Mfahamu Lean Feng Wang, mmiliki wa AI ya Deep Seek ambayo ni tishio kubwa kwa CHATGPT

Mfahamu Lean Feng Wang, mmiliki wa AI ya Deep Seek ambayo ni tishio kubwa kwa CHATGPT

Vijana UDSM wameshindwa hata ku renema deepsik na chatgpt wakaipa nickname yao? huu ubwege huu.. Africa yote tumeshindwa tunamwaza tu Kagame
wakijaribu wajiandae kulipia hasa kwa chart gpt maana imekatiwa hati miliki ila kwa deepseek nadhani china hawana sheria ya hati miliki so ukivumbua kitu umevumbua kwa ajili ya motherland
 
kuna kitu huelewi sio kwamba deep seek ina nguvu zaidi ya chatgpt, ni kwamba ilitumia gharama kidogo ila sio kwamba imeipita chatpt
Naelewa hicho, deep seek si ndo version 1 (inaanza), ukiipa muda inaweza kuwa comparable au Bora zaidi, si umeona tik tok?
 
Nilipoanza kusoma post yako nikadhani una point ila nimepuuzia wazo lako looote hapo mwisho ninukuu

"........,China ni ngumu kuwa kiongozi hata ikitokea akamzidi uchumi Marekani.........."

☝️☝️ kwenye masuala ya kiteknolojia usiwe unatumia neno NI NGUMU infact kwenye jambo lolote lile usije tumia kauli hiyo kabla haujajaribu kwa kila njia tena kwa kushirikisha vichwa tofauti tofauti kinyume na hapo hiyo inaonesha ufinyu wa ufikiriaji wako
Na wewe bila kuja na facts haiondoi ufinyu wako wa kufikiri mimi nimekosea, narudia, ni ngumu China kuongoza Kitechnology...

Wewe njoo facts zako, mtu anafanya copy paste 2025 leo unasemaje anaweza ongoza?

Yani mko darasani wawili mwenzako anajibu mtihani wewe unamkopi unasema utamuongoza?
 
Sawa, tunaenda pamoja hapa kama umekubali hana uvumbuzi, mimi narudia sijasema kuwa deepseek haileti changamoto yoyote ile kwa Chatgpt, nachosema mimi ni kuwa ikiwa kila taifa litafuata njia ya China, bas sote tuko ndani ya cage kiakili!
Innovation sio swala dogo kabisa, sababu unaweza gundua ila yule ambaye ni mzuri wa kwenye Innovation akapiga hela kuliko wewe. China wapo njia sahihi, wamepigwa vita sana na nchi za ulaya sababu ya siasa za chuki.Ila siku hizi China anaproject kibao nchi za ulaya anajenga miundo mbinu kwa tech ya kisasa, anauza magari ya umeme kampita Tesla yy ndiye anaongoza. Sio lazima uwe mvumbuzi hata kuwa Innovators inatosha ,huwezi sema Innovators yupo kwenye cage kiakili, utachekwa hata na huyo mvumbuzi.
 
Na wewe bila kuja na facts haiondoi ufinyu wako wa kufikiri mimi nimekosea, narudia, ni ngumu China kuongoza Kitechnology...

Wewe njoo facts zako, mtu anafanya copy paste 2025 leo unasemaje anaweza ongoza?

Yani mko darasani wawili mwenzako anajibu mtihani wewe unamkopi unasema atakuongoza?

Hakuna reply niliyosoma nikacheka kama hii 😂😂 kuna kitu kinaitwa technology transfer pia kuna invention halafu kuna innovation .

era of invention ilishapita kwa sasa tupo kwenye era of rapid innovation hakuna kipya alichovumbua USA zaidi ya ku "innovate" yale yaliyokwisha kuvumbuliwa na ndicho anachofanya china , kama una invention yoyote ground breaking aliyofanya USA ambayo haikuwahi kufanywa kabla unaweza kuniwekea hapa mkuu ila china ana ground breaking invention ambayo kama akifanikiwa ku stabilize atabadili uelekeo wa dunia ki teknolojia tafuta kuhusu "Artificial sun" .

Ku invent new technology kwa era tuliyopo inahitaji effort kubwa zaidi hasa academically ndiyo maana watu wanaendelea kusoma zaidi na si kwa USA tu japan kuanzia mwaka 1991 waliwekeza kutengeneza underground "Neutrino observatories" project ambazo zinatarajiwa kumalizika 2027.

Na kama ulikuwa haujui tu USA kuna fields za kitechnolojia ndo yupo vizuri ila kuna nyengine ameachwa sana na nchi nyengine nitalist kwa uchache.

USA yupo vizuri kwenye fields hizi hapa : millitary tech, software , space exploration ( kwa sasa anawapinzani wengi tu ) , A.I (welp kabla ya deepseek 😂)

JAPAN: LEAD in Robotics and manufacturing

CHINA : LEAD in AI and Supercomputing

SOUTH KOREA: LEAD in semiconductor and internet ( pia hapa amepata mpinzani mpya kikwazo walichomuwekea mchina kimemfanya avumbue chipset zake )

GERMANY : LEAD in Automotives and Engineering


SWITZERLAND : LEAD in precision science and pharmaceutical.

N.B
USA anapoona threat huwa anaweka vikwazo sasa hebu fuatilia vikwazo alivyomuwekea china kuanzia miaka 10 nyuma halafu uje hapa 😄 .
 
Innovation sio swala dogo kabisa, sababu unaweza gundua ila yule ambaye ni mzuri wa kwenye Innovation akapiga hela kuliko wewe. China wapo njia sahihi, wamepigwa vita sana na nchi za ulaya sababu ya siasa za chuki.Ila siku hizi China anaproject kibao nchi za ulaya anajenga miundo mbinu kwa tech ya kisasa, anauza magari ya umeme kampita Tesla yy ndiye anaongoza. Sio lazima uwe mvumbuzi hata kuwa Innovators inatosha ,huwezi sema Innovators yupo kwenye cage kiakili, utachekwa hata na huyo mvumbuzi.
Unajua hapa tuna mitazamo tofauti na hatuwezi kufika mwisho, tutaendeleza majadiliano tu, Kwangu mimi naamini kama Africa inahitaji kufika mbali haihitaji kucopy na kupaste, inahitaji vitu vitakavyotutambulisha hiki ni cha Africa.

Huwezi kuiongelea deepseek bila kuiongelea chatgpt, ila unaweza kuiongelea chatgpt bila kuiongelea Deepseek.

Copy paste ni cage ya kiakili, ndivyo ilivyo.
 
Hakuna reply niliyosoma nikacheka kama hii 😂😂 kuna kitu kinaitwa technology transfer pia kuna invention halafu kuna innovation .

era of invention ilishapita kwa sasa tupo kwenye era of rapid innovation hakuna kipya alichovumbua USA zaidi ya ku "innovate" yale yaliyokwisha kuvumbuliwa na ndicho anachofanya china , kama una invention yoyote ground breaking aliyofanya USA ambayo haikuwahi kufanywa kabla unaweza kuniwekea hapa mkuu ila china ana ground breaking invention ambayo kama akifanikiwa ku stabilize atabadili uelekeo wa dunia ki teknolojia tafuta kuhusu "Artificial sun" .

Ku invent new technology kwa era tuliyopo inahitaji effort kubwa zaidi hasa academically ndiyo maana watu wanaendelea kusoma zaidi na si kwa USA tu japan kuanzia mwaka 1991 waliwekeza kutengeneza underground "Neutrino observatories" project ambazo zinatarajiwa kumalizika 2027.

Na kama ulikuwa haujui tu USA kuna fields za kitechnolojia ndo yupo vizuri ila kuna nyengine ameachwa sana na nchi nyengine nitalist kwa uchache.

USA yupo vizuri kwenye fields hizi hapa : millitary tech, software , space exploration ( kwa sasa anawapinzani wengi tu ) , A.I (welp kabla ya deepseek 😂)

JAPAN: LEAD in Robotics and manufacturing

CHINA : LEAD in AI and Supercomputing

SOUTH KOREA: LEAD in semiconductor and internet ( pia hapa amepata mpinzani mpya kikwazo walichomuwekea mchina kimemfanya avumbue chipset zake )

GERMANY : LEAD in Automotives and Engineering


SWITZERLAND : LEAD in precision science and pharmaceutical.

N.B
USA anapoona threat huwa anaweka vikwazo sasa hebu fuatilia vikwazo alivyomuwekea china kuanzia miaka 10 nyuma halafu uje hapa 😄 .
Mkuu zaidi sana wewe ndo unachekesha...

Unasema Era ya invention ilishapita na hatua chache mbele unaongelea "Artifial Sun".

Yani Era ya invention imeshapita?

Aiseee?

Acha niweke maoni yangu hapa, Invention haina kikomo mpaka mwisho wa hii dunia unapofika, na halikadhalika kwa Innovation.

Hapa tunaongelea USAchatgpt vs Chinadeepseek, na ziondoe hizo nchi nyinginezo, na hoja yangu ilikuwa USA ndiye kiongozi wa technology na hilo mbona linajulikana, ukiachana na masuala ya hizo category, ninazungumzia kijumla, USA ndiye kinara.

Hapa suala la patent rights lingekuwa linafikika hadi huko China nafkri ningeeleweka mapema zaidi...

Kinachomsaidia mchina ni ana soko la ndani, anauza bidhaa bei ya chini bas, hakuna kitu special kwa mchina, na kama mchina anakuinspire kwa namna yoyote ninashangaa sana...
 
Mkuu zaidi sana wewe ndo unachekesha...

Unasema Era ya invention ilishapita na hatua chache mbele unaongelea "Artifial Sun".

Yani Era ya invention imeshapita?

Aiseee?

Acha niweke maoni yangu hapa, Invention haina kikomo mpaka mwisho wa hii dunia unapofika, na halikadhalika kwa Innovation.

Hapa tunaongelea USAchatgpt vs Chinadeepseek, na ziondoe hizo nchi nyinginezo, na hoja yangu ilikuwa USA ndiye kiongozi wa technology na hilo mbona linajulikana, ukiachana na masuala ya hizo category, ninazungumzia kijumla, USA ndiye kinara.

Hapa suala la patent rights lingekuwa linafikika hadi huko China nafkri ningeeleweka mapema zaidi...

Kinachomsaidia mchina ni ana soko la ndani, anauza bidhaa bei ya chini bas, hakuna kitu special kwa mchina, na kama mchina anakuinspire kwa namna yoyote ninashangaa sana...
China ndio inaongoza kwa IP inaonekana hufahamu vitu vingi kwenye teknolojia ila unaishi kwa kuriri tu ya kale
 
Vijana UDSM wameshindwa hata ku renema deepsik na chatgpt wakaipa nickname yao? huu ubwege huu.. Africa yote tumeshindwa tunamwaza tu Kagame
Ndicho tunachowaza huku Africa, Kagame anawaza kuuwa na kupora madini ya Congo na Tanzania tunawaza kutawala, kusifu na kuabudu.
 
Unajua hapa tuna mitazamo tofauti na hatuwezi kufika mwisho, tutaendeleza majadiliano tu, Kwangu mimi naamini kama Africa inahitaji kufika mbali haihitaji kucopy na kupaste, inahitaji vitu vitakavyotutambulisha hiki ni cha Africa.

Huwezi kuiongelea deepseek bila kuiongelea chatgpt, ila unaweza kuiongelea chatgpt bila kuiongelea Deepseek.

Copy paste ni cage ya kiakili, ndivyo ilivyo.
Kwa mtizamo wako ambao sio universal uzuri neno lako sio sheria.
 
Kwa mtizamo wako ambao sio universal uzuri neno lako sio sheria.
Hapa hakuna sheria mkuu, twende tu darasani...

Wewe unajibu maswali katika karatasi ya mtihani na majibu unatoa kichwani mwako, na pembeni yako kuna mwenzako anakukopi wewe, (hawezi kukopi jina lako, ataandika lake sivyo?), sasa huyo mwenzako yuko kwenye cage ya akili, na cage hiyo ni wewe, na unamcontrol kwa wewe kujua ama kutokujua unamcontrol, na ukiamua afeli mtihani vilevile anafeli vizuri tu kwakuwa unajua anakutegemea wewe kwa 100%.
 
Hapa hakuna sheria mkuu, twende tu darasani...

Wewe unajibu maswali katika karatasi ya mtihani na majibu unatoa kichwani mwako, na pembeni yako kuna mwenzako anakukopi wewe, (hawezi kukopi jina lako, ataandika lake sivyo?), sasa huyo mwenzako yuko kwenye cage ya akili, na cage hiyo ni wewe, na unamcontrol kwa wewe kujua ama kutokujua unamcontrol, na ukiamua afeli mtihani vilevile anafeli vizuri tu kwakuwa unajua anakutegemea wewe kwa 100%.
Hivi akili aliyo tumia kugundua gari mtu wa kwanza kabisa,mfano tungeendelea nayo gari lile lile leo hii unazani ingekuwaje?

Hivi aliye ongezea seat belt hana akili?
Aliye ongezea heater na AC kwenye gari hana akili?
Aliye ongezea forward detection collision kwenye gari hana akili?
Aliye ongezea Lane departure hana akili?
Zimetengeneza tech kibao kuna 1G,2G,4G Mchina akaja kuongezea 5G inaama hata Mchina hakutumia akili yeye kuwa wa kwanza kutengeneza 5G?

Ndio maana nimekuambia huo ni mtizamo wako sio universal na neno lako sio sheria.
 
Nyie hamjui kuzitumia hizi tools,sasa hizo politics zinakusaidia nini? Software Developers sasa hivi kazi walizokuwa wanazifanya mwaka,wana uwezo kufanya mwezi mmoja.Watu wa IT sasa hivi hawatumii nguvu kama zamani.

Sasa unauliza maswala ya kipolitics ya China yanakusaidia nini.Halafu hamna software ambayo haina backdoor, iwe Ulaya,US au China software zao zote zinabackdoor.
Kaka nadhani hujui kwamba AI ni tool na inatumika na watu wengi ikiwemo politicians, so maswali ya kiasiasa na kijamii hayakwepeki. So suala la kusema watu hawajui cha kuuliza ni ujinga na uko mis informed

Ai inatakiwa ijue kujibu everything, if not 80% ya maswali yanayo ulizwa
 
Kaka nadhani hujui kwamba AI ni tool na inatumika na watu wengi ikiwemo politicians, so maswali ya kiasiasa na kijamii hayakwepeki. So suala la kusema watu hawajui cha kuuliza ni ujinga na uko mis informed

Ai inatakiwa ijue kujibu everything, if not 80% ya maswali yanayo ulizwa
Hebu niambia wanasisa wanaitumije ,unataka kisema kwastyle ya maswali kama aliyo uliza jamaa? Ungeniambia kama wanaitumia kuchakata taarifa hasa za kitakwimu kujua kama chama chake kina hali gani kisiasa hapo sawa na si haya maswali ambayo sioni faida yake.

Kwanza principle ya kitu chochote kilicho tengeneza na binadamu efficiency yake haitokuja kufikia 100.
 
Hivi akili aliyo tumia kugundua gari mtu wa kwanza kabisa,mfano tungeendelea nayo gari lile lie leo hii unazani ingekuwaje?

Hivi aliye ongezea seat belt hana akili?
Aliye ongezea heater na AC kwenye gari hana akili?
Aliye ongezea forward detection collision kwenye gari hana akili?
Aliye ongezea Lane departure hana akili?
Zimetengeneza tech kibao kuna 1G,2G,4G Mchina aka gundua 5G inaama hata Mchina hakutumia akili yeye kuwa wa kwanza kutengeneza 5G?

Ndio maana nimekuambia huo ni mtizamo wako sio universal na neno lako sio sheria.
Unajua ulichokiandika hapa unasimama upande wangu na unajipinga wewe mwenyewe?

Mimi ndio nimesema hii copy paste inabidi ife...

Screenshot_20250225_132031.JPG


Ukiangaliaa unaona kuna tofauti yoyote?

Screenshot_20250225_132049.JPG
 
Unajua ulichokiandika hapa unasimama upande wangu na unajipinga wewe mwenyewe?

Mimi ndio nimesema hii copy paste inabidi ife...

View attachment 3249114

Ukiangaliaa unaona kuna tofauti yoyote?

View attachment 3249113
Sehemu gani nimesimama upande wako?

Hata aliye itengeneza hiyo browser aliye ongezea sehemu ya history alitumia akili, aliongezea sehemu ya kuadjust size alitumia akili.Japo browser zote zipo sawa.

AI zote zimetengeneza ila sio Open Source.
Mchina yaeke ni Open Source katumia akili.

Kutengeneza AI kwa gharama ndogo product ambayo performance yake ni nzuri bado katumia akili.

Kutengeneza AI kwa chips zenye uwezo wa kawaida ila performance sawa na za kwao bado katumia akili.

Bila akili mpya gunduzi zote zingebaki vile vile tokea zilipo gunduliwa.
 
Mkuu zaidi sana wewe ndo unachekesha...

Unasema Era ya invention ilishapita na hatua chache mbele unaongelea "Artifial Sun".

Yani Era ya invention imeshapita?

Aiseee?

Acha niweke maoni yangu hapa, Invention haina kikomo mpaka mwisho wa hii dunia unapofika, na halikadhalika kwa Innovation.

Hapa tunaongelea USAchatgpt vs Chinadeepseek, na ziondoe hizo nchi nyinginezo, na hoja yangu ilikuwa USA ndiye kiongozi wa technology na hilo mbona linajulikana, ukiachana na masuala ya hizo category, ninazungumzia kijumla, USA ndiye kinara.

Hapa suala la patent rights lingekuwa linafikika hadi huko China nafkri ningeeleweka mapema zaidi...

Kinachomsaidia mchina ni ana soko la ndani, anauza bidhaa bei ya chini bas, hakuna kitu special kwa mchina, na kama mchina anakuinspire kwa namna yoyote ninashangaa sana...
Unajua maana ya ERA? 😂
 
Hebu niambia wanasisa wanaitumije ,unataka kisema kwastyle ya maswali kama aliyo uliza jamaa? Ungeniambia kama wanaitumia kuchakata taarifa hasa za kitakwimu kujua kama chama chake kina hali gani kisiasa hapo sawa na si haya maswali ambayo sioni faida yake.

Kwanza principle ya kitu chochote kilicho tengeneza na binadamu efficiency yake haitokuja kufikia 100.
Huwez chakata taarifa za chama chako kama huna hizo taarifa at first place.
And for the record you will suprised maswali ambayo AI inaulizwa, kuna various millions questions
Thats how models zina adopt and learn, haijalishi swali ni productive or not
 
Sehemu gani nimesimama upande wako?

Hata aliye itengeneza hiyo browser aliye ongezea sehemu ya history alitumia akili, aliongezea sehemu ya kuadjust size alitumia akili.Japo browser zote zipo sawa.

AI zote zimetengeneza ila sio Open Source.
Mchina yaeke ni Open Source katumia akili.

Kutengeneza AI kwa gharama ndogo product ambayo performance yake ni nzuri bado katumia akili.

Kutengeneza AI kwa chips zenye uwezo wa kawaida ila performance sawa na za kwao bado katumia akili.

Bila akili mpya gunduzi zote zingebaki vile vile tokea zilipo gunduliwa.
Unajua wewe kuna kitu huelewi, kwanza kabisa wiki ilopita nilikuwa nazichalenge Chatgpt na Deepseek kwa pamoja ila ilionekana Deepseek hainielewi, sikuchukua screenshot...

kwamba unamsifu mchina kwa kutumia gharama nafuu na chip za kiwango cha chini kutengeza kitu kilekile?

Mkuu mbona bado hiyo Deepseek haina ufanisi unaodai hapa? Umezichunguza kweli zote 2?
 
Back
Top Bottom