chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Kuna mmoja alikuwa anaitwa Mbaruku tall huko maeneo ya mbagala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu huyo jamaa akili zimefyatukakuna crime moja nimeisahau jina huyo jamaa alikuwa anaua watoto tu.ilisababisha huo wa marekani uingie hofu ya kutisha ya kupotea watoto.jamaa katika interogation anasema aliamua kuua watoto sababu wakikua watakutana na changamoto kubwa za kimaisha kama zake hivyo akaona bora awasend afterlife
Mkuu kama unaifahamu ilivyokuwa itupieMtu huyu alikuwa akijitambulisha kwa jina la Charles Range Kichune, Josephat Chacha, Charles Joseph Msong’o (38) mkazi wa Kijiji cha Kenyamanyori Kata ya Turwa wilayani Tarime.
MTU anayedaiwa kuwa ni jambazi anayeua raia wasiokuwa na hatia katika vijiji mbalimbali Wilaya ya Tarime mkoani Mara, amekamatwa. Muuaji huyo anayetembea na bunduki ya SMG, alikamatwa juzi katika Mkoa wa Tanga, wakati akitoroka baada ya kuua watu 10 wasiokuwa na hatia mwishoni mwa mwezi Januari.Mkuu kama unaifahamu ilivyokuwa itupie

Hili pia linawezekana mkuuHuyu jamaa kiboko,,,,na inaezekana yu hai mpaka leo
Hakuwahi kusema dini yake na ukizingatia hafahamiki ni ngumu kutambuaAlikua dini gani huyu Gaidi mkubwa?