Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Mimi nimezaliwa 95 simujui kabisa yaan my sister hapa leo ndo namsikiaNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimezaliwa 95 simujui kabisa yaan my sister hapa leo ndo namsikiaNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
1992 Dodoma uwanja wa barafu siwezi kumsahau mtumishi huyuBasi jamaa ametembea sana maana maeneo yanayotajwa humu sitarajii hata kufika yeye alishafika
Korogwe 1992 nyuma ya stendi ya mabasi
Sasa yeye alijaza nyomi bila hawa mitandao'hadi leo hakuibuka mtu wakujaza nafasi ya katika mikutano yake Africa na dunia kwa ujumla',sidhani kama hii ni kweli,alikuwa ni wa aina yake kwenye miaka ile ila kwa sasa mbona wako wengi tu,isipokuwa wamejikita kutoa huduma kwenye eneo moja,hebu fikiria watumishi kama TB Joshua,Joyce Meyer,TD Jakes na wengine wengi wangeamua kufanya huduma ya kuzunguka kwenye nchi mbalimbali ingekuwaje!na ukumbuke hawa wa sasa wamekuwa maarufu sana kupitia mitandao kwahiyo hata waumini wanao fahamu kazi/huduma zao ni wengi zaidi...
Ilikuwa ni uwanja wa Arusha secondary! Ambapo ccm wameupora na kuwauzia wachina, siku hizi pamezungushiwa bati sijui Panafanyika uwizi gani huko ndani!Mkuu mm nakumbuka pale Ngaramtoni Arusha mwaka 1997 au 1998 na Mbeya 2004 kama sikosei
nilishuhudia mkutano wake Nairobi ,wakati maombi ya kuvunja nguvu za giza yakifanyika,kuna kichaa alikuwa akipita nyuma kabisa ya mkutano akiwa uchi mnyama kabisa,aliyechakaa miaka kibao,alianguka alipoamka alikuwa kapona akiomba asitiriwe na nguo.
Jangwani enz hizo 1993Nilihudhuria mkutano wake wa mwisho Dar
Another false prophet and self proclaimed apostle.Yule alikuwa ni Morris Cerulo...
Hata mm nilikuwepo mkuu nilikuwa niko mwaka wa pili pale MTC by that timeNimemuona kwa macho uwanja wa sokoine Mbeya mwaka
1992 jamaa bonge la muinjilist.