Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Kukariri sidhani , physics na pure maths unaweza kukariri mkuu? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Kwa wachache Hesabu ni rahisi lakini kwa walio wengi Hesabu ni Janga sio mchezo kabsa kabsa.[emoji22] [emoji22]
Yes Ni kweli hiyo
Nilimuona kihombo mwaka 2014 nikiwa mwaka wa NNE pale COET. Nilimfahamu kabla hasa baada ya sifa zake kuvuma sana mwaka 2006. Nijuavyo Mimi, kihombo ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kukariri na kufundisha tu. Si innovative kabisa
Z
 
Nimeuona mswada wa Tanzania Teachers Board of Professional Act 2018. Unakataa haya mambo. Tuombe upite salama hawa sio walimu hawa ni wale wanaosimama tu mbele ya wanafunzi haphazardly
Huyo Jamaa kasaidia wAtu wengi , ww humtaki !! Walimu wengine wapo lakini wachovu tu
 
Na hii imeongeza ukosefu wa ajira kwa watu wenye sifa stahiki za taaluma husika.
Setikali lazima inapotengeneza fani iilinde fani yenyewe pamoja na maslahi husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inalinda fani bila ya kuangalia maslahi ya walaji ? Walaji Ni wanafunzi ambao wanaridhika na inputs za watu hao , au unataka watu wafuate vyeti tu vya ualimu bila ya uwezo ? Maana kuwa na cheti Cha ualimu haina maana kuwa una uwezo wa kufundisha
 
Wat
Watu wengi Wana roho ya kwann na husda
 
nmekumbuka maisha ya fizikia [emoji23]

namaliza mtihani wa taifa paper one ndani ya saa moja na nusu wasimamizi wanahisi nmeibia wanafungua na calculator [emoji28]

that life was awesome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani MAENGINEER WANAFUNDISHWA NA NANI VYUO VIKUU KAMA SIO WENZAO? MADAKTARI JE? TUMUUNGE MKONO KWA KUSAIDIA WANAOKUJA CHINI
Daah mkuu hili umeongea point sana, madaktari wameacha kazi za kutibu wagonjwa hospitali kama Dk Hamisi Kigwangala ameenda kwenda siasa. Na wengne wapo vyuoni wanafundisha wanafunzi. Wanasheria wameacha Nazi zao wanafundisha wanafunzi vyuoni na wengne wapo kwenye mambo yao binafaii
 
Amewasaidia wengii hasa alivyodisco chuo mwaka 2010 mpka 2013 alivyokuwa kitaa. Mwaka 2012-13 alikuwa pale TOSAMAGANGA BOY'S HIGH SCHOOL chini ya utawala wa Headmaster wa shule aliyeitwa J.J SHULLA kabla ya mwezi January 2013 kupelekwa uhamishoni Kuwa Headmaster wa ILBORU HIGH SCHOOL (ARUSHA)
 
Hivi kuna orodha yoyote inayoonesha huyu mwanafunzi aliongoza kidato cha sita mwaka 2006? Kama ipo, naomba utuoneshe?
 
Una miaka mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…