Mfahamu kiundani mmiliki wa Tanzania

Ni ipi pale maana ukifungua playstore zinakuja nyingi...sasa ni ipi unayotakiwa kudownload
 
Hapo nimekupata vizuri sana mkuu.
Amegoogle neither sense nor nonsense; Google wamejibu neither sense nor nonsense.
Mmiliki wa Tanzania utamfahamu ukicheki Bank Bonds or something.
Utasikia Serikali imekopa hela CRDB,NMB,whst does it mean?
 
inashangaza bado kuna watu wanatumia Google

inashangaza bado kuna watu wanatumia Google
Huwezi kuikwepa Google wewe hata ufanyeje , alichokosea yeye Ka Google jina Tanzania , Kwa vyovyote watakuletea famous Website yenye jina Tanzania , angeclarify anachooukiza na sio kutaja Tu Tanzania , hasa Kwa nchi kama zetu ambazo hazijulikan Sana
 
unaposema huwezi kuikwepa Google unamaana gani mkuu?,kuikwepa unaikwepa tu labda kama unamazoea nayo tu,siku hizi technology imebadilika na imekua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…