Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,964
- 3,496
Dah! basi tu yaaniDah habari yako imenifikirisha sana.
In short wokovu unalipa sana ni vile tu watu wamefungwa ufahamu.
RIP Bonke
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! basi tu yaaniDah habari yako imenifikirisha sana.
In short wokovu unalipa sana ni vile tu watu wamefungwa ufahamu.
RIP Bonke
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh umenikumbusha miaka ya 1995 uwanja wa taifa nje pale ambapo kumejengwa uwanja Mpywa Mkapa, kulijuwa na bonge la ground changa kama lote
Nakumbuka eti na mimi niliokoka tukajaza form flani baada ya wiki tukafatwa nyumbani maana tuliandika address zetu,hahaha walivyokuja kutufata home tukagoma
Nilikuwa nafata mkumbo wa masista...kitambo sana
Mwaka 1992 alifanya mkutano mkubwa wa injili pale juu nje ya uwanja wa Sokoine jijini Mbeya(nyuma ya jengo na NSSF). Ilikua kipindi cha mvua. Ilinyesha maeneo yote ya mji isipokuwa hapo uwanjani tu. Moaka leo hii habari inaishi. Alikha na kipaji sana cha kuhubiri. RIP
kuna anayesema Mungu 3 ? hiyo mpyaNayeye alikuwa anasema kuna mungu watatu?
namkumbuka viwanja vya furahisha mwanza miaka ya tisini.
PA system yake sio ya kitoto. Naona kama kawaachia watoto wake kwa sasa maana juzijuzi walikuwa mwanza.
Ni kweli huyu jamaa alifufua mtu huko nigeria?
Nilipenda usemi wake huu, if you ask God to forgive your sins also do not remember your sins any more because God forgives your sins for allHabari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza
Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo, Mtumishi kutoka Ujerumani bwana REINHARD BONKE.
Aliwazaliwa mwaka 1940-4-19. Alimpokea YESU akiwa na miaka 9 kwenye mkutano uliofanywa na huko MUNICH mwaka 1949 akiwa ndie mtoto pekee aliyenyoosha mkono anaitaji kuokoka. Baada ya kuokoka alikuwa na kipaji cha kipekee cha kuchambua vitabu vya dini hadi wazazi wake walitamani akasomee ukasisi aje kuwa papa lakini haikuwezekana.
Akiwa na miaka 17 aliandika kitabu cha “Time is running”. Alijunga na masomo ya bible school huko Swansea.
Bonke alioa mwaka 1964 akapata wototo 3 na wajukuu 8
Mwaka 1974 Bonke alianza huduma yake akiwa na watu 100 hivi alianzisha ya chama CHRIST FOR ALL NATION “CfaN” 1986
Bonke alizunguka zaidi ya nchi zote Africa ikiwemo Tanzania mikoa ya Dar es Salaam na Kilimanjaro
Nigeria
SOUTH AFRICA
UGANDA
KENYA
UGANDA
DRC
NIGER
ZAMBIA
MALAWI
Na nchi nyingi hapa na Duniani huku akishika nafasi ya juu kuliko wote kukusanya watu katika mikutano yake ambayo wahudhuriaji wa mikutano yake hawakuwa chini ya Laki 400,000.
Kwa sasa Bonke ana miaka 79; umri umeenda sana hafanyi tena huduma ya dunia nzima anatoa huduma ndogo ndogo huko vitongoji vya nchi za Ujerumani na Uingereza.
Anajulikana kama ''GREAT AFRICAN MISSIONARY'' Ameacha jina kubwa sana dunia tangu miaka ya ya 1990 hadi leo hakuibuka mtu wakujaza nafasi ya katika mikutano yake Africa na dunia kwa ujumla.
Kwa ufupi tumekumbushana tuu juu ya BWANA REIHHARD BONKE
''NASHUKURU''
View attachment 754305
Yeye hatumii chumvi?Habari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza
Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo, Mtumishi kutoka Ujerumani bwana REINHARD BONKE.
Aliwazaliwa mwaka 1940-4-19. Alimpokea YESU akiwa na miaka 9 kwenye mkutano uliofanywa na huko MUNICH mwaka 1949 akiwa ndie mtoto pekee aliyenyoosha mkono anaitaji kuokoka. Baada ya kuokoka alikuwa na kipaji cha kipekee cha kuchambua vitabu vya dini hadi wazazi wake walitamani akasomee ukasisi aje kuwa papa lakini haikuwezekana.
Akiwa na miaka 17 aliandika kitabu cha “Time is running”. Alijunga na masomo ya bible school huko Swansea.
Bonke alioa mwaka 1964 akapata wototo 3 na wajukuu 8
Mwaka 1974 Bonke alianza huduma yake akiwa na watu 100 hivi alianzisha ya chama CHRIST FOR ALL NATION “CfaN” 1986
Bonke alizunguka zaidi ya nchi zote Africa ikiwemo Tanzania mikoa ya Dar es Salaam na Kilimanjaro
Nigeria
SOUTH AFRICA
UGANDA
KENYA
UGANDA
DRC
NIGER
ZAMBIA
MALAWI
Na nchi nyingi hapa na Duniani huku akishika nafasi ya juu kuliko wote kukusanya watu katika mikutano yake ambayo wahudhuriaji wa mikutano yake hawakuwa chini ya Laki 400,000.
Kwa sasa Bonke ana miaka 79; umri umeenda sana hafanyi tena huduma ya dunia nzima anatoa huduma ndogo ndogo huko vitongoji vya nchi za Ujerumani na Uingereza.
Anajulikana kama ''GREAT AFRICAN MISSIONARY'' Ameacha jina kubwa sana dunia tangu miaka ya ya 1990 hadi leo hakuibuka mtu wakujaza nafasi ya katika mikutano yake Africa na dunia kwa ujumla.
Kwa ufupi tumekumbushana tuu juu ya BWANA REIHHARD BONKE
''NASHUKURU''
View attachment 754305
Namkumbuka miaka hiyo pale mailimoja kibahaNilihudhuria mkutano wake Tanga 1993
Naam hata huyu namkumbukaMiaka ya 90 nilimuona Mwanza na kuna yule mwingine aliitwa Egon Falk sijui yuko wapi nae?