Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Yani mtu aliyepata bachelor degree baada ya miaka 11 ndo unamsifia hivi!!?

Nlivoanza kusoma uzi nlifikiri ntakutana na mtaalamu aliyevumbua kitu fulani kumbe ni mwalimu wa tuition.
Mimi nilifikiri jamaa kapata degree akiwa na umri wa miaka 11!

Maana anavyosifiwa, haiyumkiniki achukue miaka 11 kupata shahada.
 
Unasema Elias alikuwa hapendi kufundisha hesabu sababu ni somo rahisi sana duniani.
Sasa ilikuwaje O-level alipata B?

Eti alifelishwa na waalimu wake kwenye Telecom? Ina maana miaka hiyo aliyosoma hakuna ku-appeal matokeo wala hakuna external examiner, wala hakuna watu wa Quality Assuarance?

Acheni shombo za kitoto. Huyo alifeli sababu ya dharau zake za kijinga na wala sio kwamba kichwa kigumu.

Hizo hesabu alizosema rahisi ndio zilimfanya awe discontinued Bachelor ya Telecom Eng.
 
Unasema Elias alikuwa hapendi kufundisha hesabu sababu ni somo rahisi sana duniani.
Sasa ilikuwaje O-level alipata B?

Eti alifelishwa na waalimu wake kwenye Telecom? Ina maana miaka hiyo aliyosoma hakuna ku-appeal matokeo wala hakuna external examiner, wala hakuna watu wa Quality Assuarance?

Acheni shombo za kitoto. Huyo alifeli sabbu ya dharau zake za kijinga na wala sio kwamba kichwa kigumu.

Hizo hesabu alizosema rahisi ndio zilimfanya awe discontinued Bachelor ya Telecom Eng.
Mtu anayesema Pure Math ni rahisi ama ni muongo ama hajaielewa, pengine kwa kuisoma kwa level ndogo sana.

Hizo Physics na Chemistry kimsingi ni derivatives za Pure Maths.

Unaweza kusoma Pure Maths bila Chemistry wala Physics. Lakini ukisoma Chemistry na Physics utakutana na concepts za maths. Huwezi kusoma bila maths.

Ukisoma historia za ma genius wa kweli kama kina Srinivasan Ramanujan (kama hujamjua tafuta movie au kitabu "The Man Who Knew Infinity", the book is better than the movie, the movie is good too) utaona mtu ni genius wa kweli mpaka inabidi tujiulize alikuwa na ubongo wa aina gani, lakini yuko very humble.

Srinivasa Ramanujan - Wikipedia
 
Mtu anayesema Pure Math ni rahisi ama ni muongo ama hajaielewa, pengine kwa kuisoma kwa level ndogo sana.

Hizo Physics na Chemistry kimsingi ni derivatives za Pure Maths.

Unaweza kusoma Pure Maths bila Chemistry wala Physics. Lakini ukisoma Chemistry na Physics utakutana na concepts za maths. Huwezi kusoma bila maths.

Ukisoma historia za ma genius wa kweli kama kina Srinivasan Ramanujan (kama hujamjua tafuta movie au kitabu "The Man Who Knew Infinity", the book is better than the movie, the movie is good too) utaona mtu ni genius wa kweli mpaka inabidi tujiulize alikuwa na ubongo wa aina gani, lakini yuko very humble.

Srinivasa Ramanujan - Wikipedia
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom