Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

Mzee wa kamnyweso, makagari, akamchoma Uswadi, anataka kumtafuna uroro, Indaa!!!
Msimsahau Dj Afro Amigo.
Rufufu nimuongo alikua anaelezea matukio badala ya kutafsiri maneno.

Kwangu Dj Mack na Dj Afro ndio the best wanajua kingereza vizuri na hawachoshi kuwasikiliza
Mkuu hapa ni kama umeongea kinyume, hao kina Mack ndio wanasimulia matukio.
 
alikuwa akinikosha akiigiza sauti ya kike, amkumbuka kwenye movie la titanic
"Rambo utanipeleka Marekani?"

"Rambo kula chakula."

"Unajua sisi makomandoo tunapokuwa kwenye uwanja wa kivita tunakula mara moja kwa siku hatuli tu hovyo hovyo."
 
Akapigwa mpaka akasumbagila[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa napenda akiigiza sauti ya mwanamke au ya mtoto huyu jamaa ni legendary
Anakuambia jambazi alipigwa mkong'oto uliochanganyika na kipigo.
 
Huyu mtu watu wanampenda sana lakini binafsi kwenye kizazi changu cha filamu nimekuta wakina dj mack na juma khan
 
Mkandala lufufu, lukoma abembeija kanshumika bilagala kankoma bigutuka kutoka mitaa ya hamghembe
 
Mimi Lufufu ndo GOAT wangu hata hizi enzi za Netflix mara moja moja nilkua natafuta movie zake za kibeto
 
Back
Top Bottom