Mfahamu kiundani mmiliki wa Tanzania

Wow!!!

Asante sana Mkuu
Barikiwa sana
 
Ulikuwa uuna query hivyo kutaka kugundua nini jamaa yangu au ulikuwa unawaza nini embu jaribu na who owns me(you) tuone unapata nini I fear Google isije ikajibu SATAN
 
Sijui ni watu wa wapi lakini bila shaka ni vijana wa usa pale Seattle hao Kuna huyu Jamaa ndio alianzisha anaitwa Sam Altman ndio ceo wa OpenAI ndio wamezindua iyo ChatGPT
Hii itakuwa kila member anashiriki kujibu, hivyo ukiuliza swali, kuna mtu analinibu kisha analipwa i think, maana majibu yako so precise, so accurate..
 
Ulikuwa uuna query hivyo kutaka kugundua nini jamaa yangu au ulikuwa unawaza nini embu jaribu na who owns me(you) tuone unapata nini I fear Google isije ikajibu SATAN
Kweli Akili zetu zinatofautiana, wengi huanza na sababu kisha ndio wanafanya, mimi huwa nafanya kwanza (By instinct / Intuition / Gut feeling) halafu natafuta sababu kwani nimefanya 😂, nikiikosa basi, nasema nilikosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…