Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Ukweli unauma [emoji23][emoji23][emoji23]nafikir unatafuta "ligi ya maneno na kauli " japo hapa si mahala sahihi mkuu.
Siku njema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli unauma [emoji23][emoji23][emoji23]nafikir unatafuta "ligi ya maneno na kauli " japo hapa si mahala sahihi mkuu.
Siku njema.
Wewe unadhani kufunguwa media mtaji ni laptop na smartphone?Kwanini hafungui media yake akajitegemea!?
Laizer halafu mmeru? mmmh hapana hakunaga hiiHata Laizer wameru hutumia hilo.
Hata yeye hupenda kujiita mwana wa Muyenjwa.
Kuhusu huo utajiri sijapata uhakika zaidi ila watu wengi wanasema hivyo.
Laizer nilisikia akijiita hivyo toka 2010Na jamaa anabisha utadhani alimbatiza yeye..Kipindi yule mmaasai alipopiga B7 za tanzanite Millard alianza kujiita Millard Ayo Saninu Laizer..
Ni kama tu Diamond anavyojiita Dangote..
No way..Laizer kaanza kulitumia sana baada ya yule mzee wa tanzanite kutrend.Laizer nilisikia akijiita hivyo toka 2010
Alaa kumbeMillard Ayo ameoa na ana watoto wawili kwa sasa.
Ana mke mzungu sema hua hataki kuweka mahusiano yake kistaa yeye na mke wake wanakaa maisha yasiyo ya show off
Sawa, Ngoja nitumie haki yangu kukupuuzaNasikia anataka kuja kukuchumbia uwe bimdogo wake.
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.Sawa, Ngoja nitumie haki yangu kukupuuza
Okay ni vyema sanaKitambo sana sema hua hapendi kujionyesha ili kulinda brand yake
The same scenario whay ww mpaka leo umeajiriwaKwanini hafungui media yake akajitegemea!?
Holy moly! So Ukifikiria kupata mtaji first thing first ni kuchota vijisenti vyako vya akiba au kusubiri neema ya kuchangiwa na wazazi,ndugu na marafiki!?Wewe unadhani kufunguwa media mtaji ni laptop na smartphone?
Hahaa mimi sio role modelThe same scenario whay ww mpaka leo umeajiriwa
Ila kuanzisha kituo kiwe cha redio/TV ni shughuli kwanza kuwafanya watu waache redio/TV fulani Harafu wawe wafuasi wako ni kazi hivyo hadi ajipange sana.Holy moly! So Ukifikiria kupata mtaji first thing first ni kuchota vijisenti vyako vya akiba au kusubiri neema ya kuchangiwa na wazazi,ndugu na marafiki!?
Kwa mtu kama milad ayo na reputation yake katika industry ya media unadhani tatizo ni mtaji!?
Think Big ma Niqqa!