Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

We jamaa wa wapi au ulikuwa unakaa sitimbi huko ulikuwa hata hujui kinacho endelea maana mi nashangaa unabisha na usilo lijua nimebaki nakushangaa tu
Wekeni hizo orodha sio kutaja taja majina tu.
 
Wewe fala umesema orodha za wanafunzi bora zilianza kutolewa mwaka 2016 kuendelea watu ndipo tunakubishia kuwa zilkuwepo tokea zamani

Umebishaaa weee umeletew hiyo hapo juu unaanza kusema sjui nini na nini sasa tukueleweje?

Sasa ngoja nkuulize je bado unatuambia kuwa orodha ya wanafunzi bora ilianza kutolewa 2016?
Umemuuliz swli la msingi hajajibu .....


Mkuu huyu mpuuzeni anawachezea akli mnapotezea tu simple.
 
Aah! Ninalogout sasa hivi lakini itapendeza zaidi ikiwa mtaweka hiyo orodha hapa na sio vinginevyo.
Wewe fala umesema orodha za wanafunzi bora zilianza kutolewa mwaka 2016 kuendelea watu ndipo tunakubishia kuwa zilkuwepo tokea zamani

Umebishaaa weee umeletew hiyo hapo juu unaanza kusema sjui nini na nini sasa tukueleweje?

Sasa ngoja nkuulize je bado unatuambia kuwa orodha ya wanafunzi bora ilianza kutolewa 2016?
Wewe mpuuzi nijibu kwanza swali hilo hapo juu

Ukisha jibu ndipo u log out uendelee kuogesha vibabu huko uliko sio unaishia kutuambia ujinga ujinga
 
Nimesema hivyo kutokana na wewe ulikuwa huelewi kinacho endelea kwenye elimu ya Tanzania mi nilikuwa updated na kila matokeo yakitangazwa sasa nashangaa unabisha mini ukute hata waziri wa elimu na katibu mkuu ulikuwa huwajui ai ndio nyie msuli ulikuwa na wewe tu
Mengine hayakuhusu ujue kusoma sio kielimika
Sitimbi tena? Wewe ulikuwa unakaa wapi kipindi hicho?
 
Nimesema hivyo kutokana na wewe ulikuwa huelewi kinacho endelea kwenye elimu ya Tanzania mi nilikuwa updated na kila matokeo yakitangazwa sasa nashangaa unabisha mini ukute hata waziri wa elimu na katibu mkuu ulikuwa huwajui ai ndio nyie msuli ulikuwa na wewe tu
Mengine hayakuhusu ujue kusoma sio kielimika
Punguza uongo wako wewe! Wekeni hiyo orodha hapa ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006!
 
Hii ndio orodha ya wanafunzi bora? Ifike mahali tuelezane ukweli sio matusi na kejeli. Wekeni orodha ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006.
Bado unasema orodha ya wanafunzi bora zilianza kutolewa mwaka 2016?
 
Hii ndio orodha ya wanafunzi bora? Ifike mahali tuelezane ukweli sio matusi na kejeli. Wekeni orodha ya Elias Kihombo kuongoza kidato cha sita mwaka 2006.
Ndio! Mwaka 2016, matokeo ya wanafunzi kwa hatua zote yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ndio yalianza kutangazwa rasmi.

Tofauti na hapo hakuna! Kama zipo tuwekee kwa mtindo huo sio kutaja taja majina tu na kuandika maneno yasiyokuwa na mbele wala nyuma.

Kwa kuthibitisha hivyo, naomba utuwekee orodha ya wanafunzi bora hata ya mwaka 2015. Kuanzia darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita. Kama matokeo yanavyotangazwa kipindi hiki cha Magufuli.

Halafu na mwisho, tuwekee orodha ya mwaka 2006 ambapo inaonesha huyu mwanafunzi Elias Kihombo ameongoza. Ni hayo tu!
 
Back
Top Bottom