Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Chakarabotisawa mithun
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakarabotisawa mithun
alimwagia ndani kafaidi kweli kweli, na muungurumo kama wa simba juuNa ana watoto wawili 😆😆😆
Butiama machinjioniAje kufanya nini kuolewa? 😆😆😆🤪
😆😆😆 Noma sana amekula vitamu Simba mwenda polealimwagia ndani kafaidi kweli kweli, na muungurumo kama wa simba juu
Wewe ni the butcher? 😆😆😆🤪Butiama machinjioni
mtoto mkali sana huyo, wacha wenye mfuko wafaidi vizuri😆😆😆 Noma sana amekula vitamu Simba mwenda pole
wanaita Pugu Mnadani, moja iko mbele ya Gomes, nyingine iko Mbele ya ChanikaWewe ni the butcher? 😆😆😆🤪
Movie alizocheza na SRK duuh ukicheck SRK alikua anakula vitamu sasa anakula kwa macho tu kweli 😆😆😆🤪mtoto mkali sana huyo, wacha wenye mfuko wafaidi vizuri
Kwa hio masai dada afike hapo machinjooni aje afanye achinje? 😆😆😆🤪wanaita Pugu Mnadani, moja iko mbele ya Gomes, nyingine iko Mbele ya Chanika
aah shorkahn mjanja, maana kamla kipindi bibie yuko mnatoniMovie alizocheza na SRK duuh ukicheck SRK alikua anakula vitamu sasa anakula kwa macho tu kweli 😆😆😆🤪
mbona umekazia sana hiiKwa hio masai dada afike hapo machinjooni aje afanye achinje? 😆😆😆🤪
😆😆😆🤪 Unatamani SRK akupishe uwe wewe ndio unamshikashika mtoto Kajolaah shorkahn mjanja, maana kamla kipindi bibie yuko mnatoni
cheki bazigaru, kuna sehem anamshika shika maungo wazi, nikicheki tena lazima nidise, natamai niwe shorkani pale
masai dada 😆😆😆🤪 chukua usafiri uwahi machinjoonimbona umekazia sana hii
Pugu Mnadani, chukua shuttle za TATA zile (Zingiziwa-M/Complex) aka Taxi Kubwa , shuka mwisho,
daaah, noma sana, macho yake yale, kama paka, mie hoi😆😆😆🤪 Unatamani SRK akupishe uwe wewe ndio unamshikashika mtoto Kajol
ya Pugu, au ya Chanika Mwisho ?machinjooni
😆😆😆 Kwa hio Mzee hapo ukatamani uzame kwenye TVdaaah, noma sana, macho yake yale, kama paka, mie hoi
kuna mwingine yuko ile movie ya akshei, sunnil na jalwa
pale wanaimba alaf kuna mvua, akshei anamlamba lamba bi dada kwenye kifua kinene
MODS msifute
noma sana, mie naugulia chini chini tu😆😆😆 Kwa hio Mzee hapo ukatamani uzame kwenye TV
Unajipaka babakea kichwani 😆😆😆🤪noma sana, mie naugulia chini chini tu
BabeCare ipo karibu, naruka nayo kiroho swafi
😅😅Jamaa kapitia mengi sanaHapana ..
Alinyang'anywa Karishma Kapoor na Salman Khan...baadae Salman akampiga chini Karishma akaenda beba Aishwarya Rai... Aishwarya Rai nae akampiga chini Salman akaenda chukuliwa na jamaa underground alikuwa anaitwa Oberoi something baadae akampiga chini huyo Oberei akaja olewa na mtoto wa Amitabh Bachan....