Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 2,025
- 1,270
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe we ni mzee mwenzangu,mi nakumbuka uwanja wa mkendo 1994 ndani ya musomaNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Mwaka 1983 alikuwa Kenya nilimwona huyo Mtumishi.
Mtumishi aliyejituma basi unataka niseme hivyo.Mtumishi wa nani?
Nani kamtuma?
Barua ya uteuzi ya huyo aliemtuma iko wapi?
Naikumbuka hii ilikua viwanja vya usagara secondary pale.Nilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Huyu nilimuona Tunduma-songweMiaka ya 90 nilimuona Mwanza na kuna yule mwingine aliitwa Egon Falk sijui yuko wapi nae?
Okay sawa imekuwa ni miaka aisee kumbe daah!!Huyu nilimuona Tunduma-songwe
Inawezekana alikua na makazi UlayaHaah hivi kumbe ye alikuwa Arusha tu hapo sio kwamba alikuwa na makao makuu yake huko Ulaya?
Kumbe wewe mkubwa sanaNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Duh kumbe umeenda age eeh..!!?????! ¡Nilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
huyu jamaa ni kiboko
Mtumishi aliyejituma basi unataka niseme hivyo.