jannelle
JF-Expert Member
- Feb 8, 2020
- 824
- 1,581
Sio kwamba hawezi, me nadhani kila mtu anaanzisha kitu chake kwa kusudio maalumuHana huo upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba hawezi, me nadhani kila mtu anaanzisha kitu chake kwa kusudio maalumuHana huo upepo
Haendelei yupo palepale ni kama mtoto bado anawategemea wazazi. Hawezi bila Clouds, inambebaSio kwamba hawezi, me nadhani kila mtu anaanzisha kitu chake kwa kusudio maalumu
Yaleyale ya Manara na SimbaHana huo upepo
Kwa iyo ni Parasite, Hawezi bila clouds!?Akiwaachia wengine pia na yeye atadrop.
Sababu kwa watu wasio fuatilia mitandao ya kijamii wamemfahamu kupitia Clouds FM Hivyo akiacha na yeye atakuwa na pengo kubwa kwenye kujibrand.
Millard Ayo ameoa na ana watoto wawili kwa sasa.Vipi kuhusu mahusiano yake, sijawahi kumuona akihusiana na baby yoyote
Au wenzangu mnamjua mpenzi wake
We jamaa ni mjingaHata Laizer wameru hutumia hilo.
Hata yeye hupenda kujiita mwana wa Muyenjwa.
Kuhusu huo utajiri sijapata uhakika zaidi ila watu wengi wanasema hivyo.
Acha kudanganya watu Laizer hayatumiwi na wameru, ilo jina alijiita baada ya yule bilionea wa madini ya TanzaniteKama ulivyo sema