Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
Aah! Ninalogout sasa hivi lakini itapendeza zaidi ikiwa mtaweka hiyo orodha hapa na sio vinginevyo.Hoja yako ilkuwa ni kuwa hizi orodha zilianza kutolewa mwaka 2016 sasa umepew hiyo ya 2005
Wekeni hizo orodha sio kutaja taja majina tu.
Umemuuliz swli la msingi hajajibu .....Wewe fala umesema orodha za wanafunzi bora zilianza kutolewa mwaka 2016 kuendelea watu ndipo tunakubishia kuwa zilkuwepo tokea zamani
Umebishaaa weee umeletew hiyo hapo juu unaanza kusema sjui nini na nini sasa tukueleweje?
Sasa ngoja nkuulize je bado unatuambia kuwa orodha ya wanafunzi bora ilianza kutolewa 2016?
We jamaa wa wapi wewe usie elewa hivyo namashaka na wewe sio timilifuAah! Ninalogout sasa hivi lakini itapendeza zaidi ikiwa mtaweka hiyo orodha hapa na sio vinginevyo.
Sitimbi tena? Wewe ulikuwa unakaa wapi kipindi hicho?We jamaa wa wapi au ulikuwa unakaa sitimbi huko ulikuwa hata hujui kinacho endelea maana mi nashangaa unabisha na usilo lijua nimebaki nakushangaa tu
Aah! Ninalogout sasa hivi lakini itapendeza zaidi ikiwa mtaweka hiyo orodha hapa na sio vinginevyo.
Wewe mpuuzi nijibu kwanza swali hilo hapo juuWewe fala umesema orodha za wanafunzi bora zilianza kutolewa mwaka 2016 kuendelea watu ndipo tunakubishia kuwa zilkuwepo tokea zamani
Umebishaaa weee umeletew hiyo hapo juu unaanza kusema sjui nini na nini sasa tukueleweje?
Sasa ngoja nkuulize je bado unatuambia kuwa orodha ya wanafunzi bora ilianza kutolewa 2016?
Niibe kipaji cha nini?[emoji23][emoji23][emoji23]nipo mkuu
Kuna jamaa hapa boyaboya anataka kuiba kipaji chako
Sitimbi tena? Wewe ulikuwa unakaa wapi kipindi hicho?
Wekeni hizo orodha hapa sio kutaja taja majina tu!Wewe mpuuzi nijibu kwanza swali hilo hapo juu
Ukisha jibu ndipo u log out uendelee kuogesha vibabu huko uliko sio unaishia kutuambia ujinga ujinga
Haya ebu uliza maswali yako hayo unayoyaita ya msingi!Huyu t _a _k o
Charles utopolo mandela kisandu
Maswali ya msingi hujibu unakimbilia vtu vyepesi vyepesi
Wewe ni chizi kwahiyo hiyo hapo juu ni matako yako au sioFungua hizo screen shots utapata list Ya wanafunzi waliofanya vizuri kidato cha nne mwaka 2005
View attachment 1546222View attachment 1546223View attachment 1546224View attachment 1546225View attachment 1546226
Wekeni hizo orodha hapa sio kutaja taja majina tu!
Charles utopolo mandela kisandu nimekuelew sina swali zaidHaya ebu uliza maswali yako hayo unayoyaita ya msingi!
Punguza uongo wako wewe! Wekeni hiyo orodha hapa ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006!Nimesema hivyo kutokana na wewe ulikuwa huelewi kinacho endelea kwenye elimu ya Tanzania mi nilikuwa updated na kila matokeo yakitangazwa sasa nashangaa unabisha mini ukute hata waziri wa elimu na katibu mkuu ulikuwa huwajui ai ndio nyie msuli ulikuwa na wewe tu
Mengine hayakuhusu ujue kusoma sio kielimika
Hii ndio orodha ya wanafunzi bora? Ifike mahali tuelezane ukweli sio matusi na kejeli. Wekeni orodha ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006.Wewe ni chizi kwahiyo hiyo hapo juu ni matako yako au sio
Bado unasema orodha ya wanafunzi bora zilianza kutolewa mwaka 2016?Hii ndio orodha ya wanafunzi bora? Ifike mahali tuelezane ukweli sio matusi na kejeli. Wekeni orodha ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006.
Hii ndio namna ya kujibu watu ulivyofundishwa? πππCharles utopolo mandela kisandu nimekuelew sina swali zaid
Nenda mirembe
Ndio! Mwaka 2016, matokeo ya wanafunzi kwa hatua zote yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ndio yalianza kutangazwa rasmi.Hii ndio orodha ya wanafunzi bora? Ifike mahali tuelezane ukweli sio matusi na kejeli. Wekeni orodha ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006.
Naona unamtandika bakora za kutosha.[emoji23][emoji23][emoji23]nipo mkuu
Kuna jamaa hapa boyaboya anataka kuiba kipaji chako
[emoji23][emoji23][emoji23]S unaona jamaa utopolo anaotuletea hapa?Naona unamtandika bakora za kutosha.