Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Nakumbuka mwaka 1993 alikuja Mbeya, hapo nilikuwa na Walkman yangu ya Sony, nikiinunua kwenye duka la Sony Corporation Samora Avenue kwa TZS. 50'000/- ilikuwa inatwanga kinoma.
Siku hiyo nakumbuka nilikuwa naisikikiza album ya 2pac Me Against The World, nilipofika kwa Bonke uwanja wa Sokoine, mvua kubwa ikaanza, Bonke akaionyeshea mkono, mvua ikakata instantly
Duh basi alikuwa na upako wa ajabu, binafsi sikuwahi kumuona ila namkubali sana kwani baada ya kuja Tz parents wangu walijikuta wana badili dini na kuwa na wokovu faza akaacha kupiga vyombo akawa mtu safi sana, Maisha yalibadilika sana hiyo ilichangia hata mafanikio yangu. Natumaini atakuwa amepumzika sehemu salama zaid.
 
Nilimuona miaka ya 90 hawa ndo wamekuja kuwafanya Waafrika wamkatae Mungu wao na kuabudu miungu ya kigeni na kwatukana mababu zao kuwa niwachawi, laana itaitafuna Afrika mpaka hiki kizazi cha the so called religious people kipotee kwenye uso wa dunia. Missionaries are nothing but forerunners for colonization and slavery na watalipia muda umefika.
 
Nakumbuka mwaka 1993 alikuja Mbeya, hapo nilikuwa na Walkman yangu ya Sony, nikiinunua kwenye duka la Sony Corporation Samora Avenue kwa TZS. 50'000/- ilikuwa inatwanga kinoma.
Siku hiyo nakumbuka nilikuwa naisikikiza album ya 2pac Me Against The World, nilipofika kwa Bonke uwanja wa Sokoine, mvua kubwa ikaanza, Bonke akaionyeshea mkono, mvua ikakata instantly
Hiyo Album ya 2 Pac - Me against the World ilitoka mwaka 1995
 
Upumzike kwa amani komandoo wa injili "hell empty, heaven full"
 
Mzee alikuwa akipuliza mkutano wote chali!!
 
Day kitambo nilimwona viwanja vya mkendo musoma 1993 hivi . Asante mleta mada jamaa ni shiiiida
 
Mchungaji Bonnke mtumishi wa Mungu aliyetumika kwa kiwango cha juu sana katika kazi ya uhubiri dunia nzima na akiipenda africa amefariki juzi tarehe 7 Novemba akiwa na miaka 79.

Nilihudhuria mkutano wake wa jangwani , dares mwanzoni mwa miaka ya 90 nakumbuka baada ya papa john Paul kuitembelea Tz.
Alikuwa na mtafsiri wake wa Kiswahili, Bonnke akisema iiii na yule mtafsiri anatafsiri iiiiii ilikuwa burudani sana hasa kwenye mifano yake

Vilevile alipenda Kutoa mfano wa kijana mmoja huko kwao ulaya alikuwa akifanya maovu mengi bila wazazi kumkanya , siku ya hukumu kijana alihukumiwa kutumikia adhabu akalia sana kwanini wazazi hawakumkanya akaomba nafasi ya Kuongea na mama yake kwa Mara ya mwisho kabla ya kupelekwa kutumikia hukumu , akajifanya anamnong’oneza mama gafla akamng’ata sikio
 
Nimeongoza mkutano wake mmoja hapo mwanza furahisha kama kiongozi wa praise and worship team
 
Ni mtumishi pekee ambae tangu kuanza kazi ya uinjilist mpka kifo chake amepata utajiri wa kuwaleta watu kwa Yesu watu milioni 70 duniani kote! Hasa hasa africa,Kwakwl ukisikia mtu kaimaliza kazi ndio huyu jamaa
 
Ni mtumishi pekee ambae tangu kuanza kazi ya uinjilist mpka kifo chake amepata utajiri wa kuwaleta watu kwa Yesu watu milioni 70 duniani kote! Hasa hasa africa,Kwakwl ukisikia mtu kaimaliza kazi ndio huyu jamaa
Mungu amtunze daima akisubiri anyukuo wa kristo
 
Heri lee,
God used this man so mightily, never heard him preach prosperity gospel but he did preach Salvation. Great Miracles accompanied his gospel crusades. According to him, He knew the XYZ of the Gospel but he only preached the ABCs of it. Never called himself apostle but just an evangelist. He remained humble. Preachers of today need to learn from him
 
Duh umenikumbusha miaka ya 1995 uwanja wa taifa nje pale ambapo kumejengwa uwanja Mpywa Mkapa, kulijuwa na bonge la ground changa kama lote

Nakumbuka eti na mimi niliokoka tukajaza form flani baada ya wiki tukafatwa nyumbani maana tuliandika address zetu,hahaha walivyokuja kutufata home tukagoma

Nilikuwa nafata mkumbo wa masista...kitambo sana
 
Back
Top Bottom