Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Vidiploma ndio elimu gani
 
Huu uzi bhana!
Umejaa Watu hawa;
walioshindwa,
Wasiopenda mafanikio ya wengine,
Kutofautiana katika uelewa wa dhana ya mafanikio ni nini?
 
GPA please
 
kuna jamaa anaitwa Jamal aka Babu waliosoma Azania nahis story zake wanazifahamu
 
Huyu jamaa si masikhara ni kichwa balaa ila anadharau sana alitufundisha pale Tosamaganga physics na Chemistry na alitusaidia wengi ambao tulikuwa hatujacover baadhi ya topics , mzee wa vimangala na nyumbu dah ! basi ilikuwa tafrani tupu , kwa wale ambao mmesoma PCB na PCM mtaelewa ninachomaanisha , ugumu wa yale masomo halafu mtu anatembeza maswali bila kugusa kitabu asubuhi saa 1 hadi saa 5 usiku si utani

Ye alikuwa anaanza topic anafundisha theory zake na maswali mnamtajia nyie kutoka kwenye mavitabu yenu mnayoyajua halafu ananayasolve na mnaangalia na kujiridhisha kama majibu ni kweli , huyu mshikaji angekuwa mbali sana sema tatizo lake kubwa ndo hilo ni mkorofi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…