Mfahamu Mchungaji kutoka Afrika aliyealikwa kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Trump

CIA Asset
It is unwise to make unfounded accusations against God’s servants. The Bible reminds us in 1 Chronicles 16:22, “Do not touch my anointed ones...” Let us focus on building one another in faith rather than spreading baseless claims.
 
Hawa wa kwetu lugha inawaponza. Tanzania hatujulikani kimataifa maana tumejifungia na siasa yetu ya ujamaa. Imeathiri hadi kanisa.
 
Huyu mzee nadhani ndiye baba wa kiroho wa Bishop Kakobe. Maana mafundisho yao yanafanana.
 
Hivi mtu aliyeita taifa lako ‘Shithole country’ (shimo la mavi / shimo la choo), siku akikualika, maana yake amealika mtu aliyetoka shimo la mavi, kama sio toilet paper inayotoka humo shimoni ni nini? Hivi Akili mnaachaga wapi nyie wenzetu, mi ningeukataa huo mwaliko kama alivyofanya ‘Ibrahim Traore’..
 
Hawa wa kwetu lugha inawaponza. Tanzania hatujulikani kimataifa maana tumejifungia na siasa yetu ya ujamaa. Imeathiri hadi kanisa.
Ghana, Zambia, Kenya, hao nao lugha inawaponza? Mbona hakuna Mchg aliyealikwa kutoka katika nchi hizo? Huyo Mchg ana kitu cha ziada. Wangapi wana makanisa(single congregation) ya watu takriban laki na nusu wanaohudhuria ibada kila Jumapili?
 
Toilet paper zikiingia katika shimo la choo huwa zinatoka tena na kutumika? Mbona unajichanganya ndugu? Halafu wewe uzuie ulimi wako usinene matusi yasije yakakupata yaliyowapata kina Miriam na Haruni kwa kumnenea mabaya Mtumishi wa Mungu, Musa.
 
Umeandika vizuri sana na lugha rahisi inayoeleweka, hongera
 
Alikuwa Prof akiwa na miaka 32, hongera zake
 
Na wewe ni muumini wa hilo kanisa au umesoma tu taarifa zake?
 
Alikuwa Prof akiwa na miaka 32, hongera zake
Amepewa neema ya ajabu. Nafikiri ujuzi wake mkubwa wa mahesabu ndio uliomuwezesha kubuni jengo kubwa la Kanisa linaloketisha watu 30,000 kwa wakati mmoja. Try to imagine, jengo hilo halina columns ndani. Huyo ni zaidi ya Prof wa hesabu. Anastahili kuitwa Construction Engineer with expertise in applied mathematics.
 
Hapa nimekupata wewe ni mfuasi wake mtiifu uko tayari kumtangaza na kuonyesha sifa zake,anyway nilikuwa simfaham.
Ghana, Zambia, Kenya, hao nao lugha inawaponza? Mbona hakuna Mchg aliyealikwa kutoka katika nchi hizo? Huyo Mchg ana kitu cha ziada. Wangapi wana makanisa(single congregation) ya watu takriban laki na nusu wanaohudhuria ibada kila Jumapili?
 
Kizungu kingi sana
 
Hapa nimekupata wewe ni mfuasi wake mtiifu uko tayari kumtangaza na kuonyesha sifa zake,anyway nilikuwa simfaham.
Mimi ni mfuasi wa Yesu. Napenda kutafakari na kuandika mambo yoyote yenye sifa njema. Soma hiyo "signature" yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…