Mfahamu Kwa picha Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Sumbawanga

Mfahamu Kwa picha Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Sumbawanga

Dr. Jane Chacha Nyamsenda (PhD) mtaalamu aliyefanya tafiti za tungo za ushujaa katika shujaa

1678480806761.png

Thesis: Nyamsenda, Jane Chacha (2015) Ushujaa wa Shujaa wa Motifu za Safari na Msako Katika Ngano za Waikizu, Wabondei na Wazanzibari. ["eprint_fieldopt_thesis_type_phd" not defined] thesis, The Open University Of Tanzania. Subject(s): Dhana ya Ushujaa | Ngano za Waikizu, wabondei na Wazanzibar-Tanzania | Dhana ya Ushujaa wa Shujaa-Tanzania UTHIBITISHO WA WASIMAMIZI wamethibitisha ya kwamba wameisoma tasnifu hii iitwayo Ushujaa wa Shujaa wa Motifu za Safari na Msako katika Ngano za Waikizu, Wabondei na Wazanzibari na wameridhika kwamba tasnifu hii imefikia kiwango kinachotakiwa na inafaa kuhudhurishwa kwa utahini wa Shahada ya Falsafa ya Udaktari PhD Kiswahili ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Dar es Salaam
TASNIFU YA SHAHADA YA UZAMIVU (PhD) KISWAHILI KITIVO CHA SANAA NA SAYANSI ZA JAMII, YA CHUO KIKUU HURIA CHA TANZANIA 2015
 
Hana muonekano wa kidiplomasia kabisa [emoji38] hivi angeweza kuja kuwa waziri huyu sipati picha wageni wa kimataifa wanapokelewa na delegate wa aina hii [emoji38]
Mkuu mpk leo umekoment Ni noma ,Mara nyingi Ni likes huwa unaachia na kutembee zako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanaume Wana Moto sio wa kawaida. Unaweza kuta hiki kituko kina boy friend Tena mume wa MTU.
Watu mna dhambiii khaaaaah!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom