Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Matola ndo mtaalam wa mambo ya giza.Unamaanisha huyo kocha ana cheo kama kile cha Selemani Matola!! Yaani hata aletwe kocha kutoka dunia ya wapi! Bado Kocha msaidizi lazima awe Selemani Matola!
Sasa unajiuliza, hivi huyu jamaa ana jukumu la kocha msaidizi tu! Au pia ndiye Mwenyekiti wa kudumu wa ile kamati yetu ya ufundi?