Mark pawelk
Senior Member
- Jan 6, 2017
- 103
- 339
- Thread starter
- #61
Mkuu kama utaweza kuleta hiki kisa Fanya hivyo, kwa faida ya wanajukwaa woteUmenikumbusha yule sniper aliekuwa ametoboa kwenye boti kazi yake ilikuwa ni kupiga risasi za kichwa watu kwenye shell hadi ikashauliwa ukiwa unajaza mafuta sharti uchezeshe kichwa ili asipate shabaha marekani kuna vituko