Mfahamu T.O Kihombo 2006 aliyepata Degree yake ya Kwanza baada ya Miaka 11

Tumia akili ndogo tuu Jamaa akiuza vitini kwa elfu 10 akiuza vitini laki mbili anapat B 2
 
Ingia field uone kazi ilivyo rahisi kuuza vitini laki 2. Msidanganywe na motivational speakers mkadhani ni kazi rahisi. Wengi wanatoa copy
Ni kufanya tuu marketing ya kutosha sema tuu kutoa photo kopi ndo itamuumiza
 
jamaa yuko waja boys anafundisha..na maisha yake yako poa...vitini vyake vinawasaidia madogo sana...personality yake naipenda ya makuzi .shombo na dharau..maana tunaendana
 
Na hii imeongeza ukosefu wa ajira kwa watu wenye sifa stahiki za taaluma husika.
Setikali lazima inapotengeneza fani iilinde fani yenyewe pamoja na maslahi husika.
Nimeuona mswada wa Tanzania Teachers Board of Professional Act 2018. Unakataa haya mambo. Tuombe upite salama hawa sio walimu hawa ni wale wanaosimama tu mbele ya wanafunzi haphazardly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…