Mfahamu kwa undani Zarinah, mwanamke anayezima Nyota ya Wema Sepetu

Mfahamu kwa undani Zarinah, mwanamke anayezima Nyota ya Wema Sepetu

Uhmm,unajua swala la kuingia kimahusiano na mwanamke alikuzdi umri imekuwa km sio utamadn wetu sie wabongo,wakati kuna wadada hata hapa jf wanaishi wameolewa na waume zao wamezidi miaka 20-30...sema hawajadiliwi na eti nikawaida....zari anajadiliwa weee eti kisa umri......
 
Uhmm,unajua swala la kuingia kimahusiano na mwanamke alikuzdi umri imekuwa km sio utamadn wetu sie wabongo,wakati kuna wadada hata hapa jf wanaishi wameolewa na waume zao wamezidi miaka 20-30...sema hawajadiliwi na eti nikawaida....zari anajadiliwa weee eti kisa umri......

Wivu tu mkuu! Hamna jipya! Tabia ya kuchukia wenye nacho! na waliowazidi kimaisha!
Wapo na madua ya kuku wasubiri downfall ya Zari!
Watasubiri sana
 
Wivu tu mkuu! Hamna jipya! Tabia ya kuchukia wenye nacho! na waliowazidi kimaisha!
Wapo na madua ya kuku wasubiri downfall ya Zari!
Watasubiri sana

Angechukiwa Bakhressa basi, huu ni uwanja wa maleceb watachambuliwa in n out.
 
Zari ndo habareee yani, hatumii nguvu nyingi lakini anakubalika, kweli umaarufu unamfuata...

Diamond alivyopiga show Dar live...watu Zaari, Zaari, tunamtaka zariii...
Ila tatizo nyooota...

Halafu Dinazarde nasikia kawekwa mwarii, kumbe siku zote hizo hajawahi hata kuvunja glass, ndo kaivunja kawekwa ndani na simu kanyang'anywa...
Mrembo by Nature nae nasikia kaenda kuvuna ming'oko ya biashara....ila watarudi tuu...vumilia

nina maubuyu aseeh nashindwa kabisa kuvumilia, si unajua mie kifua cha kuhifadhi maneno sina binamu? yani nimewamis popote walipo warudi pleaseee
 
Last edited by a moderator:
Zari ndo habareee yani, hatumii nguvu nyingi lakini anakubalika, kweli umaarufu unamfuata...

Diamond alivyopiga show Dar live...watu Zaari, Zaari, tunamtaka zariii...
Ila tatizo nyooota...

Halafu Dinazarde nasikia kawekwa mwarii, kumbe siku zote hizo hajawahi hata kuvunja glass, ndo kaivunja kawekwa ndani na simu kanyang'anywa...
Mrembo by Nature nae nasikia kaenda kuvuna ming'oko ya biashara....ila watarudi tuu...vumilia

wema alikuwa anatuigizia tu maisha ya kistaa.. zarina ndo kubwa la maadui anajua kuishi kistaa haigizi maisha
 
Last edited by a moderator:
Sa unapanic nn mkuu?
He gave u a hint km uko interested y don't u do your own homework?dude plz

You must be seeing things coz ain't nobody panicking.

If you say shit that you can't back up with facts you gonna get called out for it, no fail, without exception.
 
No wonder ndio maana alikuwa anakula vichwa first class vya mjini with VIP status.

Nadhani haya ni matoleo ya mwisho ya uumbaji wa Allah.

hahahahahahha waliofuata wengi makapi:thumbup::beer::beer:
 
Utaambiwa thibitisha ndio utabakia hoi, ila kwakuwa hiyo ni habari njema kwa Maconsevertive hawatakuuliza swali hilo au hautoitwa bata bukini tegemea kupata like za kutosha zikiongozwa na mbeba mabox maarufu.

wambea ni nuksi ... mimba ya aunty ezekiel ilianza kutangazwa toka ina wiki mbili mpaka sasa ivi kitumbo kimeanza kuonekana, maana mwanzo watu walijua ni uzushi dahh.. ni shidaaa....
 
Mkuu wala sikulaumu kwa hilo..huyo mwanamama kajaaliwa...nashangaa wajinga wajinga wanapagawa na nini na wema sepetu.
Huyo mumewe Kama asipompa haki yake kikamilifu atakuwa hamtendei haki yake.

Na alaaniwe wallah
Dhambi kubwa sana itakua sitaki hata kumfikiria aisee
 
hahahahaaaaaa, uuuwii kama huna familia inayokutegemea jilipuwe shoo, otherwise dont try that at home. hatari yake muulize jack.

kwani jack yupo kwenye hatar ? si yupo sehemu salama tu tena jela za wenzetu kule full bata mtu hutaman hata kutoka,ila angefungwa TZ ndo ningemuonea huruma sana,mwache binamu yangu ajaribu zari la mentali.
 
Back
Top Bottom