Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Condoleezze Rice mie binafsi sijawahi muelewa.Hana muonekano wa kidiplomasia kabisa [emoji38] hivi angeweza kuja kuwa waziri huyu sipati picha wageni wa kimataifa wanapokelewa na delegate wa aina hii [emoji38]
Uwiii🤣🤣 mbona wanamitindo!Kwa hiyo wanamitindo hawastahili teuzi?
Kwani wasabato ndiyo hawafanyi makosa?Utakuta mdada wa watu ni msabato safi nyie mnaleta chokochoko apa.
Soma vzr alichoandikaMbn kitambo katenguliwa
Hongera Sana Dr DC ( Mstaafu)Wadau hamjamboni nyote?
Nimeambatanisha picha mbalimbali za mhusika
Karibuni Niwatakie Sabato njema View attachment 2544978View attachment 2544992View attachment 2544993View attachment 2544994View attachment 2544996View attachment 2545013
Kwa makekeKastaafu kwa umri
Hili ni janga kila sehemu wamepenya.Mmmh!!! Au basi 🤐🤐🤐🤐🤐
Aisee kumbe ndio maana.
Daah...[emoji23]Wanakuwaga na mbususu ndefu kinoma hawa[emoji16]
Aliletewa na Msoga gang 😁Mama alimtoa wapi
Aisee 🤣Aliletewa na Msoga gang 😁