Mfahamu Mohamed Said: Maisha, Kazi na Historia yake

Mfahamu Mohamed Said: Maisha, Kazi na Historia yake

Nampongeza Mohamed Said kwa kuandika (kufichua) yale ambayo wengine waliyàfunika.
 
"The life and times of Mohamed Said"
Napanga kumtafiti huyu mzee na kumuandikia kitabu asijekufa ukakosekana wasifu wa kumuelezea kiundani.
 
"The life and times of Mohamed Said"
Napanga kumtafiti huyu mzee na kumuandikia kitabu asijekufa ukakosekana wasifu wa kumuelezea kiundani.
Hongera mkuu kweli kuna vitu vinapaswa kubaki kwa faida ya vizazi vijavyo kama historia ya huyu mdau ni muhimu Sana.
Kwa Vile yupo bado una nafasi ya kumtafiti zaidi.
 
Ni mwandishi mzuri sana napenda makala yake na hana jazba
Ni hazina kubwa kwa Taifa
Udini? Wengi wetu tuna dini na unapokuwa na dini upendo ni lazima
Huwa anaandika aliyoyasikia na kuyaona pia
 
Jaribu kutuelekeza kuna nini juu ya uelewa wako kwa mbali
Dah.... Majibu yapo kwenye kitabu changu kinaitwa "Historia ya Baba, misimamo ya mtoto na bifu na Nyerere"....cha mwaka 1957......kanunue 🤣🤣🤣🤣🤭
 
Mtu anayemuita mwenzake mdini ni mdini wa kwanza….
Ukionesha kidole kimoja vinne vinakurudia mwenyewe
It takes a thief to catch one
Mohammed Said anaandika historia kwa mrengo wake na anavyofahamu
 
Ni mwandishi mzuri sana napenda makala yake na hana jazba
Ni hazina kubwa kwa Taifa
Udini? Wengi wetu tuna dini na unapokuwa na dini upendo ni lazima
Huwa anaandika aliyoyasikia na kuyaona pia
Kweli umeeleza vyema kabisa.
 
Back
Top Bottom