Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump yeye ni muumini wa dhehebu gani huko Marekani? Au ni Mfuasi wa kanisa gani? Na je anaenda kanisani na kama ni ndiyo anaenda kanisa gani? Au naye anaenda kwenye kanisa linaloongozwa na huyo Mchungaji?
Unaweza kujibu kuhusu "Trump Bible"? Imesheheni nini humo ndani na anaiuza bei ghali kwa nini?
Siku ya Kuapa kwake Hakuweka mkono wake kwenye biblia kama wafanyavyo wengine waliopita, alikuwa anaiogopa au alikataa makusudi, na je hili alimuondolei uaminifu wake kwa makanisa?
Oh thanks. NimeonaFuatilia mahojiano yake na Waandishi wa habari. Aliulizwa kina nani aliowaalika akawajibu vizuri tu. Angekuwa hajui asingewajibu
Mtu hawezi kulialika mavi, maana kinachotoka shimo la choo ni mavi, sasa iweje atuite shimo la choo halafu amualike mmoja wa watokao ndani ya shimo la mavi?Toilet paper zikiingia katika shimo la choo huwa zinatoka tena na kutumika? Mbona unajichanganya ndugu? Halafu wewe uzuie ulimi wako usinene matusi yasije yakakupata yaliyowapata kina Miriam na Haruni kwa kumnenea mabaya Mtumishi wa Mungu, Musa.
Siwezi kumuuliza, maana sababu naijua, huyo ameenda kutumia kama acceptance card kwa waAfrika, kaenda kutumika tu kama toilet paper..Hilo swali muulize yeye kwenye ukurasa wake wa X
Mchungaji Kumuyi ameisharudi Nigeria na hayo unayosema hayakufanyika. Hiyo chuki yako kwa Trump haitakusaidia.Siwezi kumuuliza, maana sababu naijua, huyo ameenda kutumia kama acceptance card kwa waAfrika, kaenda kutumika tu kama toilet paper..
Imeshafanyika.., akeshafukika.., karudi shimo la mavi sasa (according to trump)Mchungaji Kumuyi ameisharudi Nigeria na hayo unayosema hayakufanyika. Hiyo chuki yako kwa Trump haitakusaidia.
Kukataa kauli ya trump ni kureject mwaliko wake, period!Tumalize mjadala huo, hauna faida. Kama unakubaliana na Trump kwamba wewe ni toilet paper, pole.
Huyajui haya mambo. Tulia! Laiti ungeujua undani wa Kila mtu mashuhuri hapa nchini au duniani hapa ungebaki mdomo wazi.Unaota ndoto? Ndoto huwa zina michanganyiko mingi
Trump ni mlokole kipindi chake cha kwanxa alikuwa na mchungaji wake Ikulu wa kumsalisha ibada zake ikulu huyo mchungaji ni mwanamama Mchungaji Paula whiteTrump ameonekana mara chache akihudhuria ibada kanisani. Alipokuwa rais, awamu ile ya kwanza, alitembelea makanisa kadhaa ya kiinjili na mara nyingine alionekana katika ibada maalum za maombi
Kwa mawazo yako wewe unafikiri duniani hakuna watakatifu. Pole sana.Huyajui haya mambo. Tulia! Laiti ungeujua undani wa Kila mtu mashuhuri hapa nchini au duniani hapa ungebaki mdomo wazi.
Kusoma na kujifunza mambo hamtaki mnakalia ujinga ujinga tu na umbea
Duh, unauliza swali na kujijibuGwajima mbona hakualikwa
Mswiga mbona hakualikwa
aaaa shapata jibu.Wanachanganya dini na siasa shauri ya matumbo yao
Wangemuiga Kakobe
Kakobe kweli hakualikwa lakini ni bahati mbaya tu Trump hawezi wakumbuka wote ila alistahili
Huyo ataalikwa Dodoma inatosha sana Ualikwe DC uanze habari za kutapika mijusi mara chura mtu anatoa ushuhuda eti niikunya paka si upuuzi huo?Mwamposa ni nani? Labda bado hajafahamika kimataifa. Rais Trump mpaka akupe mwaliko anakuwa amechunguza vitu vingi sana.