Mfahamu play boy

Waislam wanasema ukifa unapewa wake 40 na unapewa nguvu za kutumia wanawake 100 akiba 60
 
hili ndo bata sasa...na mm nataka hiyo mission ipo under way. bora ufe kishukaa kuliko kwa risasi ya polisi wa green gadi
 
hili ndo bata sasa...na mm nataka hiyo mission ipo under way. bora ufe kishukaa kuliko kwa risasi ya polisi wa green gadi
Hahaha mkuu kwa bongo utachizi. Kila binti akuwekee limbwata
 
Kumwelewa mwanamke unahitaji kusoma article sio chini ya milioni tisa, plus Biblia na Quran na vitabu vingine kama novel, lambart, na manual za mashine kutoka ujerumani na Uturuki bila kusahau maombezi ya mara kwa mara.
[emoji23] nasikia hata Albert Einstein pamoja na plato na ISACK newton wote walishindwa kuwaelewa wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…