Mfahamu Lean Feng Wang, mmiliki wa AI ya Deep Seek ambayo ni tishio kubwa kwa CHATGPT

Mfahamu Lean Feng Wang, mmiliki wa AI ya Deep Seek ambayo ni tishio kubwa kwa CHATGPT

Tatizo ni kuwa DeepSeek siyo huru, ni politicised, ni utopolo mwingine.

Ukiuliza swali ambalo majibu yake siyo chanya kwa watawala, serikali ya China, unaambiwa hivi..
👇
I am sorry, I cannot answer that question. I am an AI assistant designed to provide helpful and harmless responses.
 
Tatizo ni kuwa DeepSeek siyo huru, ni politicised, ni utopolo mwingine.

Ukiuliza swali ambalo majibu yake siyo chanya kwa serikali ya China, unaambiwa hivi..
👇
Nyie hamjui kuzitumia hizi tools,sasa hizo politics zinakusaidia nini? Software Developers sasa hivi kazi walizokuwa wanazifanya mwaka,wana uwezo kufanya mwezi mmoja.Watu wa IT sasa hivi hawatumii nguvu kama zamani.

Sasa unauliza maswala ya kipolitics ya China yanakusaidia nini.Halafu hamna software ambayo haina backdoor, iwe Ulaya,US au China software zao zote zinabackdoor.
 
Mkuu bana, yani unaisifu Android mbele ya iOs na kudai kuwa android sijui nini na nini?

Mkuu katika vitu vyote hapa duniani heshimu chanzo cha maji, ni heri kuyadharau maji ila sio chanzo...

Mchina awe mbele ya Marekani una uhakika anayo huo ufunguo wa uvumbuzi?

Kaa chini utulie ufikirie sawasawa!

Yani mchina ni mtu ambaye anataka kumpita Marekani lakini uwezo huo ni ngumu sana, ni almost haiwezekani.

Yani unamsubiri toka 2018 unasubiri analaunch Chatgpt wewe unaingia lab harakaharaka unatafuta shortcuts unakuja na deepseek alafu ghafla unasema mimi mshindi...

Mkuu nenda pole na hayo mambo sio marahisi hivyo udhaniavyo, huko kwenyewe Marekani kuna projects za Quantum computers zinaendelea, China ni ngumu kuwa kiongozi hata ikitokea akamzidi uchumi Marekani...
Deepseek imewavuruga US kwanza ni open source,pili imekuwa develop kwa kiasi kidogo 5.6 m USD ukilinganisha na za kwao,wawekezaji sasa hivi wanajiuliza je walipigwa? Halafu hata chips jamaa ametumia chips za kawaida ambazo sio powerful sana kama za AI nyingine ila performance yake ina karibia na za kwao.

Sasa hapo jiulize jamaa akifanikiwa kupata chips ambazo powerful na wawekezaji wakaweka mzigo wewe unazani hiyo DeepSeek itakiwaje miaka ya mbele.

Dunia ukiwa na watu,fedha,mfumo mzuri wa elimu na Research and Development centers kila kitu kinawezekana. Hata huko kwenye Quantum Computer Mchina hayupo nyuma. Ndio maana vikwazo vingi wanampiga still Mchina anasonga.

Hebu fuatilia hii documentary ya Bloomberg ya Hannah Fry
View: https://m.youtube.com/watch?v=1_gJp2uAjO0&pp=ygU0UXVhbnR1bSBjb21wdXRlcnMgZGV2ZWxvcG1lbnQgIGJsb29tYmVyZyBkb2N1bWVudGFyeQ%3D%3Dk 10 za mwisho atakuonesha hatua walizopiga China kwenye Quantum computers development.
 
Deepseek imewavuruga US kwanza ni open source,pili imekuwa develop kwa kiasi kidogo 5.6 m USD ukilinganisha na za kwao,wawekezaji sasa hivi wanajiuliza je walipigwa? Halafu hata chips jamaa ametumia chips za kawaida ambazo sio powerful sana kama za AI nyingine ila performance yake ina karibia na za kwao.

Sasa hapo jiulize jamaa akifanikiwa kupata chips ambazo powerful na wawekezaji wakaweka mzigo wewe unazani hiyo DeepSeek itakiwaje miaka ya mbele.

Dunia ukiwa na watu,fedha,mfumo mzuri wa elimu na Research and Development centers kila kitu kinawezekana. Hata huko kwenye Quantum Computer Mchina hayupo nyuma. Ndio maana vikwazo vingi wanampiga still Mchina anasonga.
Mkuu ni vitu gani vipya kabisa (original ideas) kutoka kwa Mchina?

Katika post yangu sijasema Deepseek haina ubora, nimesema Mchina hana ufunguo wa uvumbuzi...

Kuhusu suala la mtaji investors kudhani wamepigwa hilo ni jambo jingine... Ni masuala ya inputs, sasa sisi sote hatuko na team ya OpenAI, wao ndio wanajua...

Nikupe mfano hai, mkuu...

Inachukua muda kujua ikiwa hili tunda lililoko mtini, tuseme ni pera, inachukua muda kujua ni sumu au sio sumu, na ikishafahamika mtu atakayefuatia kutaka kula lile pera hatatumia gharama tena, sababu gharama zilishaingiwa mwanzoni.

Iphone imechukua miaka miwili watu wako lab wanafanya kuivent, leo inatangazwa-inazinduliwa, uliza ilichukua muda gani Android devices kupatikana sokoni, nafkri majibu utakuwa nayo mkuu...
 
Tatizo ni kuwa DeepSeek siyo huru, ni politicised, ni utopolo mwingine.

Ukiuliza swali ambalo majibu yake siyo chanya kwa serikali ya China, unaambiwa hivi..
👇
Kwani ni AI gani ipo huru ?
 
Mkuu ni vitu gani vipya kabisa (original ideas) kutoka kwa Mchina?

Katika post yangu sijasema Deepseek haina ubora, nimesema Mchina hana ufunguo wa uvumbuzi...

Kuhusu suala la mtaji investors kudhani wamepigwa hilo ni jambo jingine... Ni masuala ya inputs, sasa sisi sote hatuko na team ya OpenAI, wao ndio wanajua...

Nikupe mfano hai, mkuu...

Inachukua muda kujua ikiwa hili tunda lililoko mtini, tuseme ni pera, inachukua muda kujua ni sumu au sio sumu, na ikishafahamika mtu atakayefuatia kutaka kula lile pera hatatumia gharama tena, sababu gharama zilishaingiwa mwanzoni.

Iphone imechukua miaka miwili watu wako lab wanafanya kuivent, leo inatangazwa-inazinduliwa, uliza ilichukua muda gani Android devices kupatikana sokoni, nafkri majibu utakuwa nayo mkuu...
Kwani technology ya printing imeanzia wapi ?

Hiyo ni moja
 
Mkuu bana, yani unaisifu Android mbele ya iOs na kudai kuwa android sijui nini na nini?

Mkuu katika vitu vyote hapa duniani heshimu chanzo cha maji, ni heri kuyadharau maji ila sio chanzo...

Mchina awe mbele ya Marekani una uhakika anayo huo ufunguo wa uvumbuzi?

Kaa chini utulie ufikirie sawasawa!

Yani mchina ni mtu ambaye anataka kumpita Marekani lakini uwezo huo ni ngumu sana, ni almost haiwezekani.

Yani unamsubiri toka 2018 unasubiri analaunch Chatgpt wewe unaingia lab harakaharaka unatafuta shortcuts unakuja na deepseek alafu ghafla unasema mimi mshindi...

Mkuu nenda pole na hayo mambo sio marahisi hivyo udhaniavyo, huko kwenyewe Marekani kuna projects za Quantum computers zinaendelea, China ni ngumu kuwa kiongozi hata ikitokea akamzidi uchumi Marekani...
Teknolojia sio lazima wewe ndio uwe mgunduzi wa kwanza ili iweze kuwa Bora! Hata inapokuwepo na wewe ukaiboresha na kupendwa ni mageuzi pia ya teknolojia!
 
Katika zama hizi za maendeleo ya teknolojia, jina moja limeibuka na kutikisa ulimwengu wa Akili Bandia (AI) kwa namna isiyo ya kawaida – Lean Feng Wang. Mwanakijiji huyu kutoka M Ling, jimbo la Guangdong, China, alikuwa asiyejulikana hadi wiki chache zilizopita, lakini sasa dunia nzima inashangazwa na uvumbuzi wake.

Sababu? Deep Seek, mfumo wa AI alioubuni kwa kushirikiana na marafiki zake wa chuo, umeleta msukosuko mkubwa katika soko la hisa la Marekani, ukisababisha makampuni makubwa kupoteza thamani inayokadiriwa kuwa zaidi ya dola trilioni moja. Hili limezua maswali mengi: Je, Lean Feng Wang ni mtaalamu wa kipekee aliyefanikisha hili peke yake? Je, ni mkakati wa China dhidi ya Silicon Valley? Au ni ushahidi wa mapinduzi mapya ya teknolojia?

AI ni Nini na Kwa Nini Inahusika?

Kwa mtu asiye na ufahamu wa kina kuhusu Akili Bandia, AI ni teknolojia inayowezesha kompyuta kufanya kazi zinazohitaji akili ya binadamu, kama vile kufikiri, kujifunza, na kufanya maamuzi. Programu kama Deep Seek zinatumia uwezo huu kuchambua data kwa kasi kubwa, kutoa utabiri sahihi, na hata kufanya maamuzi yanayoweza kuathiri sekta nzima.

Mwanzo wa Safari ya Lean Feng Wang

Lean alizaliwa mwaka 1985, katika kijiji kidogo chenye walimu wa shule za msingi kama wazazi wake. Alikulia katika mazingira ya China iliyokuwa ikihama kutoka mfumo wa kijamaa kwenda soko huria, hali iliyohamasisha watu wengi kuanzisha biashara. Akihamasishwa na wazazi wake, Lean alijitahidi katika masomo, hasa hisabati.

Mwaka 2002, alijiunga na Chuo Kikuu cha Xang, mojawapo ya vyuo maarufu vinavyozalisha wataalamu wa teknolojia. Alisomea uhandisi wa mawasiliano na habari za kielektroniki, akionyesha umahiri mkubwa katika uchanganuzi wa data na AI.

AI Katika Biashara ya Hisa

Mwaka 2007, wakati wa mdororo wa uchumi duniani, Lean na marafiki zake walihamasika kufanya utafiti wa jinsi AI inaweza kutabiri mwenendo wa soko la hisa kwa usahihi zaidi kuliko wanadamu. Waligundua kuwa programu sahihi za AI zinaweza kutambua mitindo ya biashara na kufanya maamuzi bora kwa kasi ya ajabu. Ugunduzi huu ulimfungulia Lean njia ya kuelekea utajiri kupitia biashara ya fedha inayotegemea AI.

Baada ya kuhitimu shahada ya uzamili, Lean alianzisha kampuni yake ya uchanganuzi wa soko la hisa inayotumia AI, iitwayo High Flyer. Kampuni hii ilifanikiwa haraka na kuwa moja ya kampuni kubwa nchini China katika sekta ya uwekezaji wa kiteknolojia.

Kuzaliwa kwa Deep Seek

Katika hatua isiyo ya kawaida, Lean aliamua kuachana na biashara ya hisa na kuelekeza nguvu zake katika kuunda AI yenye akili ya kiwango cha juu zaidi, inayojulikana kama Artificial General Intelligence (AGI). Lengo lake lilikuwa kuunda mfumo wenye uwezo wa kufikiria na kujifunza kwa njia sawa na binadamu, lakini kwa gharama nafuu na kupatikana kwa kila mtu.

Deep Seek, mfumo wake wa AI, ulipoanza kufanya kazi, ulionyesha uwezo wa kushinda hata mifumo maarufu ya AI ya Marekani kama OpenAI na Google DeepMind. Hii ilisababisha hofu kubwa miongoni mwa wawekezaji, kwani ilimaanisha kuwa teknolojia ya China ilikuwa inakaribia kuipiku Marekani.

Athari za Deep Seek

Baada ya kuzinduliwa, Deep Seek ilisababisha taharuki kubwa katika Silicon Valley. Hisa za makampuni kama NVIDIA, Microsoft, na Alphabet zilishuka kwa kasi, huku wawekezaji wakihofia kuwa teknolojia yao ingeweza kupitwa na mfumo huu mpya wa China.

Kwa mara ya kwanza, Marekani, ambayo imekuwa ikiongoza katika maendeleo ya AI, ilijikuta kwenye hatari ya kupitwa na China. Serikali ya Marekani ilianza kuchunguza athari za Deep Seek, huku ikitafuta njia za kudhibiti teknolojia hii mpya.

Wakati huo huo, Lean Feng Wang aliporejea kijijini kwa ajili ya sherehe za Mwaka Mpya wa Kichina, alipokelewa kama shujaa. Wazazi wake na wanakijiji waliona fahari kubwa kwa mafanikio yake, wakitambua kuwa alikuwa amethubutu kupambana na makampuni makubwa ya Magharibi na kutoka mshindi.

Ni Nini Kinachofuata?

Wakati Marekani inatafuta namna ya kushindana na Deep Seek, Lean Feng Wang anaendelea kukaa kimya kuhusu mipango yake ya baadaye. Baadhi ya watu wanamuona kama mvumbuzi mashuhuri, wengine kama mzalendo wa taifa lake, na wengine kama tishio kwa sekta ya teknolojia ya Magharibi.

Lakini jambo moja liko wazi – Deep Seek imebadilisha mwelekeo wa mbio za AI duniani, na China sasa inaonekana kuwa mpinzani mkubwa wa Marekani katika sekta hii.

Katika ulimwengu wa AI, mchezo umebadilika, na Mwanakijiji Lean Feng Wang ndiye aliyebadilisha sheria za ushindani.
Ma IT wetu wameitimu kuwa machawa wa kuprint chapa za ccm na picha za samia tu
 
Mkuu ni vitu gani vipya kabisa (original ideas) kutoka kwa Mchina?

Katika post yangu sijasema Deepseek haina ubora, nimesema Mchina hana ufunguo wa uvumbuzi...

Kuhusu suala la mtaji investors kudhani wamepigwa hilo ni jambo jingine... Ni masuala ya inputs, sasa sisi sote hatuko na team ya OpenAI, wao ndio wanajua...

Nikupe mfano hai, mkuu...

Inachukua muda kujua ikiwa hili tunda lililoko mtini, tuseme ni pera, inachukua muda kujua ni sumu au sio sumu, na ikishafahamika mtu atakayefuatia kutaka kula lile pera hatatumia gharama tena, sababu gharama zilishaingiwa mwanzoni.

Iphone imechukua miaka miwili watu wako lab wanafanya kuivent, leo inatangazwa-inazinduliwa, uliza ilichukua muda gani Android devices kupatikana sokoni, nafkri majibu utakuwa nayo mkuu...
Sawa hana ufumbuzi ila upande wa Innovation yupo vizuri na dunia unaweza ukagundua kitu ila kwenye innovation ukapigwa gap. Ndio maana vikwazo haviishi.
 
Katika zama hizi za maendeleo ya teknolojia, jina moja limeibuka na kutikisa ulimwengu wa Akili Bandia (AI) kwa namna isiyo ya kawaida – Lean Feng Wang. Mwanakijiji huyu kutoka M Ling, jimbo la Guangdong, China, alikuwa asiyejulikana hadi wiki chache zilizopita, lakini sasa dunia nzima inashangazwa na uvumbuzi wake.

Sababu? Deep Seek, mfumo wa AI alioubuni kwa kushirikiana na marafiki zake wa chuo, umeleta msukosuko mkubwa katika soko la hisa la Marekani, ukisababisha makampuni makubwa kupoteza thamani inayokadiriwa kuwa zaidi ya dola trilioni moja. Hili limezua maswali mengi: Je, Lean Feng Wang ni mtaalamu wa kipekee aliyefanikisha hili peke yake? Je, ni mkakati wa China dhidi ya Silicon Valley? Au ni ushahidi wa mapinduzi mapya ya teknolojia?

AI ni Nini na Kwa Nini Inahusika?

Kwa mtu asiye na ufahamu wa kina kuhusu Akili Bandia, AI ni teknolojia inayowezesha kompyuta kufanya kazi zinazohitaji akili ya binadamu, kama vile kufikiri, kujifunza, na kufanya maamuzi. Programu kama Deep Seek zinatumia uwezo huu kuchambua data kwa kasi kubwa, kutoa utabiri sahihi, na hata kufanya maamuzi yanayoweza kuathiri sekta nzima.

Mwanzo wa Safari ya Lean Feng Wang

Lean alizaliwa mwaka 1985, katika kijiji kidogo chenye walimu wa shule za msingi kama wazazi wake. Alikulia katika mazingira ya China iliyokuwa ikihama kutoka mfumo wa kijamaa kwenda soko huria, hali iliyohamasisha watu wengi kuanzisha biashara. Akihamasishwa na wazazi wake, Lean alijitahidi katika masomo, hasa hisabati.

Mwaka 2002, alijiunga na Chuo Kikuu cha Xang, mojawapo ya vyuo maarufu vinavyozalisha wataalamu wa teknolojia. Alisomea uhandisi wa mawasiliano na habari za kielektroniki, akionyesha umahiri mkubwa katika uchanganuzi wa data na AI.

AI Katika Biashara ya Hisa

Mwaka 2007, wakati wa mdororo wa uchumi duniani, Lean na marafiki zake walihamasika kufanya utafiti wa jinsi AI inaweza kutabiri mwenendo wa soko la hisa kwa usahihi zaidi kuliko wanadamu. Waligundua kuwa programu sahihi za AI zinaweza kutambua mitindo ya biashara na kufanya maamuzi bora kwa kasi ya ajabu. Ugunduzi huu ulimfungulia Lean njia ya kuelekea utajiri kupitia biashara ya fedha inayotegemea AI.

Baada ya kuhitimu shahada ya uzamili, Lean alianzisha kampuni yake ya uchanganuzi wa soko la hisa inayotumia AI, iitwayo High Flyer. Kampuni hii ilifanikiwa haraka na kuwa moja ya kampuni kubwa nchini China katika sekta ya uwekezaji wa kiteknolojia.

Kuzaliwa kwa Deep Seek

Katika hatua isiyo ya kawaida, Lean aliamua kuachana na biashara ya hisa na kuelekeza nguvu zake katika kuunda AI yenye akili ya kiwango cha juu zaidi, inayojulikana kama Artificial General Intelligence (AGI). Lengo lake lilikuwa kuunda mfumo wenye uwezo wa kufikiria na kujifunza kwa njia sawa na binadamu, lakini kwa gharama nafuu na kupatikana kwa kila mtu.

Deep Seek, mfumo wake wa AI, ulipoanza kufanya kazi, ulionyesha uwezo wa kushinda hata mifumo maarufu ya AI ya Marekani kama OpenAI na Google DeepMind. Hii ilisababisha hofu kubwa miongoni mwa wawekezaji, kwani ilimaanisha kuwa teknolojia ya China ilikuwa inakaribia kuipiku Marekani.

Athari za Deep Seek

Baada ya kuzinduliwa, Deep Seek ilisababisha taharuki kubwa katika Silicon Valley. Hisa za makampuni kama NVIDIA, Microsoft, na Alphabet zilishuka kwa kasi, huku wawekezaji wakihofia kuwa teknolojia yao ingeweza kupitwa na mfumo huu mpya wa China.

Kwa mara ya kwanza, Marekani, ambayo imekuwa ikiongoza katika maendeleo ya AI, ilijikuta kwenye hatari ya kupitwa na China. Serikali ya Marekani ilianza kuchunguza athari za Deep Seek, huku ikitafuta njia za kudhibiti teknolojia hii mpya.

Wakati huo huo, Lean Feng Wang aliporejea kijijini kwa ajili ya sherehe za Mwaka Mpya wa Kichina, alipokelewa kama shujaa. Wazazi wake na wanakijiji waliona fahari kubwa kwa mafanikio yake, wakitambua kuwa alikuwa amethubutu kupambana na makampuni makubwa ya Magharibi na kutoka mshindi.

Ni Nini Kinachofuata?

Wakati Marekani inatafuta namna ya kushindana na Deep Seek, Lean Feng Wang anaendelea kukaa kimya kuhusu mipango yake ya baadaye. Baadhi ya watu wanamuona kama mvumbuzi mashuhuri, wengine kama mzalendo wa taifa lake, na wengine kama tishio kwa sekta ya teknolojia ya Magharibi.

Lakini jambo moja liko wazi – Deep Seek imebadilisha mwelekeo wa mbio za AI duniani, na China sasa inaonekana kuwa mpinzani mkubwa wa Marekani katika sekta hii.

Katika ulimwengu wa AI, mchezo umebadilika, na Mwanakijiji Lean Feng Wang ndiye aliyebadilisha sheria za ushindani.
kuna kitu huelewi sio kwamba deep seek ina nguvu zaidi ya chatgpt, ni kwamba ilitumia gharama kidogo ila sio kwamba imeipita chatpt
 
Mkuu bana, yani unaisifu Android mbele ya iOs na kudai kuwa android sijui nini na nini?

Mkuu katika vitu vyote hapa duniani heshimu chanzo cha maji, ni heri kuyadharau maji ila sio chanzo...

Mchina awe mbele ya Marekani una uhakika anayo huo ufunguo wa uvumbuzi?

Kaa chini utulie ufikirie sawasawa!

Yani mchina ni mtu ambaye anataka kumpita Marekani lakini uwezo huo ni ngumu sana, ni almost haiwezekani.

Yani unamsubiri toka 2018 unasubiri analaunch Chatgpt wewe unaingia lab harakaharaka unatafuta shortcuts unakuja na deepseek alafu ghafla unasema mimi mshindi...

Mkuu nenda pole na hayo mambo sio marahisi hivyo udhaniavyo, huko kwenyewe Marekani kuna projects za Quantum computers zinaendelea,China ni ngumu kuwa kiongozi hata ikitokea akamzidi uchumi Marekani ...

Nilipoanza kusoma post yako nikadhani una point ila nimepuuzia wazo lako looote hapo mwisho ninukuu

"........,China ni ngumu kuwa kiongozi hata ikitokea akamzidi uchumi Marekani.........."

☝️☝️ kwenye masuala ya kiteknolojia usiwe unatumia neno NI NGUMU infact kwenye jambo lolote lile usije tumia kauli hiyo kabla haujajaribu kwa kila njia tena kwa kushirikisha vichwa tofauti tofauti kinyume na hapo hiyo inaonesha ufinyu wa ufikiriaji wako
 
Sawa hana ufumbuzi ila upande wa Innovation yupo vizuri na dunia unaweza ukagundua kitu ila kwenye innovation ukapigwa gap. Ndio maana vikwazo haviishi.
Sawa, tunaenda pamoja hapa kama umekubali hana uvumbuzi, mimi narudia sijasema kuwa deepseek haileti changamoto yoyote ile kwa Chatgpt, nachosema mimi ni kuwa ikiwa kila taifa litafuata njia ya China, bas sote tuko ndani ya cage kiakili!
 
Back
Top Bottom