Mfahamu Mohamed Said: Maisha, Kazi na Historia yake

mwanahistoria alieandika mengi lakin hakuwah kumhoji Nyerere. anawahoji wale watakaompa majibu anayotaka. cjui alikuwa ana ballance vip stor zake.
πŸ€”πŸ€”πŸ€” Fikirishi
 
Ni mwandishi mzuri anajua historia ila ukizungumza nae kwa mawili matatu utagundua kuwa aidha anapindisha historia au anazo ajenda anataka kuzipenyeza
Hapa ngoja tumusubiri na yeye atutoe ualakini.
 
Dah.... Majibu yapo kwenye kitabu changu kinaitwa "Historia ya Baba, misimamo ya mtoto na bifu na Nyerere"....cha mwaka 1957......kanunue 🀣🀣🀣🀣🀭
Sawa mkuu ngoja tukitafute tukifanyie kazi.
 
Mtu anayemuita mwenzake mdini ni mdini wa kwanza….
Ukionesha kidole kimoja vinne vinakurudia mwenyewe
It takes a thief to catch one
Mohammed Said anaandika historia kwa mrengo wake na anavyofahamu
Kweli hapa umeeleweka kabisa
 
Historia yenyewe haijitoshelezi,, hujaandika kuhusu elimu yake wapi alisoma na hata kuajiriwa endapo kama aliajiliwa,, familia yake yani ana watoto au la,, alianza lini kujishugulisha na uandishi, kipi kilimsukuma mpaka kuwa muandishi,, kifupi hukumtendea haki kwenye hii historia yake japo kwa ufupi, sana sana nilichoona hapo umeelezea historia ya babu yake na hujasema huyo babu yake ni mzaa baba au mama!!
 
Asante kwa nyongeza ngoja nifanyie kazi nyogeza hiyo uliyo tolea ufafanuzi.
 
Asante sana kwa historia hii, ila ingenoga zaidi kama pia ungeeleza alisoma wapi primary na sekondari.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…