Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Mfahamu Reinhard Bonnke: Mhubiri aliyetikisa dunia

Duh umenikumbusha miaka ya 1995 uwanja wa taifa nje pale ambapo kumejengwa uwanja Mpywa Mkapa, kulijuwa na bonge la ground changa kama lote

Nakumbuka eti na mimi niliokoka tukajaza form flani baada ya wiki tukafatwa nyumbani maana tuliandika address zetu,hahaha walivyokuja kutufata home tukagoma

Nilikuwa nafata mkumbo wa masista...kitambo sana

Ndugu yangu pole sana kwa uamuzi mbaya ulioufanya wa kumwacha kristo. Anyway, tumaini lingalipo kama utaamua upya kumpokea Yesu Christo awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.
 
Mwaka 1992 alifanya mkutano mkubwa wa injili pale juu nje ya uwanja wa Sokoine jijini Mbeya(nyuma ya jengo na NSSF). Ilikua kipindi cha mvua. Ilinyesha maeneo yote ya mji isipokuwa hapo uwanjani tu. Moaka leo hii habari inaishi. Alikha na kipaji sana cha kuhubiri. RIP

Mkuu naomba uweke nyama kidogo katika maelezo yako KWANI unachokieleza hapa kinaweza kuwasaidia watu wengi hasa wale wasioamini uwepo wa Mungu kama akina Mshana Jr .
Ahsante
 
Halafu anaibuka chawa mmoja Leo eti Nyomi ya Buldozer ni rekodi haijawahi kufikiwa Na muhubiri yoyote nchini Tz
 
Habari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza

Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo, Mtumishi kutoka Ujerumani bwana REINHARD BONKE.

Aliwazaliwa mwaka 1940-4-19. Alimpokea YESU akiwa na miaka 9 kwenye mkutano uliofanywa na huko MUNICH mwaka 1949 akiwa ndie mtoto pekee aliyenyoosha mkono anaitaji kuokoka. Baada ya kuokoka alikuwa na kipaji cha kipekee cha kuchambua vitabu vya dini hadi wazazi wake walitamani akasomee ukasisi aje kuwa papa lakini haikuwezekana.

Akiwa na miaka 17 aliandika kitabu cha “Time is running”. Alijunga na masomo ya bible school huko Swansea.

Bonke alioa mwaka 1964 akapata wototo 3 na wajukuu 8

Mwaka 1974 Bonke alianza huduma yake akiwa na watu 100 hivi alianzisha ya chama CHRIST FOR ALL NATION “CfaN” 1986

Bonke alizunguka zaidi ya nchi zote Africa ikiwemo Tanzania mikoa ya Dar es Salaam na Kilimanjaro

Nigeria
SOUTH AFRICA
UGANDA
KENYA
UGANDA
DRC
NIGER
ZAMBIA
MALAWI

Na nchi nyingi hapa na Duniani huku akishika nafasi ya juu kuliko wote kukusanya watu katika mikutano yake ambayo wahudhuriaji wa mikutano yake hawakuwa chini ya Laki 400,000.

Kwa sasa Bonke ana miaka 79; umri umeenda sana hafanyi tena huduma ya dunia nzima anatoa huduma ndogo ndogo huko vitongoji vya nchi za Ujerumani na Uingereza.

Anajulikana kama ''GREAT AFRICAN MISSIONARY'' Ameacha jina kubwa sana dunia tangu miaka ya ya 1990 hadi leo hakuibuka mtu wakujaza nafasi ya katika mikutano yake Africa na dunia kwa ujumla.

Kwa ufupi tumekumbushana tuu juu ya BWANA REIHHARD BONKE

''NASHUKURU''


View attachment 754305
Nilipenda usemi wake huu, if you ask God to forgive your sins also do not remember your sins any more because God forgives your sins for all
 
Nimemuona zaidi ya mara nne na yote ni moshi..hawa walikua wahubiri wa kweli kabisa...namkumbuka na Emanuel Eni pia!
 
Habari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza

Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo, Mtumishi kutoka Ujerumani bwana REINHARD BONKE.

Aliwazaliwa mwaka 1940-4-19. Alimpokea YESU akiwa na miaka 9 kwenye mkutano uliofanywa na huko MUNICH mwaka 1949 akiwa ndie mtoto pekee aliyenyoosha mkono anaitaji kuokoka. Baada ya kuokoka alikuwa na kipaji cha kipekee cha kuchambua vitabu vya dini hadi wazazi wake walitamani akasomee ukasisi aje kuwa papa lakini haikuwezekana.

Akiwa na miaka 17 aliandika kitabu cha “Time is running”. Alijunga na masomo ya bible school huko Swansea.

Bonke alioa mwaka 1964 akapata wototo 3 na wajukuu 8

Mwaka 1974 Bonke alianza huduma yake akiwa na watu 100 hivi alianzisha ya chama CHRIST FOR ALL NATION “CfaN” 1986

Bonke alizunguka zaidi ya nchi zote Africa ikiwemo Tanzania mikoa ya Dar es Salaam na Kilimanjaro

Nigeria
SOUTH AFRICA
UGANDA
KENYA
UGANDA
DRC
NIGER
ZAMBIA
MALAWI

Na nchi nyingi hapa na Duniani huku akishika nafasi ya juu kuliko wote kukusanya watu katika mikutano yake ambayo wahudhuriaji wa mikutano yake hawakuwa chini ya Laki 400,000.

Kwa sasa Bonke ana miaka 79; umri umeenda sana hafanyi tena huduma ya dunia nzima anatoa huduma ndogo ndogo huko vitongoji vya nchi za Ujerumani na Uingereza.

Anajulikana kama ''GREAT AFRICAN MISSIONARY'' Ameacha jina kubwa sana dunia tangu miaka ya ya 1990 hadi leo hakuibuka mtu wakujaza nafasi ya katika mikutano yake Africa na dunia kwa ujumla.

Kwa ufupi tumekumbushana tuu juu ya BWANA REIHHARD BONKE

''NASHUKURU''


View attachment 754305
Yeye hatumii chumvi?
 
Back
Top Bottom