WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 949
Sylvia Kinigi ndie mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu nchini Burundi na kwa Afrika Mashariki. Na 1993-1994 akapata kuwa acting president wa Jamhuri ya Burundi.
Mama Samia Suluhu Hassan, anapata kuwa Rais wa pili mwanamke Afrika Mashariki.
Wanawake wote Hawa wawili sio kuwa walipigiwa kura za kiti Cha Urais. Sylvie Kinigi aliombwa na Bunge, baada ya Rais wao kupoteza maisha 1993 tokana na mapinduzi.
Mama Samia Suluhu Hassan, kawa raisi kwa mujibu wa Sheria za katiba ya Tanzania kupitia ibara ya 37.
Sylvie Kinigi | Women’s Rights, Political Reform & Burundi | Britannica
Sylvie Kinigi is an economist and politician who served as prime minister of Burundi from July 1993 to February 1994. Kinigi studied economics at the University of Burundi and held civil service jobs before becoming an adviser to the prime minister in 1991. After Melchior Ndadaye, a member of the