Ndio hivyo alijua wake na mtoto kamzoea so lazima amuhudumie mtoto akikua hatamtupa ataelezwa ukweli atamuona mbaya mama ake, ila la nyumba mbona anaweza kufuta hati tu hakuna shida, ila mtoto ni wa mtangazaji.Mmh mwasu sidhani mbona peter alimwandikia nyumba yule mtto na yy ndo anamuhudumia kila kitu mpk sasa
Aisee nani wa kumwachia afute jina nyumba ndo ishaendaNdio hivyo alijua wake na mtoto kamzoea so lazima amuhudumie mtoto akikua hatamtupa ataelezwa ukweli atamuona mbaya mama ake, ila la nyumba mbona anaweza kufuta hati tu hakuna shida, ila mtoto ni wa mtangazaji.
na kubemenda watoto ndo wanawaza hao kina aunty!Huyo dada inaonyesha anaakili na ni mchapakazi naona wako na wema wanapiga kazi na show zao za vigoma magenge ya akina aunt ezekiel yalikuwa yanampotosha wema maana wao wanawaza bata na sio kazi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muna alimwacha kalala, badaya ya kalala kumkopa mill 1 hajamludishia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kabisaa waende kwenye siasa wakajadili tanzania ya viwanda na kilimo cha nyanya uku watuache wambea
Mimi nadhani watu wanapaswa kuelewa huku kwa ma celebrity ni full of gossips kama unajua wewe upo serious na maisha hautaki kufata au kusikia maisha ya watu wanaofahamika wanafanya nini au nini kimetokea usije huku celebrity forum..komaa na siasa na habari mchanganyiko.....
[emoji28][emoji28]watuache wanajifanya hawapendi umbea kutwa wapo umu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Achana na kukopwa na baby halaf hana dalili za kuludisha na ww mapenzi yashaisha lazma umtoe balu [emoji28][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kalala anapenda dezooo....!!Achana na kukopwa na baby halaf hana dalili za kuludisha na ww mapenzi yashaisha lazma umtoe balu [emoji28]
Sanaaa anapenda kulelewa naona hajaamin alivyoachwa hivi unakumbuka ile ndoa yao feki yy na muna wakapiga mapicha yao studio [emoji28]ndoa wamefungia studio tulikoma insta na mapicha yaokalala anapenda dezooo....!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndoa feki wasanii wa bongo bwana!Sanaaa anapenda kulelewa naona hajaamin alivyoachwa hivi unakumbuka ile ndoa yao feki yy na muna wakapiga mapicha yao studio [emoji28]ndoa wamefungia studio tulikoma insta na mapicha yao
Hahahhh mpk nyimbo alimtungia muna chezea umariooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndoa feki wasanii wa bongo bwana!
kalala nae mwanaume wa kuolewa nae?!!![emoji57] [emoji57] [emoji57]
Makubwaaa...!!Hahahhh mpk nyimbo alimtungia muna chezea umariooo
HahahhhMakubwaaa...!!
Marioo kwa kujipendekezaa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila muna ana sura nzito jamani utadhani turubai, usiombe kuona picha ambayo hajaedit kama sio yeye maimuna
Ulikuwa wapi?sio ni muna love kazaa na casto dickson wa siz kitaa
Hey njoo jukwaa la wakubwaUlikuwa wapi?
Casto kafuta picha zoote za Patrick baada ya kugundua sio mtoto wake.
Dhakari zinatueleleza
Baba anaendelea kutafutwa.
Maskini Peter....angekuwa na Muna nae angekuwa mbali sasa