Mfahamu rafiki mpya wa wema, Muna na "UTAJIRI" wa kutisha

ngada ngada ngada maana kudanga siku hizi sio ishu zamani ilikuwa wakiuza tigo wanapata pesa saa hizi tigo hata mkeo anakupatiia nyumbani😱😱😱😱😱msibishe😵😵😵😵


samahani naomba picha yake akiwa bado it sorreeeeeeeeeeeeeee maana sura naikumbuka kwa mbaliii
 
Tanzania ukiwa na gari hata la kukodi au kugongea kwa jirani utaitwa tajiri
 
Ana pesa chafu,kisha unatuonyesha Prado !!!!! Mi nilikuwa natafuta sehemu utakayosema shughuli yake au biashara anayofanya, sio kutuonyesha gari ambayo kwa Dar ni sare ya jiji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Usishindane na msichana pedeje atamhonga noah. Pigana upate chako mtoto wa kiume haishi kwa kiuno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…