Mfahamu Zodiac Killer, muuaji aliyeitikisa Marekani

Umenikumbusha yule sniper aliekuwa ametoboa kwenye boti kazi yake ilikuwa ni kupiga risasi za kichwa watu kwenye shell hadi ikashauliwa ukiwa unajaza mafuta sharti uchezeshe kichwa ili asipate shabaha marekani kuna vituko
Mkuu kama utaweza kuleta hiki kisa Fanya hivyo, kwa faida ya wanajukwaa wote
 
Aisee kuna watu mashujaa sana hapa duniani....akili nyingi, ukatili na kila maujanja ya ajabu ajabu watu wanayo
 
We jama ni noma uko wap mbona akil sana
 
Una akil sana endelea kutupa shuhuda
 
Alikuwa anaitwa kenonke ila sasa hiyo maana yake sasa ndiyo kifo chako
 
That man was suffering from post traumatic disorder. No other words to discribe his mental situation. Very sad his relatives didnt realize that till he got killed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…