Mfahamu Kwa picha Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Sumbawanga

Mfahamu Kwa picha Mkuu wa Wilaya Mstaafu wa Sumbawanga

Acheni kumsagia kunguni
20230310_230738.jpg
 
Ni kichwa kumbe pia ni expert wa Kiswahili

Huyu dokta kupitia tafiti yake ya ushujaa katika shujaa anafaa kutumika kwa kazi maalum ya kwenda kuidokumenti vizuri legacy mpya ya awamu ya sita inavyofanya ushujaa kwa kumleta shujaa mpya wa demokrasia kutoka chama cha CCM.

Pengine tayari wenye mamlaka wametambua uwezo wake dokta na kumvuta karibu aifanye kazi hiyo maalum, muda ndiyo utatuambia kama ni hivyo au la.

Nchi zilizoiva kipropaganda ktk ujamaa au uite spinning katika nchi za mrengo wa kibepari hujali sana jinsi namna ya ujumbe ufike na kubuni tungo za zama zao mpya zenye shujaa wao anayeibuka.

Hutumia sana watu wenye ubingwa wa sanaa ya tungo na simulizi kupindua meza kuondokana na legacy zilizopita kwa kuandaa vizuri jumbe zao za legacy mpya.
 

Jakaya Kikweye naona naye amevutiwa na umahiri wa huyu dokta aliyefanya tafiti za tungo za ushujaa wa shujaa wa jamii za Kiikizu kule Butiama, pia za kutoka Bonde kwa waBondei na bila kusahau za ushujaa wa mashujaa wa ki Zanzibari.

Dokta anaweza kupata dawati maalum mtaa wa Lumumba kuwa shepu buku 7 wafanye kazi yao vizuri kutetea legacy mpya ambayo kila mtawala na wafaidika wake hupenda iweze kuonekana vizuri mbele ya jamii wanaoilenga na wanayo iishi.
 
Kuna wanaume Wana Moto sio wa kawaida. Unaweza kuta hiki kituko kina boy friend Tena mume wa MTU.
Wakati nipo chuo mahusiano na mademu wazuri yaliyumba nikajikuta nimebeba demu fulani kama kakichaa😂, yule demu nilikuwa namkana

Mademu wengine wakinikuta natoka chumba chake wanauliza kama ni demu wangu nakataa😂, kalikuwa kama unavomuona disiii
 
Back
Top Bottom