Hapana hawez kusema kuna mungu watatu labda aseme kuna Mungu mmoja katka nafsi tatu na sio "mungu watatu "Nayeye alikuwa anasema kuna mungu watatu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hawez kusema kuna mungu watatu labda aseme kuna Mungu mmoja katka nafsi tatu na sio "mungu watatu "Nayeye alikuwa anasema kuna mungu watatu?
Shikamoo.. !Nilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
MarahabaShikamoo.. !
NilikuwepoNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
biblia siyo gazeti. NI BORA UKAJIKITA KTK IMAN YAKO ZA WENGINE WAACHIE WAO. HIYO NDIO KUELMIKA ILA ELIMU YA MADRASA BILA YA KUCHANGANYIA NI UJINGA ULIOTOPEANayeye alikuwa anasema kuna mungu watatu?
Wamefanya nnFreemason
nilishuhudia mkutano wake Nairobi ,wakati maombi ya kuvunja nguvu za giza yakifanyika,kuna kichaa alikuwa akipita nyuma kabisa ya mkutano akiwa uchi mnyama kabisa,aliyechakaa miaka kibao,alianguka alipoamka alikuwa kapona akiomba asitiriwe na nguo.
Mkuu mm nakumbuka pale Ngaramtoni Arusha mwaka 1997 au 1998 na Mbeya 2004 kama sikoseiNilihudhuria MKUTANO wake ARUSHA Na MWANZA mwaka 1993/94