Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂pombeKarinya
Hajatokea mpaka Sasa hata wakuweza kumkalibia Rufufu,Hawa wa Sasa Ni waganga njaa.
Akapigwa mpaka akasumbagila[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa napenda akiigiza sauti ya mwanamke au ya mtoto huyu jamaa ni legendaryAnaitwa Kapteni Gaspa derki Mkandala lufufu, halafu mbele hapo kuna maneno ya kihaya alipenda kuyaweka Mnaokumbuka vyema Mtatukumbusha.
Baada ya kustaafu kazi ya Jeshi Lufufu aliamua kuanza kutafsiri picha (Movie) za kizungu nk. kwa Kiswahili, jina lake likawa maarufu hapa Nchini Tanzania huku akiwa mtu wa kwanza kabisa kuingiza maneno ya kiswahili kwenye mikanda ya video VHS.
Huyu muasisi wa MaDj wote unaowaona wanatamba hivi sasa alifariki Mwaka 2015 na kuzikwa Moshi Mkoani Kilimanjaro. Baba yake alikuwa Mchaga na mama yake alikuwa Mhaya.
Alikuwa akinogesha movie kwa maneno yake ambayo hatuyajui maana yake mpaka leo ila wapenzi watazamaji walimwelewa.
"Eeeee Tujuane wale wote wa vibanda umiza kipindi kileee tulio kuwa tukirudi tunafikia kwenye kichapo na maji ya baridi juu. watoto wa getini mtupishe kidogo "
Unaikumbuka muvi ipi kutoka kwa huyu mkali....View attachment 2242541
Kama hukumuelewa Rufufu ata shule ulikuwa mzito[emoji1787][emoji1787]Nikiwa mdogo niliangalia movie zake ila sijawahi kuzipenda maana maneno aliyokua anayatumia sikuwahi kuyapenda bila sababu niliona maneno ya hovyo tu ila nilikua naangalia hivyo hivyo maana ni stage ya ukuaji ambayo ilikua lazima niipitie
Badae nilikuja kumpenda sana Dj Afro wa Kenya hadi leo namkubali sana
Pale Kona la kwenda magenge ishilini, upande wa kulia ni kwa limonga, mbele Kuna baa ya mamboto ukiendelea mbele ni kwa serenge dah , we mkaliEnzi hizo miaka ya 90 nilikuwa nakaa mbagala kwa mangaya, ni jirani na kwa limonga justin wa limonga ambaye nadhani ndio alikuwa mfadhili wa lufufu.
Jamaa alikuwa charming sana nakumbukuka alikuwa akipita pale mtaani tulikuwa tunamshangalia lufufu...lufufu amevaa kofia ya cowboy.
Ananunua machungwa tunakula, na sehemu alipokuwa akitasfiri hzio movie ni mbagala hapo hapo kwa limonga. Ilikuwa raha sana maana ukiwa na shiling 20 unaangalia trailer na movie moja matata ya anord la jini hahahaha..way back
"Naitwa captain Gaspar Derrick Mkandala a.k.a Rufufuuuuu"
Jamaa alikuwa mwongo sana Ila alijua kucheza na maneno Hadi muvi unaiona tamu
Lkn kwangu DJ Mark Mzee wa acheche production namkubali zaidi
Anaanza halafu hawa wengine wanafuata! Ndio mtafsiri wangu bora wa muda wote.
Dj Afro amigos...
Mzee wa kulya mundu, makagari, saitung'i...
Kitambo sana niliwahi tazama muvi za huyu Mkenya,,,,,ni Comedy sana..
Dj Mark ndio mkali wao kwangu"Naitwa captain Gaspar Derrick Mkandala a.k.a Rufufuuuuu"
Jamaa alikuwa mwongo sana Ila alijua kucheza na maneno Hadi muvi unaiona tamu
Lkn kwangu DJ Mark Mzee wa acheche production namkubali zaidi
Pale Kona la kwenda magenge ishilini, upande wa kulia ni kwa limonga, mbele Kuna baa ya mamboto ukiendelea mbele ni kwa serenge dah , we mkali
Orodha yangu ni Rufufu, Dj Mack na Dj Afro.Ww hujui balaa la Dj afro
Umempatia sanaaWapeeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwaa
Kwa mara nyingine tena mkandala lufufu library iliyoopo Yombo kwa limboa inawaletea movie kali kabisa ya deadly pray
Imetafsiriwa na captain Gasper Mkandala lufufuuuuuu wako mabameja