Mfahamu mtu hatari zaidi Yanga

Mfahamu mtu hatari zaidi Yanga

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Anaitwa Moussa N'Daw Msenegal ambaye aliwahi kuwa Striker hatari sana wa Wydad ac na Al hilal ya Saud Arabia. Pia amewahi kuwa Manager msaidizi pale Wyadad Ac 2021/22. Yaani ile Wydad ya moto iliyochukua ubingwa CAFCL jamaa alikuwepo.
20240831_210131.jpg

Screenshot_20240831-203622_YouTube.jpg

Screenshot_20240831-203644_YouTube.jpg

Uhatari wake haupo pale anapokuwa ameketi. Shida huanza pale anaposimama na kwenda kumnong'oneza jambo kocha mkuu, Hapo hali ya hewa hubadilika kabisa!

Ni kocha mwenye sifa ya kuwa na mbinu chafu mno! Ni fundi wa kuusoma mchezo, katili na tactician wa hatari mno, anayezijua mbinu zote za nje na ndani ya uwanja.

images - 2024-08-31T204631.935.jpeg
Sio kocha anayefurahia kushindwa, Hapendi kabisa kushindwa.Yaani kwa kifupi unapomuaona huyu jamaa ameinuka kwenye benchi, baaasi ujue kazi ipo! Shughuli yake huwa ni kazi chafu! Yupo kwa kazi maalum!

Ukitaka Yanga waishiwe mbinu, basi huyu jamaa ale red atoke nje kabisa ya uwanja, hapo kuna ahueni.Vinginevyo ni ngumu kutoboa!

images - 2024-08-31T204455.509.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20240831-203648_YouTube.jpg
    Screenshot_20240831-203648_YouTube.jpg
    527.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240831-203648_YouTube.jpg
    Screenshot_20240831-203648_YouTube.jpg
    527.2 KB · Views: 5
Anaitwa Moussa N'Daw Msenegal ambaye aliwahi kuwa Striker hatari sana wa Wydad ac na Al hilal ya Saud Arabia. Pia amewahi kuwa Manager msaidizi pale Wyadad Ac 2021/22. Yaani ile Wydad ya moto iliyochukua ubingwa CAFCL jamaa alikuwepo.
View attachment 3083783
View attachment 3083787
View attachment 3083789
Uhatari wake haupo pale anapokuwa ameketi. Shida huanza pale anaposimama na kwenda kumnong'oneza jambo kocha mkuu, Hapo hali ya hewa hubadilika kabisa!
Ni kocha mwenye sifa ya kuwa na mbinu chafu mno! Ni fundi wa kuusoma mchezo, katili na tactician wa hatari mno, anayezijua mbinu zote za nje na ndani ya uwanja.
View attachment 3083791
Sio kocha anayefurahia kushindwa, Hapendi kabisa kushindwa.Yaani kwa kifupi unapomuaona huyu jamaa ameinuka kwenye benchi, baaasi ujue kazi ipo! Shughuli yake huwa ni kazi chafu! Yupo kwa kazi maalum!
Ukitaka Yanga waishiwe mbinu, basi huyu jamaa ale red atoke nje kabisa ya uwanja, hapo kuna ahueni.Vinginevyo ni ngumu kutoboa!

View attachment 3083793
Unamaanisha huyo kocha ana cheo kama kile cha Selemani Matola!! Yaani hata aletwe kocha kutoka dunia ya wapi! Bado Kocha msaidizi lazima awe Selemani Matola!

Sasa unajiuliza, hivi huyu jamaa ana jukumu la kocha msaidizi tu! Au pia ndiye Mwenyekiti wa kudumu wa ile kamati yetu ya ufundi?
 
Anaitwa Moussa N'Daw Msenegal ambaye aliwahi kuwa Striker hatari sana wa Wydad ac na Al hilal ya Saud Arabia. Pia amewahi kuwa Manager msaidizi pale Wyadad Ac 2021/22. Yaani ile Wydad ya moto iliyochukua ubingwa CAFCL jamaa alikuwepo.
View attachment 3083783
View attachment 3083787
View attachment 3083789
Uhatari wake haupo pale anapokuwa ameketi. Shida huanza pale anaposimama na kwenda kumnong'oneza jambo kocha mkuu, Hapo hali ya hewa hubadilika kabisa!
Ni kocha mwenye sifa ya kuwa na mbinu chafu mno! Ni fundi wa kuusoma mchezo, katili na tactician wa hatari mno, anayezijua mbinu zote za nje na ndani ya uwanja.
View attachment 3083791
Sio kocha anayefurahia kushindwa, Hapendi kabisa kushindwa.Yaani kwa kifupi unapomuaona huyu jamaa ameinuka kwenye benchi, baaasi ujue kazi ipo! Shughuli yake huwa ni kazi chafu! Yupo kwa kazi maalum!
Ukitaka Yanga waishiwe mbinu, basi huyu jamaa ale red atoke nje kabisa ya uwanja, hapo kuna ahueni.Vinginevyo ni ngumu kutoboa!
Mbona Yanga ilipocheza na Al Ahly alipewa red card lakini Yanga iliweza kusawazisha goli?
 
Anaitwa Moussa N'Daw Msenegal ambaye aliwahi kuwa Striker hatari sana wa Wydad ac na Al hilal ya Saud Arabia. Pia amewahi kuwa Manager msaidizi pale Wyadad Ac 2021/22. Yaani ile Wydad ya moto iliyochukua ubingwa CAFCL jamaa alikuwepo.
View attachment 3083783
View attachment 3083787
View attachment 3083789
Uhatari wake haupo pale anapokuwa ameketi. Shida huanza pale anaposimama na kwenda kumnong'oneza jambo kocha mkuu, Hapo hali ya hewa hubadilika kabisa!

Ni kocha mwenye sifa ya kuwa na mbinu chafu mno! Ni fundi wa kuusoma mchezo, katili na tactician wa hatari mno, anayezijua mbinu zote za nje na ndani ya uwanja.

Sio kocha anayefurahia kushindwa, Hapendi kabisa kushindwa.Yaani kwa kifupi unapomuaona huyu jamaa ameinuka kwenye benchi, baaasi ujue kazi ipo! Shughuli yake huwa ni kazi chafu! Yupo kwa kazi maalum!

Ukitaka Yanga waishiwe mbinu, basi huyu jamaa ale red atoke nje kabisa ya uwanja, hapo kuna ahueni.Vinginevyo ni ngumu kutoboa!

Uzi wako una mlengo mbaya, benchi la ufundi kila mmoja ana uwezo na umuhimu wake na wote wanategemeana hata daktari wa timu na ndio maana ikaitwa benchi la ufundi. Hakuna mwenye uwezo kuliko mwenzie bali wanasaidiana mawazo ili kufanya jambo lililo bora. Acha kutengeneza makundi, zengwe na fitina kwenye timu. Mechi ya Al Ahly, Gamondi alibakia mwenyewe lakini alisawazisha goli. Kule Algeria alikuwepo lakini haikusaidia Yanga kutobamizwa goli 3. Kimsingi benchi linafanya kazi kwa kusaidiana, hakuna aliyezidi uwezo na maarifa kuliko wengine kila mmoja ana ubora na mapungufu yake
 
Huyo ndiye alitaka kupigana na kocha wa Mamelodi, ila cha ajabu mwenzake leo ameenda huko Wydad ambako hana hata historia napo na yeye amebaki Kimbiji analiwa na mbu
 
Huyo ndiye alitaka kupigana na kocha wa Mamelodi, ila cha ajabu mwenzake leo ameenda huko Wydad ambako hana hata historia napo na yeye amebaki Kimbiji analiwa na mbu
Yaani aache kubaki kwa mabingwa Yanga aende huko Wydad atakuwa na akili timamu kweli? Kwenda Wydad ndiyo nini? Tena ameshawahi kufundisha huko! Na wala hajataka kurudi huko! Yanga ni bora mara 100 kuliko Wydad
 
Uzi wako una mlengo mbaya, benchi la ufundi kila mmoja ana uwezo na umuhimu wake na wote wanategemeana hata daktari wa timu na ndio maana ikaitwa benchi la ufundi. Hakuna mwenye uwezo kuliko mwenzie bali wanasaidiana mawazo ili kufanya jambo lililo bora. Acha kutengeneza makundi, zengwe na fitina kwenye timu. Mechi ya Al Ahly, Gamondi alibakia mwenyewe lakini alisawazisha goli. Kule Algeria alikuwepo lakini haikusaidia Yanga kutobamizwa goli 3. Kimsingi benchi linafanya kazi kwa kusaidiana, hakuna aliyezidi uwezo na maarifa kuliko wengine kila mmoja ana ubora na mapungufu yake
Ni kweli mkuu, lakini sikuwa na nia mbaya.
 
Yaani aache kubaki kwa mabingwa Yanga aende huko Wydad atakuwa na akili timamu kweli? Kwenda Wydad ndiyo nini? Tena ameshawahi kufundisha huko! Na wala hajataka kurudi huko! Yanga ni bora mara 100 kuliko Wydad
Umeanza kwa kusifia kuwa alifundisha Wydad ya moto na mabingwa, ghafla unaibuka kuwa Yanga ni bora mara 100!
 
Namkubali sana kocha wetu MOUSA NDAW
Hacheki na wowote anaulinda wetu moyo 😅😅, pamoja na yule analyst wetu msouth sijui msudan
 
Uzi wako una mlengo mbaya, benchi la ufundi kila mmoja ana uwezo na umuhimu wake na wote wanategemeana hata daktari wa timu na ndio maana ikaitwa benchi la ufundi. Hakuna mwenye uwezo kuliko mwenzie bali wanasaidiana mawazo ili kufanya jambo lililo bora. Acha kutengeneza makundi, zengwe na fitina kwenye timu. Mechi ya Al Ahly, Gamondi alibakia mwenyewe lakini alisawazisha goli. Kule Algeria alikuwepo lakini haikusaidia Yanga kutobamizwa goli 3. Kimsingi benchi linafanya kazi kwa kusaidiana, hakuna aliyezidi uwezo na maarifa kuliko wengine kila mmoja ana ubora na mapungufu yake
Kule Metacha alituchoma
 
Back
Top Bottom