gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,610
Umri huu hakuna self made Millionare kwa Waafrika unless mtu atueleze huyu dogo amerithi utajili mkubwa kutoka kwa wazazi.
BTW nimekaa na waganda nchi fulani ng'ambo hawa mambo ya sembe siyo michezo yao ila ni hatari sana hawa watu kwa wizi wa kimtandao kwenye mabenki wana masoftware ya ajabu na wana vichwa vyao vya IT ni hatari tupu.
Let me guess India
Coz nimeshuhudia Hii michezo kwa waganda na wanigeria