Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sky eclat kumbe wewe ni mhenga wa zamani eeee!Nilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Yuko Arusha anaendelea na mission zake japo siku hizi anazifanyia sana vijijiniMiaka ya 90 nilimuona Mwanza na kuna yule mwingine aliitwa Egon Falk sijui yuko wapi nae?
Egon Falk alikua anatokea Arusha. Sijajua yuko wapi kwa sasa
miaka ya hivi karibuni huko USA imeibuka taarifa kwamba wanasayansi wa taasisi ya DARPA ambayo ipo chini ya idara ya ulinzi wa jeshi la marekani, wakishirikiana na wenzao wa taasisi ya HAARP, wanafanya kitu kinachoitwa "weather modification".Nakumbuka mwaka 1993 alikuja Mbeya, hapo nilikuwa na Walkman yangu ya Sony, nikiinunua kwenye duka la Sony Corporation Samora Avenue kwa TZS. 50'000/- ilikuwa inatwanga kinoma.
Siku hiyo nakumbuka nilikuwa naisikikiza album ya 2pac Me Against The World, nilipofika kwa Bonke uwanja wa Sokoine, mvua kubwa ikaanza, Bonke akaionyeshea mkono, mvua ikakata instantly
Kwa sasa hiyo huduma ipo na mtumishi DANIEL KOLENDA na yeye ni fire asee maana walitembea wote wakati bonke anapiga injilialianzisha ya chama CHRIST FOR ALL NATION'' CfaN'''
Ndio nani huyo?Yuko Arusha mpaka sasa.
Aliyopo arusha ni Egon FakNdio nani huyo?
Ni kweli jamaa alifufuka Baada ya kuwa amekufakwa ajali.namkumbuka viwanja vya furahisha mwanza miaka ya tisini.
PA system yake sio ya kitoto. Naona kama kawaachia watoto wake kwa sasa maana juzijuzi walikuwa mwanza.
Ni kweli huyu jamaa alifufua mtu huko nigeria?
Nilikuepo kuhudumu kwenye mkutano huo tulipewa T-shirt zimeandikwa Jesus Alive ministry kipindi nimemaliza form four tulipata temple jobs za maananamkumbuka viwanja vya furahisha mwanza miaka ya tisini.
PA system yake sio ya kitoto. Naona kama kawaachia watoto wake kwa sasa maana juzijuzi walikuwa mwanza.
Ni kweli huyu jamaa alifufua mtu huko nigeria?
Shikamoo! dadaNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Marahaba mdogo wanguShikamoo! dada