ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usagara secondary au Tangamano,maana kote huko alikinukisha!Nilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Usagara Sekondari enzi hizo RC alikuwa mama Halima Hamsi (RIP)Usagara secondary au Tangamano,maana kote huko alikinukisha!
Ni kwamba mchango wa huyo jamaa kwenye kuhubili ni mkubwa sana dunian, angekuwa akihubiri juu ya ugaidi na kujitoa mhanga na visasi.Amin usingekuwa hia sasa. acha neema ya mungu na itawaleWalokole uwanja wenu huu,jimwageni.mi bado sijauona huo mtikisiko wa dunia anaozungumzia mleta mada.
Yeah kipindi hicho Tanga raha kweli mji mwisho mwahako!Usagara Sekondari enzi hizo RC alikuwa mama Halima Hamsi (RIP)
Ilikuwa TangamanoNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Hahahaha kumbe watu wa Tanga wengi humuUsagara Sekondari enzi hizo RC alikuwa mama Halima Hamsi (RIP)
Nilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Yupo huko ubelgiji anatandika injili
Nakumbuka kumuona mara ya kwanza ni uwanja wa Jangwani Dar mwaka 89 alikuwa akiongea anamalizia na iiiiiii alikuwa bado kijana sana ilikuwa inaitwa The Big November Crusade
Kwa masikitiko makubwa amefariki Dunia leo Peacefully. RIP BONKE.Nakumbuka kumuona mara ya kwanza ni uwanja wa Jangwani Dar mwaka 89 alikuwa akiongea anamalizia na iiiiiii alikuwa bado kijana sana ilikuwa inaitwa The Big November Crusade
I hope hata mimi nilikuwepoNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
nilimshuhudia mbeya sokoine nadhani ilikuwa 2004 ,kwa kweli kulifana Sana