Mfahamu Mchungaji kutoka Afrika aliyealikwa kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Trump

Mfahamu Mchungaji kutoka Afrika aliyealikwa kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Trump

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo alipata nafasi ya kushiriki ibada rasmi ya kumuombea Rais Trump. Mchungaji huyo ni nani hasa na kwanini alialikwa? Mchungaji Kumuyi ni Askofu Mkuu, au kama anavyojulikana zaidi “Mwangalizi Mkuu” na Mwanzilishi wa Kanisa la “Deeper Life Bible Church” lenye makao yake makuu Gbagada, Lagos, Nigeria. Alizaliwa tarehe 6 Juni 1941. Kabla hajapata wito wa kuwa Mchungaji , alikuwa Profesa wa Hesabu katika Chuo Kikuu cha Lagos, Nigeria.

Kanisa la Deeper Life alilianzisha mwaka 1973 likiwa na watu wachache lakini sasa lina mamilioni ya waumini katika nchi mbalimbali duniani. Mchungaji Kumuyi anaheshimiwa sana kwa jinsi asivyopenda makuu na pia kwa jinsi alivyo mnyenyekevu. Mchungaji Kumuyi amejitoa kufundisha Neno la Mungu huku akiweka msisitizo kuhusu utakatifu na haki. Chini ya uongozi wake, jengo la Kanisa hilo lina uwezo wa kuketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Kanisa hilo kila Jumapili linakuwa na ibada tano zinazohudhuriwa na washirika wapatao 150,000. Kanisa hilo lina matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, India, Dubai na nchi kadhaa za Afrika. Mchungaji Kumuyi, katika mafundisho yake, anaeleza kwamba wokovu unapatikana kwa imani katika Yesu Kristo, na kwamba ni muhimu mtu apate utakaso na kuishi maisha matakatifu ili aweze kumuona Mungu(Ebr 12:14).

Yamkini hizo ndizo sababu zilizomfanya Mchungaji Kumuyi apate heshima ya kupata mwaliko huo wa kipekee. Kitendo cha kualikwa kwa Mchungaji Kumuyi katika sherehe ya uapisho wa Rais Trump, kinaonyesha wazi dhamira aliyo nayo Rais Trump ya kulinda na kukuza uhuru wa kuabudu nchini Marekani na kimataifa.

Pastor Kumuyi.jpg

Mchungaji William Kumuyi
 
Hili kanisa la Deeper Life lipo mpaka Tanzania, nimeliona Moshi na Singida. Hata la prophet bushiri yule wa south africa lipo Tanzania. Hata haya makanisa ya Tanzania kuna nchi yapo. Wachungaji wa kinigeria wanajulikana sana nje ya nchi yao kuliko hawa wa kwetu. Sijui kama kina Tramp wanawajua kina mwamposa, geo devie, mtokambali, lusekolo, malasusa nao waalikwe kuhudhuria dhifa zao huko marekani
 
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo alipata nafasi ya kushiriki ibada rasmi ya kumuombea Rais Trump. Mchungaji huyo ni nani hasa na kwanini alialikwa? Mchungaji Kumuyi ni Askofu Mkuu, au kama anavyojulikana zaidi “Mwangalizi Mkuu” na Mwanzilishi wa Kanisa la “Deeper Life Bible Church” lenye makao yake makuu Gbagada, Lagos, Nigeria. Alizaliwa tarehe 6 Juni 1941. Kabla hajapata wito wa kuwa Mchungaji , alikuwa Profesa wa Hesabu katika Chuo Kikuu cha Lagos, Nigeria.

Kanisa la Deeper Life alilianzisha mwaka 1973 likiwa na watu wachache lakini sasa lina mamilioni ya waumini katika nchi mbalimbali duniani. Mchungaji Kumuyi anaheshimiwa sana kwa jinsi asivyopenda makuu na pia kwa jinsi alivyo mnyenyekevu. Mchungaji Kumuyi amejitoa kufundisha Neno la Mungu huku akiweka msisitizo kuhusu utakatifu na haki. Chini ya uongozi wake, jengo la Kanisa hilo lina uwezo wa kuketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Kanisa hilo kila Jumapili linakuwa na ibada tano zinazohudhuriwa na washirika wapatao 150,000. Kanisa hilo lina matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, India, Dubai na nchi kadhaa za Afrika. Mchungaji Kumuyi, katika mafundisho yake, anaeleza kwamba wokovu unapatikana kwa imani katika Yesu Kristo, na kwamba ni muhimu mtu apate utakaso na kuishi maisha matakatifu ili aweze kumuona Mungu(Ebr 12:14).

Yamkini hizo ndizo sababu zilizomfanya Mchungaji Kumuyi apate heshima ya kupata mwaliko huo wa kipekee. Kitendo cha kualikwa kwa Mchungaji Kumuyi katika sherehe ya uapisho wa Rais Trump, kinaonyesha wazi dhamira aliyo nayo Rais Trump ya kulinda na kukuza uhuru wa kuabudu nchini Marekani na kimataifa.

View attachment 3211047
Mchungaji William Kumuyi
Mchungaji William Folorunso Kumuyi alifunga ndoa na Abiodun Olowu, tarehe 13 Septemba 1980, Lagos, Nigeria. Walibarikiwa kupata watoto wawili, Jeremiah na John. Tarehe 11 Aprili 2009 mke wake alifariki.

Tarehe 13 Oktoba 2010, miezi 18 baada ya kifo cha Abiodun, Mchungaji Kumuyi alimuoa Folashade Adenike Blaize. Wakati wa ndoa yao, Folashade alikuwa na umri wa miaka 65 na hakuwa ameolewa kabla ya hapo.
 
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo alipata nafasi ya kushiriki ibada rasmi ya kumuombea Rais Trump. Mchungaji huyo ni nani hasa na kwanini alialikwa? Mchungaji Kumuyi ni Askofu Mkuu, au kama anavyojulikana zaidi “Mwangalizi Mkuu” na Mwanzilishi wa Kanisa la “Deeper Life Bible Church” lenye makao yake makuu Gbagada, Lagos, Nigeria. Alizaliwa tarehe 6 Juni 1941. Kabla hajapata wito wa kuwa Mchungaji , alikuwa Profesa wa Hesabu katika Chuo Kikuu cha Lagos, Nigeria.

Kanisa la Deeper Life alilianzisha mwaka 1973 likiwa na watu wachache lakini sasa lina mamilioni ya waumini katika nchi mbalimbali duniani. Mchungaji Kumuyi anaheshimiwa sana kwa jinsi asivyopenda makuu na pia kwa jinsi alivyo mnyenyekevu. Mchungaji Kumuyi amejitoa kufundisha Neno la Mungu huku akiweka msisitizo kuhusu utakatifu na haki. Chini ya uongozi wake, jengo la Kanisa hilo lina uwezo wa kuketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Kanisa hilo kila Jumapili linakuwa na ibada tano zinazohudhuriwa na washirika wapatao 150,000. Kanisa hilo lina matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, India, Dubai na nchi kadhaa za Afrika. Mchungaji Kumuyi, katika mafundisho yake, anaeleza kwamba wokovu unapatikana kwa imani katika Yesu Kristo, na kwamba ni muhimu mtu apate utakaso na kuishi maisha matakatifu ili aweze kumuona Mungu(Ebr 12:14).

Yamkini hizo ndizo sababu zilizomfanya Mchungaji Kumuyi apate heshima ya kupata mwaliko huo wa kipekee. Kitendo cha kualikwa kwa Mchungaji Kumuyi katika sherehe ya uapisho wa Rais Trump, kinaonyesha wazi dhamira aliyo nayo Rais Trump ya kulinda na kukuza uhuru wa kuabudu nchini Marekani na kimataifa.

View attachment 3211047
Mchungaji William Kumuyi
Tuletee na yule mchungaji aliyeomba mashoga wapewe uhuru..dini ya mchongo.
 
Hili kanisa la Deeper Life lipo mpaka Tanzania, nimeliona Moshi na Singida. Hata la prophet bushiri yule wa south africa lipo Tanzania. Hata haya makanisa ya Tanzania kuna nchi yapo. Wachungaji wa kinigeria wanajulikana sana nje ya nchi yao kuliko hawa wa kwetu. Sijui kama kina Tramp wanawajua kina mwamposa, geo devie, mtokambali, lusekolo, malasusa nao waalikwe kuhudhuria dhifa zao huko marekani
Tatizo ni lugha, hao hawawezi kuongea kiingereza hata Kwa dk Moja ni wahubiri wazuri hapa bongo basi
 
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo alipata nafasi ya kushiriki ibada rasmi ya kumuombea Rais Trump. Mchungaji huyo ni nani hasa na kwanini alialikwa? Mchungaji Kumuyi ni Askofu Mkuu, au kama anavyojulikana zaidi “Mwangalizi Mkuu” na Mwanzilishi wa Kanisa la “Deeper Life Bible Church” lenye makao yake makuu Gbagada, Lagos, Nigeria. Alizaliwa tarehe 6 Juni 1941. Kabla hajapata wito wa kuwa Mchungaji , alikuwa Profesa wa Hesabu katika Chuo Kikuu cha Lagos, Nigeria.

Kanisa la Deeper Life alilianzisha mwaka 1973 likiwa na watu wachache lakini sasa lina mamilioni ya waumini katika nchi mbalimbali duniani. Mchungaji Kumuyi anaheshimiwa sana kwa jinsi asivyopenda makuu na pia kwa jinsi alivyo mnyenyekevu. Mchungaji Kumuyi amejitoa kufundisha Neno la Mungu huku akiweka msisitizo kuhusu utakatifu na haki. Chini ya uongozi wake, jengo la Kanisa hilo lina uwezo wa kuketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Kanisa hilo kila Jumapili linakuwa na ibada tano zinazohudhuriwa na washirika wapatao 150,000. Kanisa hilo lina matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, India, Dubai na nchi kadhaa za Afrika. Mchungaji Kumuyi, katika mafundisho yake, anaeleza kwamba wokovu unapatikana kwa imani katika Yesu Kristo, na kwamba ni muhimu mtu apate utakaso na kuishi maisha matakatifu ili aweze kumuona Mungu(Ebr 12:14).

Yamkini hizo ndizo sababu zilizomfanya Mchungaji Kumuyi apate heshima ya kupata mwaliko huo wa kipekee. Kitendo cha kualikwa kwa Mchungaji Kumuyi katika sherehe ya uapisho wa Rais Trump, kinaonyesha wazi dhamira aliyo nayo Rais Trump ya kulinda na kukuza uhuru wa kuabudu nchini Marekani na kimataifa.

View attachment 3211047
Mchungaji William Kumuyi
Marekani ndiko kanisa la Sabato lilikoanzia

Kumuyi na kanisa lake la deeper life sio wakristo hujiita wapentecoste wa sabato wanaosali jumamosi na wasiosherekea Krismas wala pasaka

Kwa hiyo kakaribishwa Marekani kwa Trump kama msabato mwenye watu wengi Africa dini iliyoanzia Marekani
 
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo alipata nafasi ya kushiriki ibada rasmi ya kumuombea Rais Trump. Mchungaji huyo ni nani hasa na kwanini alialikwa? Mchungaji Kumuyi ni Askofu Mkuu, au kama anavyojulikana zaidi “Mwangalizi Mkuu” na Mwanzilishi wa Kanisa la “Deeper Life Bible Church” lenye makao yake makuu Gbagada, Lagos, Nigeria. Alizaliwa tarehe 6 Juni 1941. Kabla hajapata wito wa kuwa Mchungaji , alikuwa Profesa wa Hesabu katika Chuo Kikuu cha Lagos, Nigeria.

Kanisa la Deeper Life alilianzisha mwaka 1973 likiwa na watu wachache lakini sasa lina mamilioni ya waumini katika nchi mbalimbali duniani. Mchungaji Kumuyi anaheshimiwa sana kwa jinsi asivyopenda makuu na pia kwa jinsi alivyo mnyenyekevu. Mchungaji Kumuyi amejitoa kufundisha Neno la Mungu huku akiweka msisitizo kuhusu utakatifu na haki. Chini ya uongozi wake, jengo la Kanisa hilo lina uwezo wa kuketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Kanisa hilo kila Jumapili linakuwa na ibada tano zinazohudhuriwa na washirika wapatao 150,000. Kanisa hilo lina matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, India, Dubai na nchi kadhaa za Afrika. Mchungaji Kumuyi, katika mafundisho yake, anaeleza kwamba wokovu unapatikana kwa imani katika Yesu Kristo, na kwamba ni muhimu mtu apate utakaso na kuishi maisha matakatifu ili aweze kumuona Mungu(Ebr 12:14).

Yamkini hizo ndizo sababu zilizomfanya Mchungaji Kumuyi apate heshima ya kupata mwaliko huo wa kipekee. Kitendo cha kualikwa kwa Mchungaji Kumuyi katika sherehe ya uapisho wa Rais Trump, kinaonyesha wazi dhamira aliyo nayo Rais Trump ya kulinda na kukuza uhuru wa kuabudu nchini Marekani na kimataifa.

View attachment 3211047
Mchungaji William Kumuyi
Deeperlifechurch.jpg

Hivyo ndivyo linavyoonekana kwa mbele, jengo la Kanisa la Deeper Life, makao makuu, Gbagada, Lagos, Nigeria. Jengo hili limejengwa katika eneo lenye mita za mraba zipatazo 7000. Kanisa hilo lina sehemu ya kupaki magari madogo zaidi ya 500 na mabasi zaidi ya 70. Sehemu ya chini(basement) ya Kanisa hilo ina uwezo wa kuketisha watoto tu 7500. Kanisa lina milango 14 ya kuingia na kutoka. Wachunguzi wanadai kwamba thamani ya jengo hilo ni dola za kimarekani milioni 16. Pesa hizo zilitokana na sadaka na michango ya washirika. Hata hivyo maafisa wa Kanisa hawajathibitisha taarifa hizo. Sehemu kubwa ya Wahandisi waliohusika katika ujenzi wa Kanisa hilo ni washirika wa Kanisa hilohilo. Jengo lote lina vipoza joto(AC) vingi kwa sababu ya umati mkubwa wa watu wanaohudhuria ibada. Jengo hili ni mojawapo ya vivutio vikubwa kwa watu wanaotembelea mji wa Gbagada, Lagos.
 
Mchungaji William Folorunsho Kumuyi ni Mchungaji Mwafrika, aliyepata heshima ya kualikwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, tarehe 20/1/2025. Mchungaji huyo alipata nafasi ya kushiriki ibada rasmi ya kumuombea Rais Trump. Mchungaji huyo ni nani hasa na kwanini alialikwa? Mchungaji Kumuyi ni Askofu Mkuu, au kama anavyojulikana zaidi “Mwangalizi Mkuu” na Mwanzilishi wa Kanisa la “Deeper Life Bible Church” lenye makao yake makuu Gbagada, Lagos, Nigeria. Alizaliwa tarehe 6 Juni 1941. Kabla hajapata wito wa kuwa Mchungaji , alikuwa Profesa wa Hesabu katika Chuo Kikuu cha Lagos, Nigeria.

Kanisa la Deeper Life alilianzisha mwaka 1973 likiwa na watu wachache lakini sasa lina mamilioni ya waumini katika nchi mbalimbali duniani. Mchungaji Kumuyi anaheshimiwa sana kwa jinsi asivyopenda makuu na pia kwa jinsi alivyo mnyenyekevu. Mchungaji Kumuyi amejitoa kufundisha Neno la Mungu huku akiweka msisitizo kuhusu utakatifu na haki. Chini ya uongozi wake, jengo la Kanisa hilo lina uwezo wa kuketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Kanisa hilo kila Jumapili linakuwa na ibada tano zinazohudhuriwa na washirika wapatao 150,000. Kanisa hilo lina matawi Marekani, Uingereza, Ujerumani, Canada, India, Dubai na nchi kadhaa za Afrika. Mchungaji Kumuyi, katika mafundisho yake, anaeleza kwamba wokovu unapatikana kwa imani katika Yesu Kristo, na kwamba ni muhimu mtu apate utakaso na kuishi maisha matakatifu ili aweze kumuona Mungu(Ebr 12:14).

Yamkini hizo ndizo sababu zilizomfanya Mchungaji Kumuyi apate heshima ya kupata mwaliko huo wa kipekee. Kitendo cha kualikwa kwa Mchungaji Kumuyi katika sherehe ya uapisho wa Rais Trump, kinaonyesha wazi dhamira aliyo nayo Rais Trump ya kulinda na kukuza uhuru wa kuabudu nchini Marekani na kimataifa.

View attachment 3211047
Mchungaji William Kumuyi
Pastor and Mrs Kumuyi.jpg

Mchungaji W. Kumuyi(83) na Mkewe, Esther(79).
 
False prophet / church
To the extent of my discernment, such an allegation leveled against Pastor W.F. Kumuyi is entirely spurious and devoid of any substantive merit. Pastor Kumuyi is an unequivocal adherent of Pentecostal orthodoxy, whose doctrinal expositions are firmly rooted in the immutable teachings of Christ as delineated in Scripture. His ministry is characterized by an unwavering emphasis on sanctification, righteousness, and the observance of Christ's precepts, in alignment with the Great Commission as articulated in Matthew 28:19-20, wherein Christ enjoined His disciples to "make disciples of all nations... teaching them to observe all things whatsoever I have commanded you."

To designate him a "false prophet" and his church "false" is an egregious misrepresentation, tantamount to contravening the divine injunction against bearing false witness (Exodus 20:16). Pastor Kumuyi’s ministry and personal life incontrovertibly exemplify the manifestation of the fruits of the Spirit, as enumerated in Galatians 5:22-23, thereby corroborating the authenticity of his divine calling. Such aspersions are not merely unfounded but betray a profound disregard for the integrity of a ministry steadfastly anchored in the inerrancy of God’s Word.
 
To the extent of my discernment, such an allegation leveled against Pastor W.F. Kumuyi is entirely spurious and devoid of any substantive merit. Pastor Kumuyi is an unequivocal adherent of Pentecostal orthodoxy, whose doctrinal expositions are firmly rooted in the immutable teachings of Christ as delineated in Scripture. His ministry is characterized by an unwavering emphasis on sanctification, righteousness, and the observance of Christ's precepts, in alignment with the Great Commission as articulated in Matthew 28:19-20, wherein Christ enjoined His disciples to "make disciples of all nations... teaching them to observe all things whatsoever I have commanded you."

To designate him a "false prophet" and his church "false" is an egregious misrepresentation, tantamount to contravening the divine injunction against bearing false witness (Exodus 20:16). Pastor Kumuyi’s ministry and personal life incontrovertibly exemplify the manifestation of the fruits of the Spirit, as enumerated in Galatians 5:22-23, thereby corroborating the authenticity of his divine calling. Such aspersions are not merely unfounded but betray a profound disregard for the integrity of a ministry steadfastly anchored in the inerrancy of God’s Word.

Mchungaji wake aliyekuwa Tanzania, Arusha na Dar es salaam, alivuruga Maisha yake yote kwa Sababu ya Hilo Kanisa na taratibu zao, na sasa yupo Kinondoni anakula beer!

#false
 
Back
Top Bottom