Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ehehehehhe na wanja wake sasa hua hakapendeziUnajua munna toka aache mkorogo sijui kawaje ndo madhara ya mikorogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ehehehehhe na wanja wake sasa hua hakapendeziUnajua munna toka aache mkorogo sijui kawaje ndo madhara ya mikorogo
Hahahhh wanja wa tatoo uo Dina nyusi zote hana mpk anakufaEhehehehhe na wanja wake sasa hua hakapendezi
ngada ngada ngada maana kudanga siku hizi sio ishu zamani ilikuwa wakiuza tigo wanapata pesa saa hizi tigo hata mkeo anakupatiia nyumbani😱😱😱😱😱msibishe😵😵😵😵Kweli kwenye maisha hakuna aijuaye kesho , huyu demu alikuaga anaigiza kipindi hicho tamthilia za ITV, kala msoto wa nguvu lakini hakufanikiwa kutoka, baadae akaja kuibuka kwa Lulu akawa bodyguard kama sio secretary wa Lulu ,kutwa akawa anagandana na Lulu, baadae naona ubest ukafa, siku si nyingi akaibukia kwa madame wema sepetu, unaambiwa sasa hvi Ana pesa chafu na ndie anayemsaidia shoga ake wema sepetu karibia kila kitu, sasa sijui aka ka andunje kamepata wapi jeuri ya pesa View attachment 400952
Hana nyusi kumbe?Hahahhh wanja wa tatoo uo Dina nyusi zote hana mpk anakufa
hakuna kiuno kiuno hapa ,,,,,,,,,Kweli nimeamini mjini kiuno Kinalipa,uwiiiiiiie
hahahaha aiseeKwahiyo kama baba yako ni dhoofa ilhali ndio unafikiri baba wa kila mtu yuko hivyo??
baba hapa unajikoki mwenyewe...................
[emoji3] [emoji3] [emoji3]baba hapa unajikoki mwenyewe...................
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana pesa chafu,kisha unatuonyesha Prado !!!!! Mi nilikuwa natafuta sehemu utakayosema shughuli yake au biashara anayofanya, sio kutuonyesha gari ambayo kwa Dar ni sare ya jiji.
ila ni mkubwa au ni maisha yallikuwa magumi heeeeeeeeeeee alivyokuwa itv majangaEhehehehhe na wanja wake sasa hua hakapendezi
Kakubwa hako ,mi sikumbuki kama nilimuona ITVila ni mkubwa au ni maisha yallikuwa magumi heeeeeeeeeeee alivyokuwa itv majanga
he mi nilimuona huko hata sura nimeikumbuka baada ya kuona hiyo ya zamani kweli umasikini unatuchakazaKakubwa hako ,mi sikumbuki kama nilimuona ITV
Ndio hivyooo ,nasikia kana mkwanja kumzidii hata wemahe mi nilimuona huko hata sura nimeikumbuka baada ya kuona hiyo ya zamani kweli umasikini unatuchakaza
akaza