyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
mkuu kua na teknolojia acha kubwabwaja
shauri yako endelea kukadiria watu without evidence, we baki na ushamba wakokanyonye sijui kama umetumia flopy kuweka data.
ujawai kutumia chochote nyuma 2002 kushuka chini.
ujui watu walikuwa wanatembea na madaftari wakiandika tovuti na note ambazo leo unachambuliwa mda mfupi.
Ulichogugo ndicho wamekujibu kwani swali lako halikuenda shule, haukutaka kujua kuhusu nchi ya Tanzania.Huyo hapo chini, hii ni kwa mujibu wa Google, ambapo niliwauliza , ‘ Who is the owner of Tanzania?’
View attachment 2537639
Naomba muongozo hapa mkuu kuhusu GPT.Tumia chat GPT achana na google mkuu
Ndio nini?Tumia chat GPT achana na google mkuu
Kubabeki. Hawamjui kikwete wa ccm?
Chat GPT
Ndio nini?
Chat GPT ni habari nyingine kabisa itampa anachotaka......Tumia chat GPT achana na google mkuu
Hili jibu hata mtihani unajibia bila ku-edit chochote sio uchafu wa google.Check jibu Hilo toka chat GPT View attachment 2537707