Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingizi wa mtu huo.Hyo picha ya 4 imeniogopesha duuh
PhD holder sio zile za akina msukumaHuyu kichwa haiko sawa ila nahis huyu ndo wale wakali darasani wasongo mpaka akili zinaruka ni huyu kabisa
Namna anavyovaa tu
Akili sio sawa sana
HahahahaWakati nipo chuo mahusiano na mademu wazuri yaliyumba nikajikuta nimebeba demu fulani kama kakichaa[emoji23], yule demu nilikuwa namkana
Mademu wengine wakinikuta natoka chumba chake wanauliza kama ni demu wangu nakataa[emoji23], kalikuwa kama unavomuona disiii
Kazi ya URAIS needs concentration ya hali ya juu, sasa mama kila leo yuko kwenye sherehe za harusi na taarab , hayo mafaili atayasoma kwa makini saa ngapi? Ndio maana mara analipuka sijui wameongeza fedha kwenye malipo ya ndege na kuwafukuza watu kazi kwa jazba halafu wanalipa zile fedha walizosema wamepigwa na ndege inaletwa na yeye kuipokea hata bila kuliambia Taifa kuwa imebidi kulipa lile deni lote na sasa nchi ina uhaba wa $$$$$$!!!!Kwa vile mama huwa anapataga muda wa kuingia Jf nadhani safari hii akiingia na kuziona hizi picha ni lazima ajipongeze kwa kutengua uteuzi alioufanya